Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

Mmh hapana ndugu jamii ina watu wa kila aina.. Hebu angalia kama kina Mr bin au John Walker... J. Walker mpaka leo ni brand maarufu duniani ya kilevi....
Imagine kama taifa watu kama hawa ndio tegemeo kwanini Pierre konk asipate shavu...? View attachment 1058619View attachment 1058620
Jr[emoji769]
Ndiyo maana nasisitiza Tanzania (Watanzania) tunahitaji kujitathimini upya, kwetu sisi hatujui tunacho kitaka ni kitu gani, walipa kodi wakubwa ni wananchi wa vijijini kwahiyo hao hawana haki ya kupata umeme?

Hiyo project ni ya REA ambayo kwa kiasi flani ni miradi inayo fadhiliwa na World Bank..

Juzi upinzani tulikuwa tunalalamika miaka 50 ya uhuru vijijini hamna umeme haya nyumba za tembe zimeanza kupata umeme mnaanza kulalamika..

Kwahyo mlitaka REA iwe project ya mijini?

Ndiyo maana nasema huyo mpumbafu mlevi anawakilisha idadi kubwa sana Watanzania wajinga wajinga na walevi wasio jitambua
 
Yani huyu kuwa kiongozi mpaka Leo hii ni u hovyo,hata aliyemteua ni hovyo.

Shithole Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
Shit shit shit leaders, nimekasirika na wikiend yangu imeharibika, naomba wote msiend kula kwa yuel kahaba shilole tena maishani, mbwa malaya mkubwa, anasupport upumbavu huu
 
Ati,
mtu anajifanya Mchamungu, kila siku kulialia makanisani. Halafu anadiriki kumwita mtu wa Mungu
" mtu wa hovyo"
Wakati Yesu alipokuja duniani hakuwahi kumwita mtu yeyote ni wa hovyo.
Tena alisema kabisa amekuja kwa wenye dhambi ili watubu na akamsamehe hata yule Malaya aliyempaka mafuta na aliyeletwa ili apigwe mawe, na aliwaheshimu kwa kuongea nae kw heshima.
Hivi huyo jamaa angeletewa yule malaya ili ampige mawe si angekuwa wa kwanza kumkandamiza mitofali ?
Au angesikika akibwata>
" kamwueni huyo ni mtu wa hovyo kabisa"
Yaani kamjamaa kupewa hako kacheo basi kanajiona kapo juu juu kabisa.
Kanajifanaya kanasali huku kanatukana watu wa Mungu.
Yaani Gaidi huwa hajifihi kabisa, mtawatambua kwa matendo na maneno yao.
Hii dharau imenifanya kwa mara ya kwanza nimdharau


Sent using Jamii Forums mobile app
NIMESHANGAA NIMESHANGAA HAAA how cna he do that?
 
Nilikuwa namteteaga sana huyu Kiongozi.
Lakini kwa hii kauli amejidhihiriaha asili yake.
Na minong'ono yote inayosemwa kumbe ni ya kweli.
Unajifanyaje unampenda Mungu wakati unamchukia jirani yako ?
Na kumdhalilisha mbele ya kadamnasi na yeye akiwepo ?
Kama Kiongozi kwanini usimwite na kumrekebisha kama ana makosa flani ?
Au alitaka kujitutumua kwa akina Jokate na Sepetu...!
Aonekane kuwa yeye ni Bora Sana, na ni wa kipekee.
Hakina Maneno ya wengi ni Maneno ya Mungu.
Na Kafiri haachi asili.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo maana nasisitiza Tanzania (Watanzania) tunahitaji kujitathimini upya, kwetu sisi hatujui tunacho kitaka ni kitu gani, walipa kodi wakubwa ni wananchi wa vijijini kwahiyo hao hawana haki ya kupata umeme?

Hiyo project ni ya REA ambayo kwa kiasi flani ni miradi inayo fadhiliwa na World Bank..

Juzi upinzani tulikuwa tunalalamika miaka 50 ya uhuru vijijini hamna umeme haya nyumba za tembe zimeanza kupata umeme mnaanza kulalamika..

Kwahyo mlitaka REA iwe project ya mijini?

Ndiyo maana nasema huyo mpumbafu mlevi anawakilisha idadi kubwa sana Watanzania wajinga wajinga na walevi wasio jitambua
We are missing a crucial point between me and you... And may be we are misinterpreting focal issues

Jr[emoji769]
 
Ndiyo maana nasisitiza Tanzania (Watanzania) tunahitaji kujitathimini upya, kwetu sisi hatujui tunacho kitaka ni kitu gani, walipa kodi wakubwa ni wananchi wa vijijini kwahiyo hao hawana haki ya kupata umeme?

Hiyo project ni ya REA ambayo kwa kiasi flani ni miradi inayo fadhiliwa na World Bank..

Juzi upinzani tulikuwa tunalalamika miaka 50 ya uhuru vijijini hamna umeme haya nyumba za tembe zimeanza kupata umeme mnaanza kulalamika..

Kwahyo mlitaka REA iwe project ya mijini?

Ndiyo maana nasema huyo mpumbafu mlevi anawakilisha idadi kubwa sana Watanzania wajinga wajinga na walevi wasio jitambua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ni mpuuzi sanaa... Kama unasupport Bashite kumtukana piere na kumdhalilisha huku yeye anatembea na Malaya na watumia bhangi na madawa ya kulevya na kuwaona ni watu wa maana bhasi Ujitathmini...!! REA ni jukumu la serikali lakini sio ndo kuanza kuweka utepe sijui kuzindua nyumba yenye umeme nao ule ni Upuuzi tu kama wa bashitee....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani kama ni ishu ya uhovyo wa mtu basi wa kwanza kushambuliwa hapo ilibidi iwe huyo muandaaji wa shughuli Jokate!
mbona yeye ana mapicha ya aibu mitandaoni ila hakuna anayemsema?
Halafu makonda yeye ni mlezi wa wcb kila siku wanatoa nyimbo za hovyo kusikia ngono mpaka zinafungiwa ila hujawahi kukemea hilo!
huyu Jamaa mtu wa ajabu sana aisee
 
Tatizo lizianzia hapo jamaa naona walikuwa na kikao kabisa au mzee baba kakopy kutoka kwa mpambe wake
Screenshot_20190331-082606.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeiona clip kwa kweli Makonda kachemka sana. Wivu unamsumbua. Kachemka sana ktk hili. Alafu bmaskini jamaa kakaa pembeni anacheki tu jamaa akimponda. Nimejisikia vibaya sana kaonewa sababu ya wivu wa jitu.
makonda anatakiwa ajue watanzania wana haki ya kupumzika na kufurahi baada ya kazi. Pierre ni nembo yetu ya kupumzika na kufurahi baada ya kazi. Kuna wemgine tusio walevi tukimuona tu hata kama tuko nyumbani basi tunaburudika kwa uwakilishaji wake.
Your name speaks volumes
 
watu 39 mpaka sasa hivi wametoa mchango kwenye post yako, hakuna hata mmoja aliyekupa pongezi. Jitafakari ni wapi unakosea, kama wewe ndiye makonda au wewe ni mke wake? Hata UVCCM wamekubania kukupa pongezi.
 
Back
Top Bottom