Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

Yeye mbona alipata zero lakini hakuna Aliemsuta palee???? unataka kutokomeza zero alafu unamuita bashite atoe ushauri ambae nae alipata Zero...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Ni Kweli Kabisa,
Hapo Mheshimiwa Rais Amechagua Mtu Makini Sana.
Na Sio Mtu Wa Hovyo Kama Piere.
Makofi Kwake Tafadhali. [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dogo ni wivu tu kaona hakuna mwenye habari na mipango yake ya kipuuzi, watu wanajaribu kurejesha furaha kwa vituko vya piere jamaa imemuuma


kuna aibu kama yeye aliye pata ziro kuhamasisha watu watokomeze ziro
 
Kwakweli nimemkubali sana makonda kwa kile alichokemea media na waandishi kutoa promo kwa walevi na wababaishaji kama dr shika.
Sasa naelewa kwanini magufuli alimteua.
Pongezi sana Rais wetu magufuli kuchagua viongozi makini


Sent from my iPhone using JamiiForums

Jr[emoji769]
 
Kwakweli nimemkubali sana makonda kwa kile alichokemea media na waandishi kutoa promo kwa walevi na wababaishaji kama dr shika.
Sasa naelewa kwanini magufuli alimteua.
Pongezi sana Rais wetu magufuli kuchagua viongozi makini


Sent from my iPhone using JamiiForums
Bora sasa umeelewa akili yake ya kuwapromote machangu doa,wauza unga na watu wasiojitambua yaani wa ovyo kama wema,Diamond &Lemutuzi
 
Narudia it is paradoxical the most sober Tanzania ni "walevi".
 
U-hovyo wa mtu kipimo chake ni nini? Je, akiiba na kutumia vyeti vya mtu mwingine siyo wa hovyohovyo?
Hakuna kipimo U-hovyo.Kungekuwa na Kipimo Basi huyo Makonda nae angekuwa wa hovyo kuliko Piere Konki.
 
Bora sasa umeelewa akili yake ya kuwapromote machangu doa,wauza unga na watu wasiojitambua yaani wa ovyo kama wema,Diamond &Lemutuzi
Anashinda na wauza ungaa ambao aliwapekela mahakamani kabisaa... Malayaa wa kutupwaa kila siku kupost mapicha wanaliwa mitandaoni alafu hilo halioni kabisa anawaita kabisa wawe wanakamati mbwa kabisa yuleee.... Ilaa piere ndo amemuona kuwa ni mlevi wa hovyo??? Kweli ushoga upoo aisee...[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
From day one nilivyo skia huyu mlevi nae ni mtu maarufu nikajua kabisa Tanzania inahitaji kujitathimini upya, kuna kila sababu za msingi Paul Makonda akabidhiwe nchi baada ya Magufuli, maana naona Tanzania kuna wapumbafu wengi sana kiasi kwamba kwa level za Uzee wa Magufuli hawezi kukabidhia nazo.....
Na wewe hapo ndo unaona umetoa point..... katoe kinyesi kwanza kwenye ubongo wako ndo ucomment
 
Back
Top Bottom