Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha 😂😂😂We jamaa bwana akili zako unazijua mwenyewe
Hakika kazi anayoMtaalamu mbobezi na mtunza risiti mkuu wa Jf nimegundua kuwa ;
Maumivu baada ya kukosa hapa ndio yaliyopelekea ndugu muhasibu kupata chuki kali kwa mchezaji huyu kupelekea kumfanyia Uhasibu mpaka yaliyo mkuta yakamkuta.
Cc : kelphin ukikaidi utapigwa2 Shadeeya
Unakaba kila konaMtaalamu mbobezi na mtunza risiti mkuu wa Jf nimegundua kuwa ;
Maumivu baada ya kukosa hapa ndio yaliyopelekea ndugu muhasibu kupata chuki kali kwa mchezaji huyu kupelekea kumfanyia Uhasibu mpaka yaliyo mkuta yakamkuta.
Cc : kelphin ukikaidi utapigwa2 Shadeeya
Aiseee! Sa itakuaje?Utopolo mnachoshangilia kitu gani hapa?
Okrah ni zaidi ya huyo mtoto wenu, amemzidi kila kitu.
Magoli ya kufunga.
Assist.
Timu alizochezea.
Wacheni kujitoa akili!.
UHALI GHANI SHEKHEE MKUNDUGUYANGU.Ahamedi ali anahojiwa anasema baada ya kumkosa Azizi Ki na Adebayor sasa wanahamishia nguvu kwa Diara wa Mali,kumbe uongo ni kauli ya kuwapiga watu chenga ya mwili.
Duh! Hivi ukisoma hii coment unajisikiaje.Utopolo mnachoshangilia kitu gani hapa?
Okrah ni zaidi ya huyo mtoto wenu, amemzidi kila kitu.
Magoli ya kufunga.
Assist.
Timu alizochezea.
Wacheni kujitoa akili!.
Au atabiri yanga hatoboi makundi.Huyu jamaa kila akileta story inakuwa kinyume
Nataman atabiri Yanga hatuchukui ubingwa
Yaani namuomba atabiri kila baya kwa yangaAu atabiri yanga hatoboi makundi.