Kung fu panda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 748
- 785
Jamaa anadai penseli yake lazima ipatikane liwake jua inyeshe mvua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huyo kiba ana kitu gani?Mlezi atauzuia mkutano huo......
Mtaona
Ova
Aah aah aah! me ninayo penseli mwambie aje nimpewakati wengine wanapambana kutafuta pesa alikiba yeye anatafuta penseli,wanajamii kama kuna mtu yupo karibu na kiba 100 amnunulie penseli kiki hii iishe
Sijakutukanainnocent dependent, Baza kaka hivi hii hoja yako ungeitoa bila kunitukana ungepungukiwa kitu?
au labda kwenye Diamond karanga huyu kiba alishinda penseli ndo anadai hapo ila kuweka wazi ameona sooAah aah aah! me ninayo penseli mwambie aje nimpe
Haya ni Mawazo Ya Kitoto..Diamond akisema naacha music rasmi, akipata mshindani mzuri au akifa, Ali kiba ndio itakuwa mwisho wake kufuatwa na wanahabari.
Kwa hakika jamaa hana lolote ila ashukuru Mungu hii miaka kasafiria nyota ya Diamond.
Tulien awaoneshe anaweza ila huwa hatakKama anajambo si afanye tu kimya kimya si huwa anasema hapendi show off
We jamaa bure kabisa Kama alikiba wako Hali ni tete kwa kiba naona konde boy kachukua nafasi yake.Tulien awaoneshe anaweza ila huwa hatak
avatar yako 2 inaonesha akili zako zinasoma negative ...domo mwnyw anakiri kua kiba alianza music kabla yk ss umeona wapi masikio yakazidi kichwa?!Diamond akisema naacha music rasmi, akipata mshindani mzuri au akifa, Ali kiba ndio itakuwa mwisho wake kufuatwa na wanahabari.
Kwa hakika jamaa hana lolote ila ashukuru Mungu hii miaka kasafiria nyota ya Diamond.