allan david
Senior Member
- Feb 17, 2017
- 112
- 81
kila mtu ana hulka yake amin hata ww kuna ambao hawpendi tabia yako...sasa ka unamjua ananata unahangaika kumwanglia ili nini huoni utajiua kwa stresSijabase mkuu,sema huyu kaka ana tabia flani hivi ya kujisikia..he's not humble kama wakina Darasa,fa,ay,na wengineo
Mbona viongzi wenu wanajua cha ugoko bado mnawachagua na ving'ora mnawapigiaLugha ya kiingereza ni muhimu sana na hapa wabongo Ndio tumenasa kwenye Mtego.
Nipo sana my DADA, umentupaMiss you so much dogo langu.....upo?
Hapanaa... hapo NDIPO huyu mnae mwita mfalme anapokesea...kwa hatua aliyofikia sikutarajia maneno kama haya akayazungumza msanii kama Kiba.kwa ujumla hatambuai wap anakwenda kweny Keria yake....kiingereza ni njia tu ya mawasiliano si lazima awe mbobezi cha maji tu kinatosha TUWAACHE HAWA wanaotema slang english
mahelaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kwaaaaaaaaaaaaanzaaaaaaaaa
Sizitaki mbichi hizi. Huwezi kuignore lugha ya biashara. Sasa anawasiliana na Nani katika Muzic wake?
Umenisoma vizuri ukanielewa ..?Mbona viongzi wenu wanajua cha ugoko bado mnawachagua na ving'ora mnawapigia
Sema unamtaka ila hujui pa kuanzia anyway all tha bestHuyu kaka ananata sana na namchukia kwa sababu hiyo...naimagine angekuwa ana mafanikio atleast kama aliyonayo Dai sijui ingekuwaje...Halafu halijui hata kujieleza kwenye interview,huwa linaongea kama jitu lisilokuwa na hekima hata kidogo...damn (God forgive me)
Nipo sana my DADA, umentupa
Wala Sina shida ya kufanana na mtu km huyo. Na kusema lazima tuseme. Tokeni povu hd mkome ila ndio hatuchoki kusema.Hamfanan nae wala hamtakuja kulingana nae
jipeni moyo na maneno yenu ya kwenye kanga
unafki tuu .....
Ekotiteee mbona unakata viuno unajua kilingala ww?
Sasa ww vimba pasuka kabisa wkt Kiba anatengeneza mashabik wapya kila day
Sasa nyie endeleen kutema Povu wkt hata airport hamjawai kuvuka vile viti vya kusubiria watu!!
Lini diamond alijitangaza hadharani kuwa ana pesa?
Diamond atakujibu kulingana na ulivyomuuliza na kwa taarifa yako diamond ana mali zaidi ya unazozijua na hakuna mwanamuziki msiri kama diamond
Kwanza diamond mwenyewe humjui unaishia kumuona tu IG so kuwampole tu ujuzwe usiyoyajua.
Jina lako lina sadifu muonekano wako na mahali unapoishiFyuu nimjue atanisaidia nini nchi ninayoishi ninaishi na matajiri kuliko yeye niondolee ujinga wako wewe unadhani wote walioko jamii forum wanaishi maisha kama yako yakufagilia watu ovyo kweli wewe nitolee kiherere kama cha bashite ovyooo
Hii ndio shida ya kuishi uswahiliniKalale mbele uko ukawahi kumsifia boss wako ovyooo fyuuuuu
Punguza chuki wote ni binaadam na kila mtu ana mapungufu yakeHuyu kaka ananata sana na namchukia kwa sababu hiyo...naimagine angekuwa ana mafanikio atleast kama aliyonayo Dai sijui ingekuwaje...Halafu halijui hata kujieleza kwenye interview,huwa linaongea kama jitu lisilokuwa na hekima hata kidogo...damn (God forgive me)
Kwel huwez kumfnanisha Kiba. Na monde...hakuna haja ya kupima uwezo na mafanikio ya Monde..kila kitu kipo waz...Hapa ndo true identity yako imejionyesha