Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,245
- 4,966
"Mchezaji Aletwe Na Wengine Adakwe Na Wengine" [emoji881]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi sasa ndizo akili za wanasimba OKW BOBAN SUNZUKi Aziz ni mnyama pure.
Na huu utakuwa uzi wa pili kuukimbia jukwaa hili baada ya uzi wa takwimu Kibu D Vs MayeleView attachment 2258923
View attachment 2258924Toka lini mashabiki wa Yanga mkapata akili. Mlitapeliwa kwa picha za Morison na Shishimbi hamkushtuka. Leo mnarudia upuuzi ule ule
Mashabiki Wengi Wa Simba Ni Majehu.Hizi sasa ndizo akili za wanasimba OKW BOBAN SUNZU
Tutaufufua Tena Msimu Ujao Mpk Kieleweke Ni Nani Alimtuma Aandike Ule Ugoro [emoji23][emoji23][emoji23]Na huu utakuwa uzi wa pili kuukimbia jukwaa hili baada ya uzi wa takwimu Kibu D Vs Mayele
Huyu jamaa bora ashinde jukwaa la siasa apambanie katiba mpya maana Yanga inamfanya awe anaandika ugoro tu.Tutaufufua Tena Msimu Ujao Mpk Kieleweke Ni Nani Alimtuma Aandike Ule Ugoro [emoji23][emoji23][emoji23]
Ukitaka kuwajua mashabiki wa Uto walivyo mapoyoyo Injinia apige picha na mmama yeyote wa Kihaya alafu aziachie,,,utaona Uto wanajiseti wenyewe,,"mama yake Azizi Ki,,,wengine utasikia,"sio mama yake yule ni wakala wake wewe vipi,,,[emoji23][emoji28][emoji28].
Kapiga picha na bokoUto hawana akili, vipi engineer kapiga picha na nani jana usiku
Hata Huko Kwenye Katiba Mpya Sidhani Kama Kutakuwa Na Mafanikio Maana Mtu Mwenyewe Ni Kolo. [emoji23]Huyu jamaa bora ashinde jukwaa la siasa apambanie katiba mpya maana Yanga inamfanya awe anaandika ugoro tu.
AiseeeAhamedi ali anahojiwa anasema baada ya kumkosa Azizi Ki na Adebayor sasa wanahamishia nguvu kwa Diara wa Mali,kumbe uongo ni kauli ya kuwapiga watu chenga ya mwili.
Kama kawaida! Mzee wa kuchochoa!View attachment 2257244
View attachment 2257246
Mchezaji alitetwe na wengine adakwe na wengine 🤣🤣🤣🤣🤣🦁🦁🦁🦁🦁🦁
We jamaa njoo ufute huu upupu wako hukuSimba tangia ameondoka Manara wamekua wasiri sana kwenye mambo yao.
Bado unasubiri, au muda huu uko shambani unapalilia shamba lako la mihogo huko Kilwa Kivinje? 😁😁😁Tusubiri .
Wacha wewe 😁😁😁😁Amenikumbusha Mzee FEGI alipomdaka D Berbatov uwanaja wa ndege,
Simba imekuwa sasa. !🥰💪🤸🤝🙏