Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

Yaani inashangaza kweli.Mpaka sasa ukiniambia huyu likwidi ni maarufu huwa najiuliza ni umaarufu gani alionao?Siuoni,hebu Watanzania wenzangu tuwe siriazi na vitu vyenye tija badala ya kushabikia upuuzi kama huu wa likwidi.

Umaarufu wa kiwango cha lami(usio na tija) + ushabiki wa kiwango cha lami (usio na maono) = upuuzi mtupu wa likwidi tunaoushabikia@ waziri wa mashariki kama sio kaskazini bado tunachangamoto kama Wa-tz kwa kushabikia petty things.
From day one nilivyo skia huyu mlevi nae ni mtu maarufu nikajua kabisa Tanzania inahitaji kujitathimini upya, kuna kila sababu za msingi Paul Makonda akabidhiwe nchi baada ya Magufuli, maana naona Tanzania kuna wapumbafu wengi sana kiasi kwamba kwa level za Uzee wa Magufuli hawezi kukabidhia nazo.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo maana nasisitiza Tanzania (Watanzania) tunahitaji kujitathimini upya, kwetu sisi hatujui tunacho kitaka ni kitu gani, walipa kodi wakubwa ni wananchi wa vijijini kwahiyo hao hawana haki ya kupata umeme?

Hiyo project ni ya REA ambayo kwa kiasi flani ni miradi inayo fadhiliwa na World Bank..

Juzi upinzani tulikuwa tunalalamika miaka 50 ya uhuru vijijini hamna umeme haya nyumba za tembe zimeanza kupata umeme mnaanza kulalamika..

Kwahyo mlitaka REA iwe project ya mijini?

Ndiyo maana nasema huyo mpumbafu mlevi anawakilisha idadi kubwa sana Watanzania wajinga wajinga na walevi wasio jitambua
Khaaa! Una akili timamu wewe? Kuweka umeme kwenye kijumba cha tope ni death trap na uuaji kwa kutaka chati nyepesi za kisiasa!

Wananchi wanahitaji makazi bora kwa kupata bidhaa za bei nafuu za ujenzi pamoja na kipato cha uhakika! Hayo yote hayapo, na hata wananchi wakijitahidi kujikwamua bado kuna milolongo mingi na kodi chungu mzima! Kodi zenyewe zinatumika hovyo kununua "air hostages"!

Pathetic!
 
From day one nilivyo skia huyu mlevi nae ni mtu maarufu nikajua kabisa Tanzania inahitaji kujitathimini upya, kuna kila sababu za msingi Paul Makonda akabidhiwe nchi baada ya Magufuli, maana naona Tanzania kuna wapumbafu wengi sana kiasi kwamba kwa level za Uzee wa Magufuli hawezi kukabidhia nazo.....
wa kupimwa wewe[emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji83] [emoji160] [emoji216] [emoji241]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nadhani Pierre hana uhovyo wowote ksb hajawahi kum attack mtu yeye anatafuta riziki lakini aliyekuwa m/kiti saidia stars ishinde si huyo Pierre hakumuona?? Nadhani mtu wa hovyo kuliko hovyo wote ni yule aliyehamasisha watu walewe dar nzima kwa pombe za nusu Bei kuliko Pierre ambaye kaanza kulewa kabla ya nusu bei...
C. C Pierre utabaki kuwa juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makonda ni RC na anakuongoza wewe mwenye elimu ya degree unaeshinda humu jf.. kwa akili kama hzi za kilevi lazma awashikishe adabu
Ni kweli;
IMG_20190331_082158.jpeg
 
Nimeiona clip kwa kweli Makonda kachemka sana. Wivu unamsumbua. Kachemka sana ktk hili. Alafu bmaskini jamaa kakaa pembeni anacheki tu jamaa akimponda. Nimejisikia vibaya sana kaonewa sababu ya wivu wa jitu.
makonda anatakiwa ajue watanzania wana haki ya kupumzika na kufurahi baada ya kazi. Pierre ni nembo yetu ya kupumzika na kufurahi baada ya kazi. Kuna wemgine tusio walevi tukimuona tu hata kama tuko nyumbani basi tunaburudika kwa uwakilishaji wake.
Unapandikiza watu ujinga!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
From day one nilivyo skia huyu mlevi nae ni mtu maarufu nikajua kabisa Tanzania inahitaji kujitathimini upya, kuna kila sababu za msingi Paul Makonda akabidhiwe nchi baada ya Magufuli, maana naona Tanzania kuna wapumbafu wengi sana kiasi kwamba kwa level za Uzee wa Magufuli hawezi kukabidhia nazo.....
Kwani umaarufu ni nini??

Na nani anapaswa kuwa maarufu??

Hivi Kim Kardashian si maarufu??..do you think ni mtu wa maana sana dunia hii??

Acheni chuki nyie..kuwa maarufu sio lazima iwe kwa uzuri..hata kwa ubaya mtu anaweza kuwa maarufu

Pablo escobar si alikuwa maarufu??
 
Maisha yanaenda kasi sana huyu bashite aliyekuwa analia makanisani baada ya mabomu ya Gwajima ndio kauli zake hizo ...
 
Mtu wa ovyo katika jamii sio mlevi, mtu wa ovyo ni Yule aliyepata division zero halafu akaendelea na masomo kwa kutumia vyeti vya kufoji na Leo eti ni Mkuu wa mkoa asiyejali ethics za utawala bora . Huyu ndiye mtu wa ovyo kabisa.

Tiba
 
Nani wa kushangawa kati ya huyo unayetaka akabidhiwe nchi na huyu mwingine?
Mbona naona kama huyu mwingine ana uafadhali kuliko huyo mwingine!!!
From day one nilivyo skia huyu mlevi nae ni mtu maarufu nikajua kabisa Tanzania inahitaji kujitathimini upya, kuna kila sababu za msingi Paul Makonda akabidhiwe nchi baada ya Magufuli, maana naona Tanzania kuna wapumbafu wengi sana kiasi kwamba kwa level za Uzee wa Magufuli hawezi kukabidhia nazo.....
 
Bashite tunajua ulipata zero na wewe ni wa hovyo.....kualikwa kwenye kampeni kama hiyo ni uzwazwa. Na huyo DC ana mapicha machafu mitandaoni kibao, naye ni wa hovyo.

Pierre atabaki kuwa juu juu kileleni.
Mama aaah nakufaaaa

Sent using my Nokia Torch
 
Achana nao hao wafunga kamba za viatu za wenye nafasi kubwa ili waonekane.
Wananikera maana wanatetea hata uozo.
Ina maana wao hawajui kuwa kwenye jamii watu hawafanani?
Mbona wao wanatetea upumbavu na tunawaona wana maana hatuwaweki kwenye kundi la watu wa hovyo
Mmh hapana ndugu jamii ina watu wa kila aina.. Hebu angalia kama kina Mr bin au John Walker... J. Walker mpaka leo ni brand maarufu duniani ya kilevi....
Imagine kama taifa watu kama hawa ndio tegemeo kwanini Pierre konk asipate shavu...? View attachment 1058619View attachment 1058620

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom