Heloo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,391
- 3,404
Wawekeee pichaaaaHakeem 5 ndo nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wawekeee pichaaaaHakeem 5 ndo nani?
Ni ivi wewe!!!!!alimuahidi nimsaidie Kwenye.Nakshi Nakshi...nitakusaidia collabo..Nndo hapoo.Kwenye Examination.Anamzungushaaa.mwaka.Wa 9..huo Ni Utapeli kwani yy alifanikiwa kwani wakati huo hakuwaona.watu wengine.mpaka.Huyoo sijui,hashim5??Kibaa kujaa hapana utafanya Kolabo kwa Nguvuuuu.Na Sauti itokee Vizuriii.Kwani lazima?
Utafikiri amewahi kukutana naye dah wabongo sisi kujifanya tunajuana ,back to the topic Hakeem acha ufala Ali kiba na wewe mlitoka pamoja kaza kimpango wako utafika ina maana wasanii wooote umemuona kiba tuDah kiba ana roho mbaya sana alafu mtu wa kujisikia na dharau.
hahahahh noma sanaZamanii hatar naona kama rajab lutengwe... Anamlilia bw mkubwa amrudishe njian
Na yeye akili hana.. Miaka 9 anasubiri aimbe na Kiba??mwaka wa tisa asubir tu
Na yule asiyemsaidia babake??...usilitetee bana liali kiba lina roho mbaya
sio babake babake alikufagaaaNa yule asiyemsaidia babake??...
Kuna mambo mengine sio lazma ufundishwe jiongeze mwenyewe,miaka 9 unasubir kolabo tu what is so special with Ali kiba? wasanii wapo kibao tu,yani hapo anataka kutuambia kupotea kwake kwenye game ni sababu ya kukosa kolabo na Ali?Ni ivi wewe!!!!!alimuahidi nimsaidie Kwenye.Nakshi Nakshi...nitakusaidia collabo..Nndo hapoo.Kwenye Examination.Anamzungushaaa.mwaka.Wa 9..huo Ni Utapeli kwani yy alifanikiwa kwani wakati huo hakuwaona.watu wengine.mpaka.Huyoo sijui,hashim5??Kibaa kujaa hapana utafanya Kolabo kwa Nguvuuuu.Na Sauti itokee Vizuriii.
Babake nani alikufa ?....dimond aw ?sio babake babake alikufagaaa
mwaka jana kiba alifanya collabo ya hakeem iitwayo madebe, usiongee usichokijuaNi ivi wewe!!!!!alimuahidi nimsaidie Kwenye.Nakshi Nakshi...nitakusaidia collabo..Nndo hapoo.Kwenye Examination.Anamzungushaaa.mwaka.Wa 9..huo Ni Utapeli kwani yy alifanikiwa kwani wakati huo hakuwaona.watu wengine.mpaka.Huyoo sijui,hashim5??Kibaa kujaa hapana utafanya Kolabo kwa Nguvuuuu.Na Sauti itokee Vizuriii.
Hakeem, ndivyo ambavyo mlikubaliana, au?!.... mimi nilishamalizana na yeye ila yeye hajamalizana na mimi” alidai Hakeem 5.
Alli Kiba anamatatizo