Ali Kiba si Mtu Mzuri - Hakeem 5

Ali Kiba si Mtu Mzuri - Hakeem 5

Kwani lazima?
Ni ivi wewe!!!!!alimuahidi nimsaidie Kwenye.Nakshi Nakshi...nitakusaidia collabo..Nndo hapoo.Kwenye Examination.Anamzungushaaa.mwaka.Wa 9..huo Ni Utapeli kwani yy alifanikiwa kwani wakati huo hakuwaona.watu wengine.mpaka.Huyoo sijui,hashim5??Kibaa kujaa hapana utafanya Kolabo kwa Nguvuuuu.Na Sauti itokee Vizuriii.
 
Dah kiba ana roho mbaya sana alafu mtu wa kujisikia na dharau.
Utafikiri amewahi kukutana naye dah wabongo sisi kujifanya tunajuana ,back to the topic Hakeem acha ufala Ali kiba na wewe mlitoka pamoja kaza kimpango wako utafika ina maana wasanii wooote umemuona kiba tu
 
Ujue mambo mengine ya ajabu... piga hesabu Nakshi Nakshi imetoka mwaka gani na alikiba kakaa nje ya game muda gani! Je yeye hakeem alikuwa anafanya nini muda wote huo?
ina maana alikuwa anamsubiri kiba arudi kwenye game ili na yeye arudi?
au kwenye kuwa nje ya game kulikuwa na makubaliano ya kwamba watarudi pamoja?
kama anabaniwa kwa nin isiwe changamoto kwake kukaza kivyake ili wapambane sokoni?
jamaa kakosa points za kumtuhumu kiba kama siyo kick hii!
Akaze tuu atatokaa
 
Ni ivi wewe!!!!!alimuahidi nimsaidie Kwenye.Nakshi Nakshi...nitakusaidia collabo..Nndo hapoo.Kwenye Examination.Anamzungushaaa.mwaka.Wa 9..huo Ni Utapeli kwani yy alifanikiwa kwani wakati huo hakuwaona.watu wengine.mpaka.Huyoo sijui,hashim5??Kibaa kujaa hapana utafanya Kolabo kwa Nguvuuuu.Na Sauti itokee Vizuriii.
Kuna mambo mengine sio lazma ufundishwe jiongeze mwenyewe,miaka 9 unasubir kolabo tu what is so special with Ali kiba? wasanii wapo kibao tu,yani hapo anataka kutuambia kupotea kwake kwenye game ni sababu ya kukosa kolabo na Ali?
 
Hakeem kufanya ngoma na Alikiba nakshnakshi, pale teyari alikuwa kapata msaada wa alikiba

Hawezi kuniamisha eti kwamba kipindi kile alikiba ndo alilia kufanya kazi na hakeem 5, me nimeanza kumfahamu hakeem kupitia nyimbo ya nakshi nakshi, na alikiba kipindi hicho teyari alikuwa anajulikana ktk game na amehit...!

Huko ni kutapatapa tu kwa mfa maji, alikiba amefanya featuring na underground kibao hadi unashangaa kwnn jamaa anakubali kufanya nao kwakuwa wasanii wengine waga hawataki kushilikishwa na wasanii wachanga wakiamini ni kurudi nyuma mfano "DIAMOND PLATINUMz"

sasa hapo kusema alikiba ana roho mbaya nazani anakosea, kipindi hicho chote ye anasubil collabo na jamaa wakat wasanii km kina mb-dogy,Abby skilz,dully Skyz,q-chilla,mike tee,prof jay wanarudi na kupotea kwenye game ye amekaa 2 akimsubil Alikiba, jamaa akajipa likizo ya miaka 3 km anavyodai yeye eti anamsubil 2, angesubil kuamka na lady jaydee sasa

Kick zingine zinakufanya ww ndo uonekane mjinga kuliko mlengwa
 
Ni ivi wewe!!!!!alimuahidi nimsaidie Kwenye.Nakshi Nakshi...nitakusaidia collabo..Nndo hapoo.Kwenye Examination.Anamzungushaaa.mwaka.Wa 9..huo Ni Utapeli kwani yy alifanikiwa kwani wakati huo hakuwaona.watu wengine.mpaka.Huyoo sijui,hashim5??Kibaa kujaa hapana utafanya Kolabo kwa Nguvuuuu.Na Sauti itokee Vizuriii.
mwaka jana kiba alifanya collabo ya hakeem iitwayo madebe, usiongee usichokijua
 
ah lakini kiba mi nakumbuka walikua washkaji sana hakeem 5, kiasi kwamba asingefkia hatua ya kutopokea cm yn, yani ni afadhal apokee tu hata akimbania ila kupokea cm ya mtu ni more than respect kwa rafki yako. cjapenda yani.
 
Back
Top Bottom