Mtanzania Mkenya
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 238
- 387
- Thread starter
-
- #121
Huna lolote mbwiga wewe. Mwenzio kapiga mkwanja mrefu we umekaa na majungu tu humu. Mwanaume mzima unakuwa na tabia za kishangingi. Na ndio maana unaishi Mombasa na tabia hizi sikushangai.
Sasa mwenye tabia za kishangingi ni wewe au mimi? Watu wameniomba mrejesho wa show na nimewaeleza. Whats wrong with you? uTeam utakuuwa pervert!!! Tatizo ni elimu sikulaumu. You are so uncouth and naive. Go back to school bro.
Kama wewe mwenye elimu ndio unashinda humu kutwa nzima kusengenya tu, sasa elimu yako ina maana gani?
HahahaaaMi mwenye nampenda mondi kuliko Kiba ila hapo mahesabu hata hayadanganyi, Kiba ndo kapata nyingi au wamepata wote sawa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mombasa alikua Na kina davido?![emoji3]
[emoji87]Hahahaaa
Bora umeongea ww diamond maisha yake ya sifa Sana wanasemaga maskini akipataMimi nimekuwa kwenye show na nimeshuhudia live. Kwenye Instagram page ya Diamond amePost fataki akidanganya watu kuwa fataki ziliwekwa kwa ajili yake wakati fataki ziliwekwa kufungua show na kuadhimisha miaka kumi ya ODM. Diamond anapenda sifa sana.
[emoji3] [emoji3] [emoji3][emoji87]
Shabiki mkweli mimi
Naona Ali Kiba ameshakurushia pesa ya VOCHA..!
UNAPUYANGA tu jukwaani mwanamama..!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haya basi ngoja nibadilishe kauli...
Afadhali Ali Kiba na yeye ajipatiage pesa ya KUJENGEA nyumba..!