Alianza mwendo vizuri, ila sasa kaanza kukengeuka kama mtangulizi wake

Alianza mwendo vizuri, ila sasa kaanza kukengeuka kama mtangulizi wake

PhD

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2009
Posts
4,692
Reaction score
3,891
Namuongelea Kiongozi wetu, alianza vema sana kazi zake kwa kuhakikisha teuzi nyingi zinazingatia sifa, weledi, umoja wa kitaifa, dini na hata jinsia. Hata hivyo, kwa siku za karibuni ameanza kukengeuka kama mtangulizi wake.

Anateua watu wenye kutiliwa mashaka weledi wao angalia kama huyo KM mpya utamaduni. Ana sifa za hovyo za ubadhirifu akiwa msaidizi binafsi wa yule spika aliyejiuzulu, kama vetting ingefanyika hafai kuwa KM ni vile tu ana vinasaba na uhusiano na yule DGIS mstaafu kutoka Tanga ambaye kwa sasa anaendesha nchi kwa mlango wa nyuma.

Tazama uteuzi wa Mkwe na Swahiba wake kuongoza Wizara nyeti, wote wa dini moja na marafiki pendwa unganisha dots na ziara za juzi za mtu ambaye hakutambulishwa jina ila aliitwa mwanaukoo wa ufalme wa UAE utaelewa wazi kuwa huyu kiongozi wetu kishaanza kuwa kama mtangulizi wake marehemu. Sifa zao kuu ni wizi, upendelevu wa ndugu zao, udini na ueneo.

Kama tulivyomkemea marehemu huyu naye tunamtaka cache ujinga huu wa kuigawa nchi.
 
Namuongelea Kiongozi wetu, alianza vema sana kazi zake kwa kuhakikisha teuzi nyingi zinazingatia sifa, weledi, umoja wa kitaifa, dini na hata jinsia. Hata hivyo, kwa siku za karibuni ameanza kukengeuka kama mtangulizi wake. Anateua watu wenye kutiliwa mashaka weledi wao angalia kama huyo KM mpya utamaduni. Ana sifa za hovyo za ubadhirifu akiwa msaidizi binafsi wa yule spika aliyejiuzulu, kama vetting ingefanyika hafai kuwa KM ni vile tu ana vinasaba na uhusiano na yule DGIS mstaafu kutoka Tanga ambaye kwa sasa anaendesha nchi kwa mlango wa nyuma.

Tazama uteuzi wa Mkwe na Swahiba wake kuongoza Wizara nyeti, wote wa dini moja na marafiki pendwa unganisha dots na ziara za juzi za mtu ambaye hakutambulishwa jina ila aliitwa mwanaukoo wa ufalme wa UAE utaelewa wazi kuwa huyu kiongozi wetu kishaanza kuwa kama mtangulizi wake marehemu. Sifa zao kuu ni wizi, upendelevu wa ndugu zao, udini na ueneo.

Kama tulivyomkemea marehemu huyu naye tunamtaka cache ujinga huu wa kuigawa nchi.
Hebu tuache hizi mambo za hovyo hovyo!. Presidential appointment powers ni sole and exclusive rights za rais wetu kuwachagua wasaidizi anao ona watamfaa hivyo anafanya appointment at her pleasure as she pleases na teuzi hizi hazihojiwi na yoyote wala kuingiliwa na mamlaka yeyote!. Tusitake kimnyooshea vidole too much tukataka kumtia vidole hadi machoni!.

Jielimishe zaidi hapa Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!

Na kuhusu mwendo, japo ni kweli alianza vema na anakwenda akibadilika na hili hata mimi nililisema Mama, I'm here to support you, to serve our country. I'm here sio tu kuonesha ujuzi wangu kwa nchi yangu, bali pia kuutumia. But...

Ila tunako kwenda ni kuzuri Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa, wakipata vema na kupendana. Tulikotoka ni kugumu, tunakokwenda ni kurahisi, kuzuri! Heri ya Mwaka Mpya wahusika wote
P
 
Hebu tuache hizi mambo za hovyo hovyo!. Presidential appointment powers ni sole and exclusive rights za rais wetu kuwachagua wasaidizi anao ona watamfaa hivyo anafanya appointment at her pleasure as she pleases na teuzi hizi hazihojiwi na yoyote wala kuingiliwa na yeyote!. Tusitake kimnyooshea vidole too much tukataka kumtia vidole hadi machoni.

Jielimishe zaidi hapa Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!

Na kuhusu mwendo, japo ni kweli alianza vema na anakwenda akibadilika na hili hata mimi nililisema Mama, I'm here to support you, to serve our country. I'm here sio tu kuonesha ujuzi wangu kwa nchi yangu, bali pia kuutumia. But...

Ila tunako kwenda ni kuzuri Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa, wakipata vema na kupendana. Tulikotoka ni kugumu, tunakokwenda ni kurahisi, kuzuri! Heri ya Mwaka Mpya wahusika wote
P
Ndugu Pascal Mayalla ,naomba mantiki ya wewe kuweka rejea ya nyuzi zako kwenye karibu kila mchango wako hapa jamvini.
 
Ndugu Pascal Mayalla ,naomba mantiki ya wewe kuweka rejea ya nyuzi zako kwenye karibu kila mchango wako hapa jamvini.
Tangu nimejiunga JF nimepost posts 45,000 kati ya hizo, mepandisha mabandiko zaidi ya 2000 nikizungumzia issues mbalimbali, hivyo kila nikichangia issues yoyote ambayo niliisha ianzishia uzi, badala ya kurudia yale niliyoyasema, naweka references wale wenye nafasi wakajielimishe zaidi.

P
 
Maumivu ya kichwa uanza taratibu ukitaka kufuatilia haya mambo. Maza Mbona hana noma kabisa kwenye nepotism ata Moyo aliekuwa mkuu wa wilaya Iringa mjini sasa hivi sijui kampeleka wapi ni ex husband wa binti yake ambae kwa sasa ni mke wa waziri.

Utaki kupewa orodha ya nafasi za ndugu na jamaa zake wote waliopo serikalini na kwenye ubalozi, ni mambo ya kawaida huko kwao Zanzibar kupeana nafasi huo utamaduni kaja nao bara.

Watu wako kimya sio kwamba awaoni wapo busy kusaka utajiri hujui mbele anakuja nani so wapo busy kuchuma ata akimteua mumewe uwaziri utosikia kelele kipindi hiki.

Wa bara hawana uzalendo kabisa.
 
Yap tomorrow is uncertain,hatujui atakuja nani baada yake,so Kila mtu anasecure future yake,so sad
Maumivu ya kichwa uanza taratibu ukitaka kufuatilia haya mambo. Maza Mbona hana noma kabisa kwenye nepotism ata Moyo aliekuwa mkuu wa wilaya Iringa mjini sasa hivi sijui kampeleka wapi ni ex husband wa binti yake ambae kwa sasa ni mke wa waziri.

Utaki kupewa orodha ya nafasi za ndugu na jamaa zake wote waliopo serikalini na kwenye ubalozi, ni mambo ya kawaida huko kwao Zanzibar kupeana nafasi huo utamaduni kaja nao bara.

Watu wako kimya sio kwamba awaoni wapo busy kusaka utajiri hujui mbele anakuja nani so wapo busy kuchuma ata akimteua mumewe uwaziri utosikia kelele kipindi hiki.

Wa bara hawana uzalendo kabisa.
 
Kwa hiyo watu mmenusa teuzi zinaegemea zaidi kwenye vibaragashia, kwa wakwe na ujombani........wacha nikae paleeee......
 
Masharti ya Maridhiano HAYARUHUSU kumsema.

Labda yupo atakayekaidi na kusema,

Yule kalimani aliondolewa sababu ya kuwa mjomba wa uncle, doto jaaames vile vile,

Saiz mkwe kabisa ndani ya nyumba😳😳
 
Hebu tuache hizi mambo za hovyo hovyo!. Presidential appointment powers ni sole and exclusive rights za rais wetu kuwachagua wasaidizi anao ona watamfaa hivyo anafanya appointment at her pleasure as she pleases na teuzi hizi hazihojiwi na yoyote wala kuingiliwa na yeyote!. Tusitake kimnyooshea vidole too much tukataka kumtia vidole hadi machoni.

Jielimishe zaidi hapa Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!

Na kuhusu mwendo, japo ni kweli alianza vema na anakwenda akibadilika na hili hata mimi nililisema Mama, I'm here to support you, to serve our country. I'm here sio tu kuonesha ujuzi wangu kwa nchi yangu, bali pia kuutumia. But...

Ila tunako kwenda ni kuzuri Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa, wakipata vema na kupendana. Tulikotoka ni kugumu, tunakokwenda ni kurahisi, kuzuri! Heri ya Mwaka Mpya wahusika wote
P
Mteuliwaji anayefuata ni P,na uteuzi wake asihojiwe yeyote ameshawapeni darasa hapa🤔
 
ANATUPELEKA PABAYA! aNAANZA KUZUNGUKWA NA DINI YAKE, KABILA LAKE LA ZENJI, CCM AND THE LIKE! aTALIGAWA TAIFA. tIME WILL TELL!
Mkuu bado una mawazo mfu kama ya Mwendakuzimu kuwa ni dini moja tuu inapaswa kupewa lion's share ya appointments?
Angalia teuzi zote tutajie ni wapi dini ya mteuzi ni wengi.
Ukishindwa kindly 😷
 
Back
Top Bottom