Aliacha shule haikupita muda tukasikia amerukia sumalia

Picha
 
Aisee
 
Huyo bnana ameshakutana na wenye imani zao, na kumpandikiza sumu!! Siku moja usije shangaa jina lake liko kwenye orodha ya wanaotafutwa na USA!!
 
Wanadanganywa wanampigania Mungu
 
Inawezekana amejikita kwenye dini zaidi ndio sababu haonekani fb.
Hakuna ulevi mbaya kama dini
 
Story za kutunga ili kuchafua watu fulani kwa sababu ya chuki tu,eti Sumalia!
 
Maisha yake,hatima yake mwenyewe iwe nzuri au mbaya.
 
Huko kuna biashara nyingi haram ikiwemo drug trafficking.
Mnaweza mkashikilia ugaidi kumbe mwenzenu ameenda kuuza ngada na akapotelea alipopotelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…