Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Aisee wacha weeDeal almost done.
Ki Aziz ni mwekundu na mweupe. Lakini nina mashaka sana na kiwango chake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee wacha weeDeal almost done.
Ki Aziz ni mwekundu na mweupe. Lakini nina mashaka sana na kiwango chake.
Dah....ujue huyo ni ndugu CPA mwasibu...[emoji16]Na huyu ndiyo moja tu ya mbumbumbu walioko hukow msimbazi wazia wote sasa.
Wee jamaa bado upo?umepotea au umebadili usernameSimba tangia ameondoka Manara wamekua wasiri sana kwenye mambo yao.
😆Kwani aziz ki Na kichuya wana tofauti gani wabongo kwa kutukuza wageni ndio maana wakienda wanarudi tena kwa uzwa zwa wetu.
Halafu ikawaje? Bamia yuko wapi siku hiziUtopolo mnachoshangilia kitu gani hapa?
Okrah ni zaidi ya huyo mtoto wenu, amemzidi kila kitu.
Magoli ya kufunga.
Assist.
Timu alizochezea.
Wacheni kujitoa akili!.
[emoji23][emoji23]jamaa hua unampiga roba hata mate hayapitiTusimamie katika neno "Kitaalamu" tafadhali naomba comments ziwe za Kitaalamu.
Mhasibu katika ubora wake 😂View attachment 2257244
View attachment 2257246
Mchezaji alitetwe na wengine adakwe na wengine 🤣🤣🤣🤣🤣🦁🦁🦁🦁🦁🦁
Kutumia neno muhasibu ninmakosa ya kisheria ,adhabu Kali itatolewa kwa yeyote atakaye tumia tena baada ya leo.Mhasibu katika ubora wake 😂
Hivi hawa nzala sc hawawezi kutafuta wachezaji mpaka wavizie tunasajili Yanga? Huyo dogo wa Miyomboni Singida hana anachokifa hapo anawatapeli haya wewe dogo usiejielewa try again kajaribu tena kwa Pacome bata mzinga wahediInjinia Hersi Saidi akiwa na mama mzazi wa Aziz Ki ambaye ni meneja wa mchezaji huyo kwa ajili kukamilisha usajili wa nyota huyo kujiunga na Yanga SC.
😂😂🤣🤣Kutumia neno muhasibu ninmakosa ya kisheria ,adhabu Kali itatolewa kwa yeyote atakaye tumia tena baada ya leo.
Tumekubaliana wote pamoja na mods mwamba ndugu yeti ni "Mwasibu" naomba ieleweke hivyo.
Shida ni ngandaHiki kipindi cha usajil ndipo naonaga wazi watanzania wengi tulivyo mambumbumbu.
Ukifuatilia mitandaoni ukiona watu wanavyofanywa toilet paper na wanajaa kweli kweli unabaki unashangaa tu.
Alafu why swala la kumsajil mtu lionekane Jambo fulani kubwaa kias hicho?
Shida ya sisi wabongo tunapenda Sana attention ndio maana waandishi na viongozi wa tmu hizi mbili hutumia kipindi km hiki kujizolea umarufu na sifa ambazo hawana so hujificha kupitia ujinga wetu.
Alafu watz tuna shobo Sana na wachezaji wa kigeni ,huu ushamba sijui utaisha lini ,kupitia ushamba wetu tunawapandisha gharama hao wachezaji bila kujua ,mtu wa kumnunua 100m inafikia wakat ananunuliwa kwa 300m kisa ushamba wetu.
Hata adebayor Simba wangempata vzr tu km wangeenda kimya kimya, shida ni kutaka sifa kwa mashabiki na kuleta sintofaham kila Kona ya mitandao na ikapelekea wa upande wa berkane kuamka na kuhitaji sain yake .
Kwan mkisajil kimya kimya bila kelele na mbwembwe shida iko wapi?
Msameeeeeeeeeeeeee[emoji1787][emoji23][emoji28]Alichokifanya Try Again kitaalamu kinaitwa "KUJITIA DOLE LA MKUNDYU NA KUNUSA"
Mnajitoa akili ninyi kudandia gali ambalo hamna uwezo nalo vipesa mlivyovipata kwenye ligi ya viti maalum vyote amechukua dogo wa Miyomboni SingidaUtopolo mnachoshangilia kitu gani hapa?
Okrah ni zaidi ya huyo mtoto wenu, amemzidi kila kitu.
Magoli ya kufunga.
Assist.
Timu alizochezea.
Wacheni kujitoa akili!.
Bingwa wa kuferi duniani, Kila ukipost jambo linaenda kinyume!! Kaoge na maji ya bahari kuondoa mikosi aisee!!!View attachment 2257244
View attachment 2257246
Mchezaji alitetwe na wengine adakwe na wengine 🤣🤣🤣🤣🤣🦁🦁🦁🦁🦁🦁