Wivu wa kike unakisumbuaWanasoma google wanakuja kutujaza matango pori.
Huyu, Tundu, Zitto wote ni wataalam wa ku google halafu wanajifanya wanashusha nondo haswa.
Habari za acaccia,bombadier, dreamliner na matakataka yote yapo mtandaoni ila sio ya bashite tu na mgambo wake za kusafisha.
Muwe wepesi tu kufukunyua mambo yote yameandikwa haya ila mtu anatafsiri anajifanya kwenye mahojiano yy ndo mtaalam kavumbua.
Hakuna wasomi makanjanja km wabongo.
Mtu anaitwa profesa lugha yenyewe ya malkia anaungaunga.
Pamoja na kuwa Franchisee wa Woolworth Tanzania na Uganda, pia ni mwanzilishi na CEO wa Infotech Investment Group. Miezi michache iliyopita Tume ya Ushindani ilitoa tangazo lifuatalo:
Very funny!Wanasoma google wanakuja kutujaza matango pori.
Huyu, Tundu, Zitto wote ni wataalam wa ku google halafu wanajifanya wanashusha nondo haswa.
Habari za acaccia,bombadier, dreamliner na matakataka yote yapo mtandaoni ila sio ya bashite tu na mgambo wake za kusafisha.
Muwe wepesi tu kufukunyua mambo yote yameandikwa haya ila mtu anatafsiri anajifanya kwenye mahojiano yy ndo mtaalam kavumbua.
Hakuna wasomi makanjanja km wabongo.
Mtu anaitwa profesa lugha yenyewe ya malkia anaungaunga.
Ndo maana wanawe kawapeleka nje kusoma kuanzia 'nursery'Anasema mfumo wa elimu wa sikuhizi sio rafiki kwa kuendeleza viwanda
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mmoja kati ya wachache walioifilisi CRDB orijino Kabla haijachukuliwa na akila Kimei. Baadaye aliunda kikampuni kikiitwa infosys ambacho kilitajwa kwenye mambo ya Lugumi na Polisi wao. Kikampuni kikawa uchochoro wa kupitishia pesa nzito za mirahi krk awamu za upigaji. Mtu huyu hafai hata kusikilizwa.Mfuruki ni mjanja mjanja tu wa hapa mjini. Fobes wanasema Jamaa yupo top 10 kwa matajiri Tanzania, wakati jamaa hatujui kabisa bussness zake zaidi ya maduka ya Wolwoth sidhani kama ana kiwanda or tangible investment
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma msg hizi ili baadaye ujue uliyemsikiliza siyo mtaalamu, ni Bonge la Tapeli.nlikuwa najua swala la viwanda ni bongo muvi jana nlimsikiliza huyo mtaalam nimeona ni zaidi ya komedi
Sema ameongea uliyotaka kusikia. Pre-conceived idea.Whether ana historia mbaya or not. Ila jamaa kiukweli ameongea facts. Kuna la kujifunza pale.
Sent using Jamii Forums mobile app
Boss! Hiyo ndo kweli! Ufahamu mdogo na waliowengi kila kinachoongelewa bila yeye kujua anaona hiyo ni point. KIchwa kikiwa wazi, kila kitu kinakuwa ni content!Shida kubwa ya watz mtu akijua kuongea sanaa watakuambia"dah jamaa ni very smart"
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
hakuna mfanyabiashara kwa kiwango cha mufuruki halafu awe bogasi kichwaniHa ha ha, mkuu hata wewe ukiamua kusoma taarifa husika kwa ajili ya presentation inawezekana, na tunaweza kudhani unajua sana kwenye hiyo sekta.
Applicability ndo changamoto, ni sawa na Mwl Kashasha anavyochambua mpira, mpe ukocha uone.
hakuna mfanyabiashara kwa kiwango cha mufuruki halafu awe bogasi kichwani
Naona ni mmoja wa wale ambao hawana elimu. Unaweza usiwe bogasi (bogus), uwe smart lakini morally dead na ukafanikiwa. Tusipende kushabikia bila kuhusisha vichwa kikamilifu.hakuna mfanyabiashara kwa kiwango cha mufuruki halafu awe bogasi kichwani
Aaaah! kila mtu ana exposure ya kazi yake. Mkulima wa mtama pale Dodoma ana exposure kubwa ya kilimo chake.Nilimsikia huyu mtu ana exposure kubwa ya biashara
Unategemea nini kwa @Chertified HaterKumbe bado tupo ambao tunaokumbuka haya. Halafu tukisema tunaweza kuonekana ni Hater