CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Unaweza totolewa miaka ya tisini na sisi tumehamia miaka ya 70Hahahaha! Sibishani na watu wanaojiita wazee wa mjini, wewe umekuja tu hapa wengine ndio tulipototolewa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza totolewa miaka ya tisini na sisi tumehamia miaka ya 70Hahahaha! Sibishani na watu wanaojiita wazee wa mjini, wewe umekuja tu hapa wengine ndio tulipototolewa!
Ali kiba ni mmoja wa wamiliki wa Bunge sema hajionyeshagi tu
Hahahahahaaaa Eti utajiri wake ni BWM X 5Bakhresa hana kelele ila utajiri wake unaonekana;Huyo jamaa utajiri wake ni nini?
Ha ha haNasikia Jamaa anamiliki MJENGO Oysterbay na Pia ana Luxury Yatch anakodisha Wazungu kwenda MBUDYA na BONGOYO ila haweki wazi tu watu wake wa karibu ndio wanajua.
Jamaa Bank ana zaidi ya bilioni 20 sema hataki watu wajue.
Nasikia anamiliki Range Autobiography 2019 na Hummer H2 kama za Gwajima sema hataki watu wajue.
Hata yeye hajui kama anamilikiNasikia Jamaa anamiliki MJENGO Oysterbay na Pia ana Luxury Yatch anakodisha Wazungu kwenda MBUDYA na BONGOYO ila haweki wazi tu watu wake wa karibu ndio wanajua.
Jamaa Bank ana zaidi ya bilioni 20 sema hataki watu wajue.
Nasikia anamiliki Range Autobiography 2019 na Hummer H2 kama za Gwajima sema hataki watu wajue.
la chama na tulijiunga tokea chekecha cheketua baada ya kuona mwenzetu kachukua tuzo BET kwa kumpita priyanka chopra..ndipo tukaanza kupewa na mikataba,,ila kwenye msiba wa masogange tulivosalimiana na chibu watu hawakuelewa ile ni salamu ambayo mastermason ana msalimia member wa kawaida asiye na degree au ambaye yuko chini yake..kwahyo tunanuniana nje ila ndani chamani sie ni marafiki,,na mziki tumeugawa pande mbili ili wasio na upande wakae kapunilile pete lile aisee
😀😀😀😀😀😀😀 yaani hata yeye mwenyewe hataki hajijue kama anamiliki.Hata yeye hajui kama anamiliki