Alichoandika Mnyika: Maneno ya Ntobi si msimamo wa Kamati kuu Wala CHADEMA na mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti huyo yako chini ya Kanda

Alichoandika Mnyika: Maneno ya Ntobi si msimamo wa Kamati kuu Wala CHADEMA na mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti huyo yako chini ya Kanda

Huyo mpuuzi Ntobi uchawa wake umepitiliza hadi anakidhslilisha chama,anaposema Lissu alipitishwa kugombea urais kwa sifa yake ya uropokaji ili akamropokee Magufuli ni kuonyesha kuwa Chadema haina nia dhabiti ya kushika dola ila nia yao ni kumropokea mgombea wa CCM tu, hili ni tusi kubwa Chadema.
 
Huyu dogo Mimi Nilikuwa nashangaa anvyoendekeza uchawa huku akitukana Lissu bila sababu zozote za msingi nadhani huyu avuliwe uongozi
Mimi sioni tusi hapo. Ninachokiona ni dalili za mtuhumiwa kutokumuunga mkono Lissu kugombea nafasi ya mwenyekiti. Hilo sio tusi; ana haki ya kikatiba ya kumuunga mkono mgombea anayemtaka yeye!
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga Bw Emmanuel Ntobi licha ya kutojibiwa chochote na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe Tundu Lissu kwa muda mrefu Sasa bado ameendelea na kumdhihaki, kumdhalilisha na kumtweza utu wake kinyume kabisa na Katiba, kanuni na miongozo ndani ya CHADEMA .

Katibu Mkuu wa CHADEMA Bw.John John Mnyika alipoulizwa na Wanachama wa CHADEMA mitandaoni kama anachokifanya Mwenyekiti wa Shinyanga kama ni msimamo wa Kamati kuu au CHADEMA,

Kwa haraka Katibu Mkuu huyo alimjibu Mwanachama huyo kuwa huo si msimamo wa Kamati kuu Wala CHADEMA na mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti huyo yako chini ya Kanda na anamshangaa kwanini Emmanuel Ntobi anaendelea kutamba kwa kutweza wengine utu wao hadharani tena mitandaoni Waziwazi bila kuchukuliwa hatua zozote za kinidhamu.

View attachment 3180661
View attachment 3180647
Mkuu
Hayo.maelekezo kayatoa wapi
 
Hata wale kina Nyerere, boni, kilewo, ni washamba. kuna steji za kiuongozi ukifika hutakiwi kuwa emotional kiasi kile. Sio busara kuonesha hisia za uchawa kwenye hali kama ya sasa cdm. Kiongozi lazima uoneshe ukomavu flani wa kuweza kutulia kwanza ukisubiri lolote lujalo.

kwa mfano: Mbowe akisema hatogombea, wao watafanyaje. Bila shaka watateseka sana. In some situations, neutrality is a better choice!

YESU NI BWANA&MWOKOZI
Kina ntobi, boni, jericho. Kilewo Hawana tofautina akina lusinde, makonda, all hapo, doto james
 
Lissu ni hazina, akiwa rais wa nchi Tz itabadilika kuwa Canada!
Ndiyo na Hapana.
Ndiyo kuhusu mategemeo kwa Lissu.
Hapana, Tanzania haitabadilika; Tanzania itabaki kuwa Tanzania nzuri hata kuliko hiyo Canada!

Ulisha fika Canada wewe; baridi ya kule hutatamani kuishi huko.
Maisha hapa yatakuwa mazuri tu, na hata hao waCanada watatamani kuhamia na kuishi Tanzania.

Sisi hapa hatuwezi kuiona Tanzania ya aina hiyo, kwa sababu CCM walisha ua akili zetu.
 
Ila CHADEMA akili kisoda kweli,
Anaposema Ntobi mamlaka yake ya nidhamu ni Kanda anamaana gani?
Wanapigiana danadana huku jamaa akiendeleza damages.

Niliwahi kuwasiliana na Ntobi, jamaa ni mbatata ya kiwango cha heshima kabisa. Anaongoza chama mkoa na akili zake kawaacha kwa mbali sana anaowaongoza ndo maana wamemchagua
 
Huyo mpuuzi Ntobi uchawa wake umepitiliza hadi anakidhslilisha chama,anaposema Lissu alipitishwa kugombea urais kwa sifa yake ya uropokaji ili akamropokee Magufuli ni kuonyesha kuwa Chadema haina nia dhabiti ya kushika dola ila nia yao ni kumropokea mgombea wa CCM tu, hili ni tusi kubwa Chadema.
Chama kimejaa vilaza unategemea wawe na uelewa ?
 
Tatizo hao vijana wamejazwa upepo humo mitandaoni kuwa wana akili nyingi na ni "wanasiasa" na "watetezi" wa wananchi walipokuwa wanaitukana Serikali kwa hiyo hawajui njia nyingine ya kufanya siasa zaidi hizi sarakasi
 
Hivi watu wanajua matusi au ni mahaba tu..mtu kusema jamaa hawezi kuwa kiongozi hata wa mtaa ni tusi??? Mbona Mama Samia watu wanasema zaidi ya hayo, mkiulizwa mnasema ndo demokrasia hiyo, lkn kwa Lissu mtu anasemwa anatukanwa.
Kuwa kiongozi mkubwa sio lele mama..lazima mawe yalushwe tu
Naenda na ntobi shikilia hapo hapo btn kweli lissu hawez kua kiongoz hata wa nyumba kumi
 
Back
Top Bottom