PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,181
- 20,148
Mondi Milioni 5 alikuwa na watu 20,na Ali Kiba milioni 3 alikuwa na watu 10
Jamani kusoma hujui hata picha huoni!!?
Hapo Kiba ndo kaula
Hata akiweka mfukoni 2.5, na iliyobaki akapiga pasu, poa tu.
Nafikiri hakuna noma kutoa ajira kwa wengine. Msimcheke kwa kugawana na watu kile anachopata. Ndio mzunguko wa pesa ulivyo, na wengine nao wanaendesha familia, au vipi?