Ni Kweli Kabisa,
Hapo Mheshimiwa Rais Amechagua Mtu Makini Sana.
Na Sio Mtu Wa Hovyo Kama Piere.
Makofi Kwake Tafadhali. [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Sent using Jamii Forums mobile app
Teo wrongs don't make rightKila mja na riziki yake wako wapi hao mifano bora? Wema Sepetu? Makonda? Juzi si walisema kuna mtu kafoji vyeti?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pierre komediTeo wrongs don't make right
Pierre, wema ndio hao hao
We can't continue glorifying drunkards and hoots Kama role models
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu waziri ni kabila Gan? Hizi picha zinahitaji moyo kuzitazamaMmh hapana ndugu jamii ina watu wa kila aina.. Hebu angalia kama kina Mr bin au John Walker... J. Walker mpaka leo ni brand maarufu duniani ya kilevi....
Imagine kama taifa watu kama hawa ndio tegemeo kwanini Pierre konk asipate shavu...? View attachment 1058619View attachment 1058620
Jr[emoji769]
Kwakweli nimemkubali sana makonda kwa kile alichokemea media na waandishi kutoa promo kwa walevi na wababaishaji kama dr shika.
Sasa naelewa kwanini magufuli alimteua.
Pongezi sana Rais wetu magufuli kuchagua viongozi makini
Sent from my iPhone using JamiiForums
Bora sasa umeelewa akili yake ya kuwapromote machangu doa,wauza unga na watu wasiojitambua yaani wa ovyo kama wema,Diamond &LemutuziKwakweli nimemkubali sana makonda kwa kile alichokemea media na waandishi kutoa promo kwa walevi na wababaishaji kama dr shika.
Sasa naelewa kwanini magufuli alimteua.
Pongezi sana Rais wetu magufuli kuchagua viongozi makini
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hakuna kipimo U-hovyo.Kungekuwa na Kipimo Basi huyo Makonda nae angekuwa wa hovyo kuliko Piere Konki.U-hovyo wa mtu kipimo chake ni nini? Je, akiiba na kutumia vyeti vya mtu mwingine siyo wa hovyohovyo?
Anashinda na wauza ungaa ambao aliwapekela mahakamani kabisaa... Malayaa wa kutupwaa kila siku kupost mapicha wanaliwa mitandaoni alafu hilo halioni kabisa anawaita kabisa wawe wanakamati mbwa kabisa yuleee.... Ilaa piere ndo amemuona kuwa ni mlevi wa hovyo??? Kweli ushoga upoo aisee...[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]Bora sasa umeelewa akili yake ya kuwapromote machangu doa,wauza unga na watu wasiojitambua yaani wa ovyo kama wema,Diamond &Lemutuzi
Yani kaumia balaaa....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haah inaonekana Bashite roho imemuuma baada ya mama Samia Suluhu kumsifia Pierre!
Na wewe hapo ndo unaona umetoa point..... katoe kinyesi kwanza kwenye ubongo wako ndo ucommentFrom day one nilivyo skia huyu mlevi nae ni mtu maarufu nikajua kabisa Tanzania inahitaji kujitathimini upya, kuna kila sababu za msingi Paul Makonda akabidhiwe nchi baada ya Magufuli, maana naona Tanzania kuna wapumbafu wengi sana kiasi kwamba kwa level za Uzee wa Magufuli hawezi kukabidhia nazo.....