Ali Kiba ni msanii anayekuzwa kuliko uwezo wake (Overrated)

Ali Kiba ni msanii anayekuzwa kuliko uwezo wake (Overrated)

Basi sawa ngoja tumtafutie NGURUNDA km wanavyofanya WCB ndio mfurahi
 
Kiukwel kiba ni wa kawaida sana yaan kazi zake hazinipag stimu kabisa bora hiyo miprakatakatumba ninachotafuta si burudan bhana
 
Mfananishe Kiba na wa miaka ile .
Diamond na wa miaka hii .

Acheni uchonganishi.
kinachoangaliwa ni kuwa si bado yupo kwenye game na anaendelea na muziki kwan kaacha so ni lazima ujaribu kulinganisha kile alichofanya miaka ile je ni kilekile au kuna kilichobadilika au niyaleyale tu ya sikuzote kama wimbo wa taifa
 
kinachoangaliwa ni kuwa si bado yupo kwenye game na anaendelea na muziki kwan kaacha so ni lazima ujaribu kulinganisha kile alichofanya miaka ile je ni kilekile au kuna kilichobadilika au niyaleyale tu ya sikuzote kama wimbo wa taifa
Kama ni hivyo fananisheni nyimbo Zake za zamani na za sasa.

Msimlinganishe na Diamond maana wote wana style tofauti za uimbaji.
 
Kiburi na dharau za wale vijana ndo tatizo .....jana nilikua namsikiliza mdogo wake abdul kaambukizwa mazereeuu na kakakee eti hawajui hao sijui WC ninii sijuii................kwa nyodo hizi hawatajifunza kitu na watabaki wanaumia kwa ndani kila siku japo ukweli ni dhahir lile genge linawakosesha raha..
Abdul huyu huyu mwenye kinyimbo cha watoto eti Bayoyo, ha haaa ofcoz bado wana safari ndefu mno vijana hawa
 
Ndugu mtoa maada, mtu hakatazwi kuwaza ila anakatazwa kuongea coz si kila utakachoongea ni muhimu vingine ni pumba kama unazozitoa. Alikiba mwenyew kasema hashindani na mtu ( nyie ndio mnaochochea high zisizo na maana kwa wasanii) kila msanii anaplay part yake katika muziki, kwa wapenda maendelea tunachoka sasa always mond na kiba utafikiri wanabifu vile. Mda mwingine kama hamna vya kuongea muwe mnakaa kimya tu
alikiba aliwahi kuongea amerudi kuchukua kiti chake cha ufalme..kauli yake hiyo inatosha kumfanya aonekane anashindana na domo maana mpaka sasa yeye ndio kakaa kwenye hicho kiti..
 
alikiba aliwahi kuongea amerudi kuchukua kiti chake cha ufalme..kauli yake hiyo inatosha kumfanya aonekane anashindana na domo maana mpaka sasa yeye ndio kakaa kwenye hicho kiti..
Ofcoz ye ndo mfalme wa Bongo fleva kama unajua nin maana ya Bongo fleva
Hao wengine walishaipoteza ile taste halisi Bongo fleva
 
Aiseee kuna mijitu sijui ikoje!
Unachotaka kusema wewe ni nini?
Ali Kiba kwa kipaji chake kile unaanzaje kusema 'anakuzwa'?
Mwenyewe alishasema hashindani na mtu maana muziki anaufanya kwa njia zake mwenyewe, muziki wake haufanani na wanaofanya wengine.
Hivi hilo nalo ni la kutia shaka?
Jinga sana.
Tunaomuelewa Kiba na aina yake ya muziki tupo, humuelewi shut up.
Na wanachofikiria ni kila mshabiki wa kiba chanzo chake ni "kumchukia Diamond"

Alikiba ana taste yake hivyo ni kosa kumpambanisha na yoyote yule

Kama wana muoverate kwa skendos hlo tatizo
Lakin jamaa anaish maisha yake na fame ipo palepale
 
Mnataka afanye hizo parakatumba zenu ndo muanze kumuelewa??
Ally Kiba : The real definition ya Bongo Flava,mtaimba hadi mdumange mwaka huu[emoji16][emoji16]
Wanataka na yeye aimbe nyimbo za kutaja majina ya watu nyimbo nzima
 
Kinachonisikitisha ni jinsi wanavyomjaza kichwa matokeo yake anabaki palepale, yanakuja madogo kama Harmonize yanampita huku fursa anaziona, so sad, tatizo wabongo hatupendi kuambizana ukweli
Sasa wew tukueleweje?
Anakuwa over rated kimafanikio au level anayoekwa ya uimbaji sio level aliyopo?
 
Sikiliza "Aje" Ali Kiba ft M.I. Halafu tuijadili kuanzia beat, melody, harmony, creativity, lyrics, wordplay, punchlines, imagery etc.

Kama unafahamu vitu hivyo ni nini.
Sidhani kama kuna atakayethubutu kuquote hii post kwa maana ya kujibu ulichouliza.
 
Back
Top Bottom