Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PichaHuyu ndugu alikuwa mpole tu ila alipofika kidato cha tatu akawa haendi sana shule ikawa anashinda sana kwenye nyumba ya ibada
Baadae akaacha kabisa shule kwa kusema anaingia kujifunza mambo ya gereji
Kwenye gereji kweli ukiwa na kichwa chepesi pesa ipo
Alienda gereji moja inamilikiwa na mtu mwenye asili ya sumalia au yemen hivi
Ila hakukaa sana tukasikia yupo sumalia
Facebook akawa anarusha picha kwenye muonekano tofauti na ule wakwake ndefu zikawa zimeshuka sana ule utanashati haupo tena
Ila imepita miaka kadhaa hajapost tena
Huyu kijana ni alikuwa jirani km ndugu tu aliishi na bibi yake wazazi wake walishauvua mwili wa binadamu muda sana
Sasa kwa kufikiri tu sidhani km mtanzania anaweza kuzamia kutafuta maisha sumalia
Sumalia kuna fursa kuliko TZ?
AiseeHuyu ndugu alikuwa mpole tu ila alipofika kidato cha tatu akawa haendi sana shule ikawa anashinda sana kwenye nyumba ya ibada
Baadae akaacha kabisa shule kwa kusema anaingia kujifunza mambo ya gereji
Kwenye gereji kweli ukiwa na kichwa chepesi pesa ipo
Alienda gereji moja inamilikiwa na mtu mwenye asili ya sumalia au yemen hivi
Ila hakukaa sana tukasikia yupo sumalia
Facebook akawa anarusha picha kwenye muonekano tofauti na ule wakwake ndefu zikawa zimeshuka sana ule utanashati haupo tena
Ila imepita miaka kadhaa hajapost tena
Huyu kijana ni alikuwa jirani km ndugu tu aliishi na bibi yake wazazi wake walishauvua mwili wa binadamu muda sana
Sasa kwa kufikiri tu sidhani km mtanzania anaweza kuzamia kutafuta maisha sumalia
Sumalia kuna fursa kuliko TZ?
Hii nji ipo nji gani? In LYATONGA MREMA voicesumalia kama sumalia
Hii inji ipo Nanjilinji!Hii nji ipo nji gani? In LYATONGA MREMA voice
Inaonekana nanjilinji ni inji kubwa sana 😂Hii inji ipo Nanjilinji!
😁😁
Huyo bnana ameshakutana na wenye imani zao, na kumpandikiza sumu!! Siku moja usije shangaa jina lake liko kwenye orodha ya wanaotafutwa na USA!!Huyu ndugu alikuwa mpole tu ila alipofika kidato cha tatu akawa haendi sana shule ikawa anashinda sana kwenye nyumba ya ibada
Baadae akaacha kabisa shule kwa kusema anaingia kujifunza mambo ya gereji
Kwenye gereji kweli ukiwa na kichwa chepesi pesa ipo
Alienda gereji moja inamilikiwa na mtu mwenye asili ya sumalia au yemen hivi
Ila hakukaa sana tukasikia yupo sumalia
Facebook akawa anarusha picha kwenye muonekano tofauti na ule wakwake ndefu zikawa zimeshuka sana ule utanashati haupo tena
Ila imepita miaka kadhaa hajapost tena
Huyu kijana ni alikuwa jirani km ndugu tu aliishi na bibi yake wazazi wake walishauvua mwili wa binadamu muda sana
Sasa kwa kufikiri tu sidhani km mtanzania anaweza kuzamia kutafuta maisha sumalia
Sumalia kuna fursa kuliko TZ?
Yaani hiyo inji injini yake imefeli kabisa kama ndio hivyo!Inaonekana nanjilinji ni inji kubwa sana 😂
Itabidi iige mfano kwa inji nyingineYaani hiyo inji injini yake imefeli kabisa kama ndio hivyo!
Ukitaka kutafuta maisha, nenda nchi za wakristo wengi au wapagani. Tofauti na hapo, unatafuta majangaKaingizwa kwenye ugaidi
Alishauvua mwili huuKwa hio Bibi yake anamtafuta?