Alianza mwendo vizuri, ila sasa kaanza kukengeuka kama mtangulizi wake

Alianza mwendo vizuri, ila sasa kaanza kukengeuka kama mtangulizi wake

Namuongelea Kiongozi wetu, alianza vema sana kazi zake kwa kuhakikisha teuzi nyingi zinazingatia sifa, weledi, umoja wa kitaifa, dini na hata jinsia. Hata hivyo, kwa siku za karibuni ameanza kukengeuka kama mtangulizi wake.

Anateua watu wenye kutiliwa mashaka weledi wao angalia kama huyo KM mpya utamaduni. Ana sifa za hovyo za ubadhirifu akiwa msaidizi binafsi wa yule spika aliyejiuzulu, kama vetting ingefanyika hafai kuwa KM ni vile tu ana vinasaba na uhusiano na yule DGIS mstaafu kutoka Tanga ambaye kwa sasa anaendesha nchi kwa mlango wa nyuma.

Tazama uteuzi wa Mkwe na Swahiba wake kuongoza Wizara nyeti, wote wa dini moja na marafiki pendwa unganisha dots na ziara za juzi za mtu ambaye hakutambulishwa jina ila aliitwa mwanaukoo wa ufalme wa UAE utaelewa wazi kuwa huyu kiongozi wetu kishaanza kuwa kama mtangulizi wake marehemu. Sifa zao kuu ni wizi, upendelevu wa ndugu zao, udini na ueneo.

Kama tulivyomkemea marehemu huyu naye tunamtaka cache ujinga huu

wa kuigawa nchi.

Namuongelea Kiongozi wetu, alianza vema sana kazi zake kwa kuhakikisha teuzi nyingi zinazingatia sifa, weledi, umoja wa kitaifa, dini na hata jinsia. Hata hivyo, kwa siku za karibuni ameanza kukengeuka kama mtangulizi wake.

Anateua watu wenye kutiliwa mashaka weledi wao angalia kama huyo KM mpya utamaduni. Ana sifa za hovyo za ubadhirifu akiwa msaidizi binafsi wa yule spika aliyejiuzulu, kama vetting ingefanyika hafai kuwa KM ni vile tu ana vinasaba na uhusiano na yule DGIS mstaafu kutoka Tanga ambaye kwa sasa anaendesha nchi kwa mlango wa nyuma.

Tazama uteuzi wa Mkwe na Swahiba wake kuongoza Wizara nyeti, wote wa dini moja na marafiki pendwa unganisha dots na ziara za juzi za mtu ambaye hakutambulishwa jina ila aliitwa mwanaukoo wa ufalme wa UAE utaelewa wazi kuwa huyu kiongozi wetu kishaanza kuwa kama mtangulizi wake marehemu. Sifa zao kuu ni wizi, upendelevu wa ndugu zao, udini na ueneo.

Kama tulivyomkemea marehemu huyu naye tunamtaka cache ujinga huu wa kuigawa nchi.
ANATUPELEKA PABAYA! aNAANZA KUZUNGUKWA NA DINI YAKE, KABILA LAKE LA ZENJI, CCM AND THE LIKE! aTALIGAWA TAIFA. tIME WILL TELL!
 
Tuungane kudai KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA.

Tutafanikiwa kuondoa Ombwe hili la UONGOZI.

Maana ikitokea sku moja tukampata kiongozi mkuu Kutoka BUKOBA mjini,

Tutakoma😃😃😃😃😃
 
Mkuu bado una mawazo mfu kama ya Mwendakuzimu kuwa ni dini moja tuu inapaswa kupewa lion's share ya appointments?
Angalia teuzi zote tutajie ni wapi dini ya mteuzi ni wengi.
Ukishindwa kindly 😷
utakuwa wa dini yke kwani huoni!
 
Hebu tuache hizi mambo za hovyo hovyo!. Presidential appointment powers ni sole and exclusive rights za rais wetu kuwachagua wasaidizi anao ona watamfaa hivyo anafanya appointment at her pleasure as she pleases na teuzi hizi hazihojiwi na yoyote wala kuingiliwa na yeyote!. Tusitake kimnyooshea vidole too much tukataka kumtia vidole hadi machoni.

Jielimishe zaidi hapa Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!

Na kuhusu mwendo, japo ni kweli alianza vema na anakwenda akibadilika na hili hata mimi nililisema Mama, I'm here to support you, to serve our country. I'm here sio tu kuonesha ujuzi wangu kwa nchi yangu, bali pia kuutumia. But...

Ila tunako kwenda ni kuzuri Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa, wakipata vema na kupendana. Tulikotoka ni kugumu, tunakokwenda ni kurahisi, kuzuri! Heri ya Mwaka Mpya wahusika wote
P
Watu wengi hawaijui Katiba imempa madaraka ya aina gani Rais wa Nchi !! Hata Mwalimu aliiogopa alipokuwa nje ya madaraka !!
 
Tuungane kudai KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA.

Tutafanikiwa kuondoa Ombwe hili la UONGOZI.

Maana ikitokea sku moja tukampata kiongozi mkuu MUHAYA,

Tutakoma😃😃😃😃😃
Yeyote yule wa kutoka kabila lolote lile huwezi ukamjua atakuwaje akishakaa pale !! Wote uliopata kuwasikia Duniani wakifanya vimbwanga vya kuogopesha hawakujulikana kama wangekuwa vile !! Watu wengi ni hodari sana wa kuficha makucha yao !! Hasa watu wa namna hizo !! Ndio maana huwa Wanasemaga Rohoni kwa mtu ni mbali !!!
 
Namuongelea Kiongozi wetu, alianza vema sana kazi zake kwa kuhakikisha teuzi nyingi zinazingatia sifa, weledi, umoja wa kitaifa, dini na hata jinsia. Hata hivyo, kwa siku za karibuni ameanza kukengeuka kama mtangulizi wake.

Anateua watu wenye kutiliwa mashaka weledi wao angalia kama huyo KM mpya utamaduni. Ana sifa za hovyo za ubadhirifu akiwa msaidizi binafsi wa yule spika aliyejiuzulu, kama vetting ingefanyika hafai kuwa KM ni vile tu ana vinasaba na uhusiano na yule DGIS mstaafu kutoka Tanga ambaye kwa sasa anaendesha nchi kwa mlango wa nyuma.

Tazama uteuzi wa Mkwe na Swahiba wake kuongoza Wizara nyeti, wote wa dini moja na marafiki pendwa unganisha dots na ziara za juzi za mtu ambaye hakutambulishwa jina ila aliitwa mwanaukoo wa ufalme wa UAE utaelewa wazi kuwa huyu kiongozi wetu kishaanza kuwa kama mtangulizi wake marehemu. Sifa zao kuu ni wizi, upendelevu wa ndugu zao, udini na ueneo.

Kama tulivyomkemea marehemu huyu naye tunamtaka cache ujinga huu wa kuigawa nchi.
Kwani Wazanzibar si wanajulikana kwa udini na ubaguzi.
 
Hebu tuache hizi mambo za hovyo hovyo!. Presidential appointment powers ni sole and exclusive rights za rais wetu kuwachagua wasaidizi anao ona watamfaa hivyo anafanya appointment at her pleasure as she pleases na teuzi hizi hazihojiwi na yoyote wala kuingiliwa na yeyote!. Tusitake kimnyooshea vidole too much tukataka kumtia vidole hadi machoni.

Jielimishe zaidi hapa Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!

Na kuhusu mwendo, japo ni kweli alianza vema na anakwenda akibadilika na hili hata mimi nililisema Mama, I'm here to support you, to serve our country. I'm here sio tu kuonesha ujuzi wangu kwa nchi yangu, bali pia kuutumia. But...

Ila tunako kwenda ni kuzuri Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa, wakipata vema na kupendana. Tulikotoka ni kugumu, tunakokwenda ni kurahisi, kuzuri! Heri ya Mwaka Mpya wahusika wote
P
Hayo ni maoni yako na hayawezi kuwa authority na ukweli usemwe
 
Ili kuweka mambo sawa watu wasilaumu uteuzi wa upendeleo wa dini. Uteuzi uwe sawa kwa dini zote za ukristo na uislamu.
Tuone watu wa dini gani watafaidika.
Sidhani Kama nchi hii ilishawahi tokea teuzi za waislamu zikazidi za wakristo, Mara zote ni kinyume chake
 
Ndugu Pascal Mayalla ,naomba mantiki ya wewe kuweka rejea ya nyuzi zako kwenye karibu kila mchango wako hapa jamvini.
Ni kujimwambafai TU ,Huyo Ni Moja ya vijana wazee waliokosa Mchango wa maana kwa Taifa ,,yaani afadhali hata mwalimu wa shule ya msingi aliyefundisha miaka kumi anamchango mkubwa kwa Taifa kuliko Huyo msaka Teuzi... Nipo tayari kuitwa kilaza nipo hapa kwenye kivuko kinachokarabatiwa kwa 7Billions.
 
Mkuu bado una mawazo mfu kama ya Mwendakuzimu kuwa ni dini moja tuu inapaswa kupewa lion's share ya appointments?
Angalia teuzi zote tutajie ni wapi dini ya mteuzi ni wengi.
Ukishindwa kindly 😷
Halafu hao wanateuliwa hata hawajui Alif Laam Mim ipo kitabu gani..

Watu wanaacha kujadili Hali ya Nchi wanajadili,,,
 
Mkuu bado una mawazo mfu kama ya Mwendakuzimu kuwa ni dini moja tuu inapaswa kupewa lion's share ya appointments?
Angalia teuzi zote tutajie ni wapi dini ya mteuzi ni wengi.
Ukishindwa kindly 😷
Hili la dini linaonekana sasa...wakati wa Mungu wao walikuwa kinyaa kabisa
 
Back
Top Bottom