Alituibia sana yule mzee, na majitu aliyoyaweka yote ni mavilaza tu,hakuna tena ushindani wakufanya maendeleo, yamebaki majungu na kulogana, enzi zile hata barabara za mitaa zilikuwa safi,yaani walikuwa wanajitahidi kuzifanyia kazi ili waendelee kuwepo