Alianza na wakili Nduruma, akaja na mama na shangazi(wakili) sasa amekuja na Jasmine Razack

Alianza na wakili Nduruma, akaja na mama na shangazi(wakili) sasa amekuja na Jasmine Razack

Sijui una haraka za nini, ni ujinga wako tu na makelele yasiyo na maana kupitiliza.

Simply huyo wakili mpya anajua anachofanya, anajua kuna uwezekano akienda CAS moja kwa moja ataulizwa kama walipitia vyombo vya ndani, ndio maana mwenyewe ameamua kuanza moja.

Sasa wewe mpuuzi hujui lolote kuhusu haya mambo, hao TFF kama wakiendelea kuwabeba kama kawaida yao, hiyo ngoma ndio itatua CAS tena wakiwa na vielelezo vyote mkononi.

Mosi, utopolo FC waligoma kutoa ushirikiano, kwa kupewa milion 100 wakagoma kuzipokea.

Pili, TFF wanatoa maamuzi kinyume cha taratibu, wapo kisiasa tu.

Nyie wala sio wakupotezea watu muda kujibizana nanyi, ni wapumbavu msiojua lolote mnaobisha kama mlivyozoea kubishana na wajinga wenzenu mitaani.

Hebu nikuulize ewe mjinga; TFF walisema jumatatu ya leo wangetoa taarifa kamili kuhusu hili suala la Fei na Utopolo, haya niambie, umeiona hiyo taarifa popote mpaka jioni hii?
Tumbo limekuvuruga! Mwaka huu mtavaa chupi kichwani
 
Hatacheza na tangu alipoacha kucheza bado Klabu Bingwa wako wa vikombe vyote vya ligi za soka TZ 2021/2022 "YANGA FC" inazidi kuchanja mbuga kwa kishindo kitakatifu.

Disciplinary actions must be seriously taken to any football player who is actually going against the scheduled club rules and regulations in order to run and maintain its investments, strategic plans, mission and vision towards completing of the successful goals attainment.
Yupo tayari kwa hatua zozote ila hatocheza Yanga.
uNaposema adhabu unadhani inatisha basi?
Just 4 months.
 
Kama kuna hole kwenye mkataba?
Kama aliahidiwa chochote na hakikutumia, ataenda bure.

Kama alitimiziwa yote kwa wakati basi Yanga atapata compensation lakini Fei ataondoka.
hio loophole wanasheria wake hawajaiona mpka sasa?
 
Feisal kapeleka barua kutokana na kesi ilivyoamuliwa kuwa ni mchezaji wa Uto

TFF walivyoamua kwenye hii kesi ndio imefanya ionekane kama ni jambo ambalo halimuwajibishi mchezaji na kuweka mashaka kwa wachezaji wengine kuweza kuvunja mkataba kiholela

TFF ingefata sheria hakuna mtu angeweza kuwaza kuwa wachezaji wanaweza kufanya hivyo kwasababu kuna sheria inayowabana kwa kutoa adhabu kali ikiwemo faini na kufungiwa kucheza kwa muda wa miezi 4

Kwa hiyo kitendo cha TFF kuamua Feisal ni mchezaji wa Uto wakati Uto walileta shauri lenye madai Feisal amevunja mkataba katika namna isiyo sahihi, basi uamuzi wa kusema Feisal ni mchezaji halali wa Uto umeenda kinyume na sheria
Hii wiki hata usingizi huwezi kupata unampambania mwanao wa kufa na kuzikana [emoji23] kweli uchawi upo
 
Kwani Feisal Yeye anataka kurudi Yanga au anataka kuomdoka?
Halafu kama TFF inamlazimisha kwa kumwambia yeye ni Mchezaji halali wa Yanga , je kuna adhabu yoyote ile wamempa? maana amekuwa ni mtoro kazini kwa muda mrefu sasa. Ifike mahali Yanga wakubali kwamba kama Ng'ombe kagoma kunywa maji hata kama anayaona wasimlazimishe.
Huyu ng'ombe hatoboi ukame huu wamchinje wauze hata makongoro tu kwa wauza supu.
 
Kopi ya mkataba unayo!!??
ama unapiga kelele za vijiweni!!??
Wabongo kwa ujuaji mbuzi bana.
Ujuaji huu unaniambia kwa nini anahangaika ivi? Jiulize wewe mwenyewe kwa nini hivi mara Karume mara Jasmine mara kavunja mkataba mara kapeleka ombi la kutaka kuvunja mkataba?

Haya yote wewe huoni kama ni tatizo? Mimi nimereason sijafanya ujuaji
 
Sijui una haraka za nini, ni ujinga wako tu na makelele yasiyo na maana kupitiliza.

Simply huyo wakili mpya anajua anachofanya, anajua kuna uwezekano akienda CAS moja kwa moja ataulizwa kama walipitia vyombo vya ndani, ndio maana mwenyewe ameamua kuanza moja.

Sasa wewe mpuuzi hujui lolote kuhusu haya mambo, hao TFF kama wakiendelea kuwabeba kama kawaida yao, hiyo ngoma ndio itatua CAS tena wakiwa na vielelezo vyote mkononi.

Mosi, utopolo FC waligoma kutoa ushirikiano, kwa kupewa milion 100 wakagoma kuzipokea.

Pili, TFF wanatoa maamuzi kinyume cha taratibu, wapo kisiasa tu.

Nyie wala sio wakupotezea watu muda kujibizana nanyi, ni wapumbavu msiojua lolote mnaobisha kama mlivyozoea kubishana na wajinga wenzenu mitaani.

Hebu nikuulize ewe mjinga; TFF walisema jumatatu ya leo wangetoa taarifa kamili kuhusu hili suala la Fei na Utopolo, haya niambie, umeiona hiyo taarifa popote mpaka jioni hii?
[emoji23][emoji23][emoji23] bush lawyer naona bado unapambana tu.

Hawakusema watatoa ripoti public hiyo ripoti wanapewa wahusika wao ndio wataamua kama ku publish au wakae nayo.

Halafu unaposema TFF wanafanya mambo kinyume na utaratibu ili kutubeba ingekua vizuri uka specify ni wapi wameenda kinyume.

Wewe huwa huchoki kufanya accusations za uongo uongo ili mradi usikose cha kusema. Ila sisi tushakujua huna jipya katafute vingine vya kufanya
 
Bora wameamua kuwa wapole na kufuata taratibu, Najua kitakachofuata hapo TFF wataambiwa warudi Yanga wakazungumze terms za kuvunja mkataba, hapo sasa Yanga watamshushia rungu kwamba wanahitaji B1 mezani ya kuvunja mkataba au B1 kwa club inayomtaka 😀 au iamue kumfungulia mashitaka mengine ya utoro kazini na ukosefu wa nidhamu 😀
 
Sielewi vizuri Shauri la Yanga lilipelekwa kwa mtindo gani ( ntafuatilia nikipata time).
Ila Vyovyote vile fei ataondoka yanga, na adhabu yake sio kubwa kiasi cha kuogopesha.
We jamaa utalaumiwa sana kwa ushauri mbovu! Unampoteza Fei na kipaji chake kitaisha kwa kuhangaika kuvunja mkataba kihuni Maana kwasasa hachezi mpira!
Yanga ni taasisi kubwa inaendeshwa kwa Sheria na taratibu , mambo ya kihuni hayana nafasi kwenye Sheria!
Yanga Haina shida Tena na huduma ya Fei kinachotakiwa aende Mezani na timu inayomtaka wapewe bei 1B walipe wasepe nae!
 
Kwani lazima acheze mpira, anaweza akawa muimbaji wa TAARAB!
 
We jamaa utalaumiwa sana kwa ushauri mbovu! Unampoteza Fei na kipaji chake kitaisha kwa kuhangaika kuvunja mkataba kihuni Maana kwasasa hachezi mpira!
Yanga ni taasisi kubwa inaendeshwa kwa Sheria na taratibu , mambo ya kihuni hayana nafasi kwenye Sheria!
Yanga Haina shida Tena na huduma ya Fei kinachotakiwa aende Mezani na timu inayomtaka wapewe bei 1B walipe wasepe nae!
Barua ya yanga inasema tofauti.
 
Sielewi vizuri Shauri la Yanga lilipelekwa kwa mtindo gani ( ntafuatilia nikipata time).
Ila Vyovyote vile fei ataondoka yanga, na adhabu yake sio kubwa kiasi cha kuogopesha.
Usiombe itokee hii ndoto unayoota. Kama adhabu haitakuwa ya kuogopesha tegemea vurugu kubwa kutokea hako mbeleni. Ndiyo utakapoona Kapombe,Chama,Inonga, Manula, Shabalala watakavobebwa kisela na team pinzani kwa matarajio ya kupewa adhabu isiyo ogopesha. Wanachokifanya Yanga,Simba waiombee Yanga ishinde katika sakata hili. Vinginevyo Simba itawakuta. Maana Yanga nayo ni watu wa visasi. Ukitaka kuthibitisha hili angalia walivyolipa kisasi kwa Moroson kwa kumsajili kutoka Simba na hawajali hasara itakayowafika. Subiri mtayaona haya
 
Kwani Kuna mtu amemlazimisha kubaki yanga au umesikia yanga wanamhitaji Sana fei ila utaratibu anaotaka kutumia kuondoka haupo sahihi anafanya uhuni na hao wanaomhitaji wanaogopa kufanya biashara wanajua gharama iliyopo
Mchezaji anayelipwa Mil 4 kwa mwezi atakuwa na gharama gani kama sio kutaka kuleta ugumu tu na kulazimisha mambo
Mchezaji wa mshahara kama huo thamani yake haiwezi fika hata mil 100
 
Mchezaji anayelipwa Mil 4 kwa mwezi atakuwa na gharama gani kama sio kutaka kuleta ugumu tu na kulazimisha mambo
Mchezaji wa mshahara kama huo thamani yake haiwezi fika hata mil 100
Kweni mauzo ya wachezaji huwa yanaangalia mshahara wa mchezaji au release clause yake?
 
Back
Top Bottom