Huyu ni kijani anayejitambua, siyo wale wa mapambio.Duh Bwashee, sikutegemea andiko hili kutoka kwako japo ndo ukweli! Maana nikuonavyo wewe ni kama vile una nasaba ya kijani,
sasa kuleta andiko kama hilo linatuahc wengine hoi! Au ndo kubadili gia angani?!!
Sayansi ya kushinda kwa kura ambazo hazikupigwa na mtu yeyoteSayansi ipi hio una zungumzia?
Kwani uchaguzi haukua huru? Hiyo kampuni ya wamangi nani anaweza kuwachagua awape dola. Unafikiri watz wajinga hadi kuwapa dola wachagga tena wamachame? Duh ikitokea itakua tumejimaliza🏃🏃🏋🏻♂️🤸🕺💃Nazungumzia uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020 mbinu alizotumia Mwenyekiti pekee mwanasayansi kukipa chama chake ushindi kama asingezitumia CCM wangepoteana.
Hivyo CCM isibweteke na kujiamini kwamba inapendwa na wananchi kwa 84% ni kweli katika uchaguzi wa kisayansi inapendwa sana tena mno lakini katika fair election habari inaweza kuwa tofauti kabisa kabisa yaani.
Hivyo nawasihi wana CCM wazingatie kuwa silaha yao kubwa ni Umoja na siyo vinginevyo.
Watu wenye ushawishi wanazidi kupungua CCM kutokana na uzee na wengine kufa na ingizo jipya la vijana ndio halina mvuto kabisa kwa sababu Vijana makini hawavutiwi na siasa hivyo wale " chawa" ndio wanakibeba chama kwa sasa.
Maendeleo hayana vyama!
Leo naona umetumia dawa vizuri endelea nazo hizi zinakusaidia snNazungumzia uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020 mbinu alizotumia Mwenyekiti pekee mwanasayansi kukipa chama chake ushindi kama asingezitumia CCM wangepoteana.
Hivyo CCM isibweteke na kujiamini kwamba inapendwa na wananchi kwa 84% ni kweli katika uchaguzi wa kisayansi inapendwa sana tena mno lakini katika fair election habari inaweza kuwa tofauti kabisa kabisa yaani.
Hivyo nawasihi wana CCM wazingatie kuwa silaha yao kubwa ni Umoja na siyo vinginevyo.
Watu wenye ushawishi wanazidi kupungua CCM kutokana na uzee na wengine kufa na ingizo jipya la vijana ndio halina mvuto kabisa kwa sababu Vijana makini hawavutiwi na siasa hivyo wale " chawa" ndio wanakibeba chama kwa sasa.
Maendeleo hayana vyama!
😂😂😂😂Leo naona umetumia dawa vizuri endelea nazo hizi zinakusaidia sn
Wewe kabila gani?Kwani uchaguzi haukua huru? Hiyo kampuni ya wamangi nani anaweza kuwachagua awape dola. Unafikiri watz wajinga hadi kuwapa dola wachagga tena wamachame? Duh ikitokea itakua tumejimaliza🏃🏃🏋🏻♂️🤸🕺💃
Tupo RAU madukani na bwashee Mnyika!Leo naona umetumia dawa vizuri endelea nazo hizi zinakusaidia sn
Dawa nzuri hiiTupo RAU madukani na bwashee Mnyika!
Tunatafuta mganga wa kienyeji!Dawa nzuri hii
Sayansi ipi hio una zungumzia?
Silaha ya ccm siyo umoja, bali DOLA.Nazungumzia uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020 mbinu alizotumia Mwenyekiti pekee mwanasayansi kukipa chama chake ushindi kama asingezitumia CCM wangepoteana.
Hivyo CCM isibweteke na kujiamini kwamba inapendwa na wananchi kwa 84% ni kweli katika uchaguzi wa kisayansi inapendwa sana tena mno lakini katika fair election habari inaweza kuwa tofauti kabisa kabisa yaani.
Hivyo nawasihi wana CCM wazingatie kuwa silaha yao kubwa ni Umoja na siyo vinginevyo.
Watu wenye ushawishi wanazidi kupungua CCM kutokana na uzee na wengine kufa na ingizo jipya la vijana ndio halina mvuto kabisa kwa sababu Vijana makini hawavutiwi na siasa hivyo wale " chawa" ndio wanakibeba chama kwa sasa.
Maendeleo hayana vyama!
Ongea na MakondaTunatafuta mganga wa kienyeji!
Fikeni hadi hapo kwa dada muuza Mbege mmsalimie mmpe japo kiasi cha mboga. Msikose kufika Manyere.Tupo RAU madukani na bwashee Mnyika!
Ndio umoja huo!Silaha ya ccm siyo umoja, bali DOLA.
Tumeongea na Kileo!Ongea na Makonda
Mnaloga wote?Tumeongea na Kileo!
Tunachukua ndumba za mwezi wa tatu!Mnaloga wote?
MnajuanaNa J J!
2015 JPM alipata kura 54000 tu Dar nzima.Nazungumzia uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020 mbinu alizotumia Mwenyekiti pekee mwanasayansi kukipa chama chake ushindi kama asingezitumia CCM wangepoteana.
Hivyo CCM isibweteke na kujiamini kwamba inapendwa na wananchi kwa 84% ni kweli katika uchaguzi wa kisayansi inapendwa sana tena mno lakini katika fair election habari inaweza kuwa tofauti kabisa kabisa yaani.
Hivyo nawasihi wana CCM wazingatie kuwa silaha yao kubwa ni Umoja na siyo vinginevyo.
Watu wenye ushawishi wanazidi kupungua CCM kutokana na uzee na wengine kufa na ingizo jipya la vijana ndio halina mvuto kabisa kwa sababu Vijana makini hawavutiwi na siasa hivyo wale " chawa" ndio wanakibeba chama kwa sasa.
Maendeleo hayana vyama!