Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

Heko heko makonda
Alichokifanya Makonda ni kitu sahihi na ni jambo la ushujaa ambalo limekuwa katika mioyo ya watanzania wengi.bila kukosea hata hapa kuna uzi tulilijadili hili suala la kujenga taifa la wajinga.Tanzania imekuwa ikifanywa jamii ya wajinga.na haya yamekuwa yakichochewa na waandishi wapuuzi wachache.Nasema sijawahi kuupenda mfumo wa uongozi wa Makonda ila kwa la jana.Ninakupongeza kwa dhati yangu.
Asante kwa kukemea upuuzi huu ambao umeanza kushika kasi katika jamii yetu.. baadhi ya waandishi kuacha vitu vya msingi na kukuza upuuzi.anzia kwa bwana Shika,na huyo dada aliyeweka video za ufirauni mtandaoni. Mpaka kwa huyu mlevi.juzi alitumiwa mpaka na wadau kuhamasisha ushindi wa taifa stars.. kweli kwa vigezo vipi, tujiulize.je wachezaji wa zamani waliofuzu Afcon Kwa mara ya kwanza hawakuwepo ama wadau wanaojitoa kwa ajili ya mpira wa nyumbani hawakuwepo..huo ni mwendelezo wa kutetea upuuzi.kwa kulikemea hili jambo nakuunga mkono bwana Makonda.Alafu uje uwageukie hawa waandishi wa taarifa za habari wa YouTube channel.hawa ndio vyanzo vikuu vya kukuza ujinga huu katika jamii.na hata kupotosha watoto wadogo wanaokua.
Kwani wewe una kazi gani kwenye jamii zaidi ya KUNYA NA KUJAMBA tu! Bora hata Pierre anatuburudisha nafsi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Huwa simuungi mkono Makonda lakini jana kaongea point. Nchi imekuwa ya wajinga hii, mambo yakipumbavu ndio tunayapa kipaumbele.

Kwanza huyo Pierre ni msanii wa kitu gani? Yan Taifa linaacha kujielekeza katika hoja zinazojenga na kuendeleza vizazi vijavyo, elimu, afya na ustawi wa jamii, tunakaa kusifia pombe na kukuza majina ya walevi.

Hapa jirani Kenya tu hawana trend za kipumbavu hivi. Juzi niliona Msanii wa Kenya anashangaa wa Tz wanavyo comment kwenye post za watu maarufu "wanauza uchi na wanawake kwenye magroup" ndiko taifa la wapumbavu likikofika na wafuasi wa vitu hivi wengi na vitoto vya sekondari na chuo wanaolia kila siku hawana ajira.

Kesho kabinti kamemaliza form 4 kanafungua akaunti ya kukaa uchi akiuza **** kwasababu tu ukifanya hivo Nchi hii ndio una trend

Naunga mkono kabisa kemeo la Makonda

Dumelang
Unawajua the Kardashians? Unajua wana pesa kiasi gani? Unajua wanachokifanya?

Hebu kila mtu afanye kile anachokipenda. Cha msingi asibugudhi wala asivunje sheria za nchi.

Sioni tofauti kati ya Pierre, Steve Nyerere, Le Mutuz na wale madanga wa Bongo movie ambao ndio watu wa karibu wa Makonda.


NB: Jokate ameshindwa kuitokomeza zero iliyokuepo ukumbini, ataziweza hizi za mtaani?

- KANA -
 
Tuwe fair bana huyo Pierre kachangia nini katika ushindi wa Taifa Stars?

Comment ya Makamu wa Rais isi elevate ujinga tunaofanya Watanzania. Makamu wa Rais alikuwa katika Excitement yani tukio linalojaza furaha. Katika tukio kama lile mtu anaweza ongea chochote. Lakin isiwe sababu kuwa kumtrend Pierre ni jambo zuri.

Hakuna ambacho taifa na vizazi vyetu vinajifunza kwa huyo Pierre zaidi vijana wengi wanahsi kufanya upumbavu ndio sehemu yakuwa maarufu na ku earn cheap money.

Kesho tutawakuza na Mashoga, na vijana wataiga. Kati hapa mmeona walichokuwa wanafanya akina ambaruty, ili tu apate umaarufu, atrend apate pesa. Ndio wapo mabint kibao wanatamami wafanye hayo watrend, yjnajenga taifa gani?

kwa jicho pana tunachofanya ni upumbavu

Dumelang
Mkuu,katika taratibu za kiutumishi, kauli za mkuu hazipingwi au kukosolewa waziwazi kama alivyofanya RC Makonda. Huo alioufanya, kwangu, ni ukosefu wa heshima na adabu kwa Makamu wa Rais. Huko ndiko hoja yangu ilipo. Sijajadili iwapo walevi wana maana au la.
 
Unawajua the Kardashians? Unajua wana pesa kiasi gani? Unajua wanachokifanya?

Hebu kila mtu afanye kile anachokipenda. Cha msingi asibugudhi wala asivunje sheria za nchi.

Sioni tofauti kati ya Pierre, Steve Nyerere, Le Mutuz na wale madanga wa Bongo movie ambao ndio watu wa karibu wa Makonda.


NB: Jokate ameshindwa kuitokomeza zero iliyokuepo ukumbini, ataziweza hizi za mtaani?

- KANA -
Kwahiyo tuendelee kujenga taifa linalojenga watu kama akina Lemutuz, steve nyerere na akina Pierre? Kwamza si bora hata huyo steve nyerere anajulikana ni msanii katika yaifa hili na pengine katika kazi zake alisha na analipa kodi

Huyo Piere ni msanii wa nini? Analiingizia kipi taifa zaidi ya kuwa spoiler

Dumelang
 
Nchi lazima kuheshima life style ya raia wote as long as havunji sheria. Makonda simuelewi.
 
Kosa la Pieri Likwidi konk ni kuwa timu kibakuli, wakati Bashite ni mlezi wa wachafu.

Pili likwidi konk alimtukana mwandishi wa habari sijajua ni wawasafi maana mbele yake ilikuwepo maiki ya WCB.

Bifu la Wasafi na Likwidi lilianzia kwenye wimbo wa tetema, Reyvan aliingiza maneno na vionjo vya Likwidi bila ridhaa yake.

Likwid akasema wangemwomba ama kumshirikisha yeye mwenyewe ama wampe hata kifuta jasho Wasafi wakakaza.

Ukitaka kujua Bashite anaroho mbaya, huyo Pieri kwenye uhamasishaji Taifa stars alitumika, ila kwenye mechi akazuiwa na Pieri likwidi alitaka aingie kwa masupastar akazuiwa.

Kwenye hafla ya ikulu jina lake lilikatwa, japo Mama Samia kwa heshima na taadhima akamtaja kwa kutambua mchango wa Pieri Likwid konk....hicho kitendo kilimuuma sana Bashite.

Sasa leo mkuu wa wilaya akamwalika kwenye shughuli ya tokomeza ziro, hiki kitendo kimemuuma sana Rais wa Dar kuona jamaa anazidi kuwa juu/kileleni.

Kuna hatari hata makampuni yaliyoanza kufanya kazi na Pier yakasitisha mikataba iwe kwa hiari ama kwa lazima maana Rais wa Dar hapendizwi na wanachokifanya.

Hata hivyo ukiangalia kiundani alietukanwa hapo na Makonda ni Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Jokate aliemwalika Pieri Likwid Konk.

Pole Likwid Pierr Konk utabaki kuwa juu kileleni.
Jamaa ana roho mbaya sana usìkute hata hiyo program ya jokate tokomeza zero hakupendezwa nayo anatamani angeanzisha yeye
 
Huwa simuungi mkono Makonda lakini jana kaongea point. Nchi imekuwa ya wajinga hii, mambo yakipumbavu ndio tunayapa kipaumbele.

Kwanza huyo Pierre ni msanii wa kitu gani? Yan Taifa linaacha kujielekeza katika hoja zinazojenga na kuendeleza vizazi vijavyo, elimu, afya na ustawi wa jamii, tunakaa kusifia pombe na kukuza majina ya walevi.

Hapa jirani Kenya tu hawana trend za kipumbavu hivi. Juzi niliona Msanii wa Kenya anashangaa wa Tz wanavyo comment kwenye post za watu maarufu "wanauza uchi na wanawake kwenye magroup" ndiko taifa la wapumbavu likikofika na wafuasi wa vitu hivi wengi na vitoto vya sekondari na chuo wanaolia kila siku hawana ajira.

Kesho kabinti kamemaliza form 4 kanafungua akaunti ya kukaa uchi akiuza **** kwasababu tu ukifanya hivo Nchi hii ndio una trend

Naunga mkono kabisa kemeo la Makonda

Dumelang
Unamfahamu Yule Mkenya aliyepata umaarufu kwa kubeba chakula aina ya Makande kwenye foleni ya kupiga kura ?
Yafungeni basi na Magazeti ya Udaku.
Nyie Watukufu acheni kumwangalia Piere.
Sisi tunapenda kumwangalia na anatufurahisha.
Na umaarufu tumempa sisi tunaye mpenda na sio yeye kwamba ameutafuta kwa kutushawishi.
Sisi ndio tuliomshawishi na tukamrekodi kama tunavyorekodi Komedi nyingine.
Mnatuharibia biashara zetu.
Mnataka tukaibe ?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi hainiongezei wala kunipunguzia chochote sababu nadeal na maisha yangu ila wewe ambaye huna kazi ya kufanya na pia ni taahira na wivu ukimuona mtu kama Liquid roho inakuuma

Sent using Jamii Forums mobile app
Ajabu sana

Mtu asiekuwa na faida na jamii,bali ni muharibifu wa maadili

Kisha wanatokea baadhi na kumsapoti

Ni kwa lipi hasa,mpaka aonewe wivu?!!!

Kweli,kuna watu na viatu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katiba na sheria zinasema Fanya chochote mradi usivunje sheria, jamaa wa watu hakuna mahali kavunja sheriae, kabuni kanjia Kake ka kupata ridhiki m mmeshaanza kumwonea wivu mashetani nyie...... Ambieni hilo shoga liache wivu wa kijinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani inashangaza kweli.Mpaka sasa ukiniambia huyu likwidi ni maarufu huwa najiuliza ni umaarufu gani alionao?Siuoni,hebu Watanzania wenzangu tuwe siriazi na vitu vyenye tija badala ya kushabikia upuuzi kama huu wa likwidi.

Umaarufu wa kiwango cha lami(usio na tija) + ushabiki wa kiwango cha lami (usio na maono) = upuuzi mtupu wa likwidi tunaoushabikia@ waziri wa mashariki kama sio kaskazini bado tunachangamoto kama Wa-tz kwa kushabikia petty things.

Sent using Jamii Forums mobile app

Siyo lazima wote mumpende likwidi, kuna ambao tunafurahia comedy zake hata kama hazichekeshi n ujue tuu his time is now
 
Back
Top Bottom