Alianza mwendo vizuri, ila sasa kaanza kukengeuka kama mtangulizi wake

Alianza mwendo vizuri, ila sasa kaanza kukengeuka kama mtangulizi wake

Hebu tuache hizi mambo za hovyo hovyo!. Presidential appointment powers ni sole and exclusive rights za rais wetu kuwachagua wasaidizi anao ona watamfaa hivyo anafanya appointment at her pleasure as she pleases na teuzi hizi hazihojiwi na yoyote wala kuingiliwa na yeyote!. Tusitake kimnyooshea vidole too much tukataka kumtia vidole hadi machoni.

Jielimishe zaidi hapa Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!

Na kuhusu mwendo, japo ni kweli alianza vema na anakwenda akibadilika na hili hata mimi nililisema Mama, I'm here to support you, to serve our country. I'm here sio tu kuonesha ujuzi wangu kwa nchi yangu, bali pia kuutumia. But...

Ila tunako kwenda ni kuzuri Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa, wakipata vema na kupendana. Tulikotoka ni kugumu, tunakokwenda ni kurahisi, kuzuri! Heri ya Mwaka Mpya wahusika wote
P
Ningeshangaa kama ungeunga mkono ilhali kila mkeka unausoma kwa shauku uone kama umekumbukwa😂😂😂😂

Mungu asikie hitaji lako umesubiri sana
 
Namuongelea Kiongozi wetu, alianza vema sana kazi zake kwa kuhakikisha teuzi nyingi zinazingatia sifa, weledi, umoja wa kitaifa, dini na hata jinsia. Hata hivyo, kwa siku za karibuni ameanza kukengeuka kama mtangulizi wake.

Anateua watu wenye kutiliwa mashaka weledi wao angalia kama huyo KM mpya utamaduni. Ana sifa za hovyo za ubadhirifu akiwa msaidizi binafsi wa yule spika aliyejiuzulu, kama vetting ingefanyika hafai kuwa KM ni vile tu ana vinasaba na uhusiano na yule DGIS mstaafu kutoka Tanga ambaye kwa sasa anaendesha nchi kwa mlango wa nyuma.

Tazama uteuzi wa Mkwe na Swahiba wake kuongoza Wizara nyeti, wote wa dini moja na marafiki pendwa unganisha dots na ziara za juzi za mtu ambaye hakutambulishwa jina ila aliitwa mwanaukoo wa ufalme wa UAE utaelewa wazi kuwa huyu kiongozi wetu kishaanza kuwa kama mtangulizi wake marehemu. Sifa zao kuu ni wizi, upendelevu wa ndugu zao, udini na ueneo.

Kama tulivyomkemea marehemu huyu naye tunamtaka cache ujinga huu wa kuigawa nchi.
Crap
 
Namuongelea Kiongozi wetu, alianza vema sana kazi zake kwa kuhakikisha teuzi nyingi zinazingatia sifa, weledi, umoja wa kitaifa, dini na hata jinsia. Hata hivyo, kwa siku za karibuni ameanza kukengeuka kama mtangulizi wake.

Anateua watu wenye kutiliwa mashaka weledi wao angalia kama huyo KM mpya utamaduni. Ana sifa za hovyo za ubadhirifu akiwa msaidizi binafsi wa yule spika aliyejiuzulu, kama vetting ingefanyika hafai kuwa KM ni vile tu ana vinasaba na uhusiano na yule DGIS mstaafu kutoka Tanga ambaye kwa sasa anaendesha nchi kwa mlango wa nyuma.

Tazama uteuzi wa Mkwe na Swahiba wake kuongoza Wizara nyeti, wote wa dini moja na marafiki pendwa unganisha dots na ziara za juzi za mtu ambaye hakutambulishwa jina ila aliitwa mwanaukoo wa ufalme wa UAE utaelewa wazi kuwa huyu kiongozi wetu kishaanza kuwa kama mtangulizi wake marehemu. Sifa zao kuu ni wizi, upendelevu wa ndugu zao, udini na ueneo.

Kama tulivyomkemea marehemu huyu naye tunamtaka cache ujinga huu wa kuigawa nchi.
Hili la dini unatazama dini moja Tu?
Hakuna wizara zenye watu wa dini moja zingine?.. au dini moja ndo makosa kukaa Wengi wizara moja?
Unaweza weka wizara zote hapa tuone mawaziri na makatibu tuone wapi Rais alipokosea?
 
Hili la dini unatazama dini moja Tu?
Hakuna wizara zenye watu wa dini moja zingine?.. au dini moja ndo makosa kukaa Wengi wizara moja?
Unaweza weka wizara zote hapa tuone mawaziri na makatibu tuone wapi Rais alipokosea?
Rais hana ubaguzi wowote wa dini !! Ukitazama katika teuzi zake zote utaona wanaolalamika ndio wa upande wao wameteuliwa wengi !! Acheni hizo Nchi hii bado haijawa na udini udini wa namna hiyo !! 🙏🙏🙏
 
Namuongelea Kiongozi wetu, alianza vema sana kazi zake kwa kuhakikisha teuzi nyingi zinazingatia sifa, weledi, umoja wa kitaifa, dini na hata jinsia. Hata hivyo, kwa siku za karibuni ameanza kukengeuka kama mtangulizi wake.

Anateua watu wenye kutiliwa mashaka weledi wao angalia kama huyo KM mpya utamaduni. Ana sifa za hovyo za ubadhirifu akiwa msaidizi binafsi wa yule spika aliyejiuzulu, kama vetting ingefanyika hafai kuwa KM ni vile tu ana vinasaba na uhusiano na yule DGIS mstaafu kutoka Tanga ambaye kwa sasa anaendesha nchi kwa mlango wa nyuma.

Tazama uteuzi wa Mkwe na Swahiba wake kuongoza Wizara nyeti, wote wa dini moja na marafiki pendwa unganisha dots na ziara za juzi za mtu ambaye hakutambulishwa jina ila aliitwa mwanaukoo wa ufalme wa UAE utaelewa wazi kuwa huyu kiongozi wetu kishaanza kuwa kama mtangulizi wake marehemu. Sifa zao kuu ni wizi, upendelevu wa ndugu zao, udini na ueneo.

Kama tulivyomkemea marehemu huyu naye tunamtaka cache ujinga huu wa kuigawa nchi.
Acha kujifariji. Hakuwahi kuanza vizuri popote.
Huko tuendako hata machawa wake mtamgeuka, ni suala la wakati tu.
 
Namuongelea Kiongozi wetu, alianza vema sana kazi zake kwa kuhakikisha teuzi nyingi zinazingatia sifa, weledi, umoja wa kitaifa, dini na hata jinsia. Hata hivyo, kwa siku za karibuni ameanza kukengeuka kama mtangulizi wake.

Anateua watu wenye kutiliwa mashaka weledi wao angalia kama huyo KM mpya utamaduni. Ana sifa za hovyo za ubadhirifu akiwa msaidizi binafsi wa yule spika aliyejiuzulu, kama vetting ingefanyika hafai kuwa KM ni vile tu ana vinasaba na uhusiano na yule DGIS mstaafu kutoka Tanga ambaye kwa sasa anaendesha nchi kwa mlango wa nyuma.

Tazama uteuzi wa Mkwe na Swahiba wake kuongoza Wizara nyeti, wote wa dini moja na marafiki pendwa unganisha dots na ziara za juzi za mtu ambaye hakutambulishwa jina ila aliitwa mwanaukoo wa ufalme wa UAE utaelewa wazi kuwa huyu kiongozi wetu kishaanza kuwa kama mtangulizi wake marehemu. Sifa zao kuu ni wizi, upendelevu wa ndugu zao, udini na ueneo.

Kama tulivyomkemea marehemu huyu naye tunamtaka cache ujinga huu wa kuigawa nchi.

Hapa tulipofikia ni Mwenye Enzi Mungu tu asimame na kututetea wana nchi wa Tanzania [emoji1241] jamani [emoji24][emoji24][emoji24]
 
ANATUPELEKA PABAYA! aNAANZA KUZUNGUKWA NA DINI YAKE, KABILA LAKE LA ZENJI, CCM AND THE LIKE! aTALIGAWA TAIFA. tIME WILL TELL!

Kenya wametangaza kuwa wamefilisika na yote ni kama sababu ulizotaja hapo juu!
Tufanye nini?
Bali tunaye Mwenye Enzi Mungu ambaye ni mweza wa yote!
Ehh Mola kumbuka nchi yetu Tanzania [emoji1241] tulivyo ipigania Africa mpaka nchi zote ziwe huru, kumbuka damu za ndugu zetu waliokuwa wana letwa mabox na mabox[emoji24][emoji24][emoji24]sisi wananchi tukala chakula cha farasi [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]rudi ehhh Mwenye Enzi Mungu usituache maana tuna angamia jamani uwiii Mola wangu na Rabuka wangu rudi utukomboe nchi yetu Tanzania [emoji1241][emoji24][emoji24]
 
Hebu tuache hizi mambo za hovyo hovyo!. Presidential appointment powers ni sole and exclusive rights za rais wetu kuwachagua wasaidizi anao ona watamfaa hivyo anafanya appointment at her pleasure as she pleases na teuzi hizi hazihojiwi na yoyote wala kuingiliwa na mamlaka yeyote!. Tusitake kimnyooshea vidole too much tukataka kumtia vidole hadi machoni!.

Jielimishe zaidi hapa Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!

Na kuhusu mwendo, japo ni kweli alianza vema na anakwenda akibadilika na hili hata mimi nililisema Mama, I'm here to support you, to serve our country. I'm here sio tu kuonesha ujuzi wangu kwa nchi yangu, bali pia kuutumia. But...

Ila tunako kwenda ni kuzuri Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa, wakipata vema na kupendana. Tulikotoka ni kugumu, tunakokwenda ni kurahisi, kuzuri! Heri ya Mwaka Mpya wahusika wote
P
Mkuu mpaka awamu hii ikimaliza mudawake kama hujapata teuzi nitajiuliza kwa nini.
You seem to be very wise person.
 
Hebu tuache hizi mambo za hovyo hovyo!. Presidential appointment powers ni sole and exclusive rights za rais wetu kuwachagua wasaidizi anao ona watamfaa hivyo anafanya appointment at her pleasure as she pleases na teuzi hizi hazihojiwi na yoyote wala kuingiliwa na mamlaka yeyote!. Tusitake kimnyooshea vidole too much tukataka kumtia vidole hadi machoni!.

Jielimishe zaidi hapa Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!

Na kuhusu mwendo, japo ni kweli alianza vema na anakwenda akibadilika na hili hata mimi nililisema Mama, I'm here to support you, to serve our country. I'm here sio tu kuonesha ujuzi wangu kwa nchi yangu, bali pia kuutumia. But...

Ila tunako kwenda ni kuzuri Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa, wakipata vema na kupendana. Tulikotoka ni kugumu, tunakokwenda ni kurahisi, kuzuri! Heri ya Mwaka Mpya wahusika wote
P
Anaweza teua yeyote ila siyo wa chama cha upinzani.
 
Namuongelea Kiongozi wetu, alianza vema sana kazi zake kwa kuhakikisha teuzi nyingi zinazingatia sifa, weledi, umoja wa kitaifa, dini na hata jinsia. Hata hivyo, kwa siku za karibuni ameanza kukengeuka kama mtangulizi wake.

Anateua watu wenye kutiliwa mashaka weledi wao angalia kama huyo KM mpya utamaduni. Ana sifa za hovyo za ubadhirifu akiwa msaidizi binafsi wa yule spika aliyejiuzulu, kama vetting ingefanyika hafai kuwa KM ni vile tu ana vinasaba na uhusiano na yule DGIS mstaafu kutoka Tanga ambaye kwa sasa anaendesha nchi kwa mlango wa nyuma.

Tazama uteuzi wa Mkwe na Swahiba wake kuongoza Wizara nyeti, wote wa dini moja na marafiki pendwa unganisha dots na ziara za juzi za mtu ambaye hakutambulishwa jina ila aliitwa mwanaukoo wa ufalme wa UAE utaelewa wazi kuwa huyu kiongozi wetu kishaanza kuwa kama mtangulizi wake marehemu. Sifa zao kuu ni wizi, upendelevu wa ndugu zao, udini na ueneo.

Kama tulivyomkemea marehemu huyu naye tunamtaka cache ujinga huu wa kuigawa nchi.
Tunasubiri tu huyu dada amalize muda wake tuanzie alipoishia mwendazake tuwachanganye wote manake wana kesi moja kubwa ya kujibu kwa watanzania.
 
Namuongelea Kiongozi wetu, alianza vema sana kazi zake kwa kuhakikisha teuzi nyingi zinazingatia sifa, weledi, umoja wa kitaifa, dini na hata jinsia. Hata hivyo, kwa siku za karibuni ameanza kukengeuka kama mtangulizi wake.

Anateua watu wenye kutiliwa mashaka weledi wao angalia kama huyo KM mpya utamaduni. Ana sifa za hovyo za ubadhirifu akiwa msaidizi binafsi wa yule spika aliyejiuzulu, kama vetting ingefanyika hafai kuwa KM ni vile tu ana vinasaba na uhusiano na yule DGIS mstaafu kutoka Tanga ambaye kwa sasa anaendesha nchi kwa mlango wa nyuma.

Tazama uteuzi wa Mkwe na Swahiba wake kuongoza Wizara nyeti, wote wa dini moja na marafiki pendwa unganisha dots na ziara za juzi za mtu ambaye hakutambulishwa jina ila aliitwa mwanaukoo wa ufalme wa UAE utaelewa wazi kuwa huyu kiongozi wetu kishaanza kuwa kama mtangulizi wake marehemu. Sifa zao kuu ni wizi, upendelevu wa ndugu zao, udini na ueneo.

Kama tulivyomkemea marehemu huyu naye tunamtaka cache ujinga huu wa kuigawa nchi.
Yaani mnatakiwa kujua "NYANI MPYA MSITU NI ULE ULE TU"
 
Maumivu ya kichwa uanza taratibu ukitaka kufuatilia haya mambo. Maza Mbona hana noma kabisa kwenye nepotism ata Moyo aliekuwa mkuu wa wilaya Iringa mjini sasa hivi sijui kampeleka wapi ni ex husband wa binti yake ambae kwa sasa ni mke wa waziri.

Utaki kupewa orodha ya nafasi za ndugu na jamaa zake wote waliopo serikalini na kwenye ubalozi, ni mambo ya kawaida huko kwao Zanzibar kupeana nafasi huo utamaduni kaja nao bara.

Watu wako kimya sio kwamba awaoni wapo busy kusaka utajiri hujui mbele anakuja nani so wapo busy kuchuma ata akimteua mumewe uwaziri utosikia kelele kipindi hiki.

Wa bara hawana uzalendo kabisa.
Ndo mana nliachaga kufatilia siasa Za tz,,, pasua kchwa knoma.
 
Hebu tuache hizi mambo za hovyo hovyo!. Presidential appointment powers ni sole and exclusive rights za rais wetu kuwachagua wasaidizi anao ona watamfaa hivyo anafanya appointment at her pleasure as she pleases na teuzi hizi hazihojiwi na yoyote wala kuingiliwa na mamlaka yeyote!. Tusitake kimnyooshea vidole too much tukataka kumtia vidole hadi machoni!.

Jielimishe zaidi hapa Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!

Na kuhusu mwendo, japo ni kweli alianza vema na anakwenda akibadilika na hili hata mimi nililisema Mama, I'm here to support you, to serve our country. I'm here sio tu kuonesha ujuzi wangu kwa nchi yangu, bali pia kuutumia. But...

Ila tunako kwenda ni kuzuri Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa, wakipata vema na kupendana. Tulikotoka ni kugumu, tunakokwenda ni kurahisi, kuzuri! Heri ya Mwaka Mpya wahusika wote
P
Pasco niambie kitu kimoja. Unataka kazi ya serekali na chama!??
 
Back
Top Bottom