MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,057
- 39,387
Tamasha la 'TribeOne Dinokeng' limeandaliwa na ROCKSTAR4000 na Sony Music Entertainment na litafanyika tarehe 26 - 28 September
Alafu mnasema Ally Kiba hajui mziki kijana mambo yake anafanya kimya kimya na sio kwa kujitangaza na kushinda mitandaoni, sitaki kumsema mtu ila napenda mtu anayefanya vitu vyake vikaonekana kama huyu dogo Kiba, Hongera sana kijana and keep it up and hizi ndio hadhi zako na still upo juu,sio mtu anafanya shoo uchwara anataka mamillion ya pesa na kujitangaza kwingi.
Hongera sana angekuwa mtu mwingine angeshajitangaza kila mahali na kusema kapewa million 100 kufanya shoo.
Tanzania umetoka peke yako it means upo juu na huna mpinzani ungekuwa haupo kwenye ramani ya mziki au una mpinzania basi naamini usingechukuliwa so hongera sana dogo
Wapo ambao viroho vitawauma ila usiangalie nyuma fanya kazi kijana.
class is permanent form is temporary
Kiba is class