Ali Mufuruki on ITV: Kilimo kwanza kiliishia wapi? Viwanda vya Saruji kupata hasara si ishara nzuri

Ali Mufuruki on ITV: Kilimo kwanza kiliishia wapi? Viwanda vya Saruji kupata hasara si ishara nzuri

Ally Mufuruki ..huyu huyu aliechangia kufilisi Air Tanzania akiwa na yule jamaa wa Africa kisuni au mdogo wake??
Nakubaliana na wewe kuwa huyu ALi MFURUKI NI MJANJA MJANJA MMOJA HAPA MJINI. Kwa wale wenye kumbukumbu nzuri mtakumbuka kuwa huyu bwana aliwahi kuteuliwa kuwa mwenyekiti wa board ya ATC [shirika letu la ndege ] na akiwa na wadhifa huo ndio akatuingiza ubia na shirika la ndege la Afrika ya Kusini [SAA]. Ubia kati ya mashirika haya mawili ulikuwa kwa faida zaidi ya wenzetu kuliko shirika letu kiasi kwamba ATC ilibambikizwa madeni hewa under Mfuruki's watch kumbe huku yeye alikuwa anavuta mkwanja kwa njia za kiwizi!!

Hata hiva sasa bado shirika na ndege la Africa Kusini linadai ATC Fedha nyingi ambazo huko mbele zinaweza kusababisha ndege zetu mara zikitua huko zikakamatwa kwasababu ya ufisadi wa huyu bwana na genge lake!! Ni mnafiki anyejifanya kuwa ni mzalendo kumbe ni muongo anayeishi kwa Ujanja Ujanja tu wa TAX AVOIDANCE/ EVASION!!!

Kumbe bado tupo ambao tunaokumbuka haya. Halafu tukisema tunaweza kuonekana ni Hater
 
Yupo vizuri sana
Anahoji kilimo kwanza kiliishia wapi.
Asema faida za benki zimepungua sana
Viwanda vya saruji kupata hasara ni ishara mbaya
Anasifia viongozi wa Africa wanaoenda nje kutafuta wawekezaji
Amani na raslimali sio viegezo pekee cha kuvutia mitaji
GDP ya Tanzania ni 5% ya mapato ya Apples
Kujenga uchumi wa viwanda kama China kuchukua miaka si chini ya arobaini
Hakuna uwekezaji mkubwa nchini tangu ule wa migodi ya dhahabu
Kwa nondo hizi na nyingine nyingi nahisi watu wasiojulikana wanazuia sehemu ya pili wiki ijayo
Naona watu wamechoka usanii wasmagu na bashite, wanaanza kufunguka
 
Hebu tupeni Cv ya Ally Mufuruki wakuu.

Huyu jamaa atakuwa hajasoma UDSM aisee hii ni Havard Bussiness School (HBS) or Massachusetts Insititute Of Technology (MIT) maana kwenye masuala ya viwanda jamaa yuko well informed.

Over
Musipende kuhusudu bhla-bhla za TV, mitandao na redio. Hilo ni zinga la Tapeli ambalo halijastukiwa. Ana historia chafu ya uaminifu wake. Asemayo ni mitandao tu kama hiyo ya akina Zitto na Bashe. Leo akisoma hiki kesho ni ufahamu wake.
 
Yupo vizuri sana
Anahoji kilimo kwanza kiliishia wapi.
Asema faida za benki zimepungua sana
Viwanda vya saruji kupata hasara ni ishara mbaya
Anasifia viongozi wa Africa wanaoenda nje kutafuta wawekezaji
Amani na raslimali sio viegezo pekee cha kuvutia mitaji
GDP ya Tanzania ni 5% ya mapato ya Apples
Kujenga uchumi wa viwanda kama China kuchukua miaka si chini ya arobaini
Hakuna uwekezaji mkubwa nchini tangu ule wa migodi ya dhahabu
Kwa nondo hizi na nyingine nyingi nahisi watu wasiojulikana wanazuia sehemu ya pili wiki ijayo
Amesahau sukari imekosa wateja imejaa kiwandani

[emoji252] [emoji479]
 
Sera ya viwanda inabidi ifanyiwe marekebisho.
1. Kuchagua specifically aina gani ya viwanda tunavitaka
Sera ya viwanda inabidi ifanyiwe marekebisho.
1. Kuchagua specifically aina gani ya viwanda tunavitaka
Kwani sera ya sasa hivi Ina mapungufu yapo?
Secondly wawekezaji wapo huru kutegemeana Na maono ya Mwekezaji mwenyewe, anataka ku wekeza kwenye nini??
Lakini historically Na emphasis imekuwa Ktk value addition ya Mazao tunaozalisha iwe kahawa , Pamba nyanya etc. Kwa hiyo hii kitu hahitaji sera au serekali kuwa specifically kwamba labda Morogoro au Iringa kiwepo Kiwanda Cha ku process nyanya etc .
Kuhusu Kilimo kwanza ingawa utekelezaji wake haukufikia 50% ya Uwezo wa nchi lakini hata hapa tulipo uzalishaji wa Kilimo Kama Mahindi etc umekuwa mkubwa kuliko mahitaji Na kusababisha bei kupungua hivyo kiti hasa Za serikali ku wekeza Ktk miundo mbinu upo sawa ili Mazao hayo yaweze kusafirishwa kwenda sehemu zingine au kuwa processed etc
Kuhusu utafiti hapo yupo sawa Na ndio maana tunaibiwa Kama ulivyokuwa mkataba wa saa Na Atc ambapo yeye akapewa uwenyekiti wa board
 
Musipende kuhusudu bhla-bhla za TV, mitandao na redio. Hilo ni zinga la Tapeli ambalo halijastukiwa. Ana historia chafu ya uaminifu wake. Asemayo ni mitandao tu kama hiyo ya akina Zitto na Bashe. Leo akisoma hiki kesho ni ufahamu wake.
Shida kubwa ya watz mtu akijua kuongea sanaa watakuambia"dah jamaa ni very smart"

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubaliana na wewe kuwa huyu ALi MFURUKI NI MJANJA MJANJA MMOJA HAPA MJINI. Kwa wale wenye kumbukumbu nzuri mtakumbuka kuwa huyu bwana aliwahi kuteuliwa kuwa mwenyekiti wa board ya ATC [shirika letu la ndege ] na akiwa na wadhifa huo ndio akatuingiza ubia na shirika la ndege la Afrika ya Kusini [SAA]. Ubia kati ya mashirika haya mawili ulikuwa kwa faida zaidi ya wenzetu kuliko shirika letu kiasi kwamba ATC ilibambikizwa madeni hewa under Mfuruki's watch kumbe huku yeye alikuwa anavuta mkwanja kwa njia za kiwizi!!

Hata hiva sasa bado shirika na ndege la Africa Kusini linadai ATC Fedha nyingi ambazo huko mbele zinaweza kusababisha ndege zetu mara zikitua huko zikakamatwa kwasababu ya ufisadi wa huyu bwana na genge lake!! Ni mnafiki anyejifanya kuwa ni mzalendo kumbe ni muongo anayeishi kwa Ujanja Ujanja tu wa TAX AVOIDANCE/ EVASION!!!

Umeandika hisia. Nimetafuta fact, sijaona sehemu yoyote. Una fact yoyote?

Viwanda vingi vilivyoanzishwa enzi za Mwalimu, vilianza kufa na kutengeneza hasara katika kipindi chake. Je, kwa sababu vilisababisha hasara na madeni, Mwalimu alikuwa mjanja mjanja?

Hata wewe unaweza kuanzisha mradi wako, na usipate faida au ukaishia kwenye madeni makubwa yasiyolipika. Kupata hasara au faida havina uhusiano wa moja kwa moja na wizi au uwezo mdogo wa msimamizi.

Jifunzeni kuchangia kwa hoja na siyo kuchangia kimajungumajungu. Sijui kwa nini Watanzania wengi hawana uwezo wa kujenga hoja. Uwezo wao unaishia kujenga majungu.
 
Mfuruki ni mjanja mjanja tu wa hapa mjini. Fobes wanasema Jamaa yupo top 10 kwa matajiri Tanzania, wakati jamaa hatujui kabisa bussness zake zaidi ya maduka ya Wolwoth sidhani kama ana kiwanda or tangible investment

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasoma google wanakuja kutujaza matango pori.
Huyu, Tundu, Zitto wote ni wataalam wa ku google halafu wanajifanya wanashusha nondo haswa.
Habari za acaccia,bombadier, dreamliner na matakataka yote yapo mtandaoni ila sio ya bashite tu na mgambo wake za kusafisha.
Muwe wepesi tu kufukunyua mambo yote yameandikwa haya ila mtu anatafsiri anajifanya kwenye mahojiano yy ndo mtaalam kavumbua.
Hakuna wasomi makanjanja km wabongo.
Mtu anaitwa profesa lugha yenyewe ya malkia anaungaunga.
 
Mfuruki ni mjanja mjanja tu wa hapa mjini. Fobes wanasema Jamaa yupo top 10 kwa matajiri Tanzania, wakati jamaa hatujui kabisa bussness zake zaidi ya maduka ya Wolwoth sidhani kama ana kiwanda or tangible investment

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua Woolworths capital yake au unaona n km za kariakoo?? Apo unakuta unatoa dharau Hz ht kibanda huna[emoji1] [emoji1] [emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Musipende kuhusudu bhla-bhla za TV, mitandao na redio. Hilo ni zinga la Tapeli ambalo halijastukiwa. Ana historia chafu ya uaminifu wake. Asemayo ni mitandao tu kama hiyo ya akina Zitto na Bashe. Leo akisoma hiki kesho ni ufahamu wake.
Hebu tiririka hapa huo utapeli wake....
 
Back
Top Bottom