NgugiAchebe
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 1,024
- 688
Mondi kachukua tuzo, ya, mtv base na mtv mama zote, mbili kama hujuiHebu tuschieni kiba wetu kwanza juzi tumekuja na tuzo ambayo huyo domo wenu hajawah kuipata pamoja na mbwembwe zote!!yoooo!!!!
Mwambie huyo.Mondi kachukua tuzo, ya, mtv base na mtv mama zote, mbili kama hujui
Asee kuna watu punguani sijapata kuona, sasa ww kumchukia kibba ww kinakusaidia nn, hakujui ww ndo wajitia kumjua, mfyuuuu,Naanzaje kumuonea wivu kiba wakati mimi na yeye tunaishi katika dunia mbili tofauti?ukweli ni lazima usemwe,anapaswa kubadilika,kama msanii hupaswi kuonesha wazi kuwa unanata (well hata kama ni tabia yako)ajifunze kujishusha na kuchagua maneno ya kuongea anapokuwa kwenye interview ntafika mbali
Humpendi ndio maana umeandika shit tu hapaHuyu kaka ananata sana na namchukia kwa sababu hiyo...naimagine angekuwa ana mafanikio atleast kama aliyonayo Dai sijui ingekuwaje...Halafu halijui hata kujieleza kwenye interview,huwa linaongea kama jitu lisilokuwa na hekima hata kidogo...damn (God forgive me)
Mosha yupoSizitaki mbichi hizi. Huwezi kuignore lugha ya biashara. Sasa anawasiliana na Nani katika Muzic wake?
umemaliza.....gudAlikuja Cabo Snoop na Prakatatumba hata kiingereza hajui lakini alikua na mkalimani na akafanya show na akafanya collabo na Ali Kiba.
Kama ataajiri Mkalimani itakua poa.
Kacheze unapochezaga.Huyu kaka ananata sana na namchukia kwa sababu hiyo...naimagine angekuwa ana mafanikio atleast kama aliyonayo Dai sijui ingekuwaje...Halafu halijui hata kujieleza kwenye interview,huwa linaongea kama jitu lisilokuwa na hekima hata kidogo...damn (God forgive me)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Simpend Uyo jamaa analinga sanaHuyu kaka ananata sana na namchukia kwa sababu hiyo...naimagine angekuwa ana mafanikio atleast kama aliyonayo Dai sijui ingekuwaje...Halafu halijui hata kujieleza kwenye interview,huwa linaongea kama jitu lisilokuwa na hekima hata kidogo...damn (God forgive me)
Acha chuki binafsi ww kibaraka wa domo,Huyu kaka ananata sana na namchukia kwa sababu hiyo...naimagine angekuwa ana mafanikio atleast kama aliyonayo Dai sijui ingekuwaje...Halafu halijui hata kujieleza kwenye interview,huwa linaongea kama jitu lisilokuwa na hekima hata kidogo...damn (God forgive me)
Sisi hayo hayatuhusu ili mradi anatupa radha ya mziki tuupendao hizo weakness za mtu hazituhusuSijabase mkuu,sema huyu kaka ana tabia flani hivi ya kujisikia..he's not humble kama wakina Darasa,fa,ay,na wengineo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kunywa sumu mkuu!