SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Sipati picha unahisi aibu ya namna gani kwa bandiko hili lililotoka kukanushwa na timu yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unamaanisha Aziz Ally wa Mtoni ? halafu nyie yanga muwe na adabu bhana[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2257432
Sawa na mimi. Maana unaweza kukaza misuli ya shingo kushabikia mchezaji kwamba ni mzuri , mwisho wa siku akaonekana wa kawaida Sana kama ilivyokuwa kwa simba na chikwende wakeMm siku hizi sishabikii usajili, Nina izoefu wa kutosha Sasa!
wewe mjanja na unajielewaMm siku hizi sishabikii usajili, Nina izoefu wa kutosha Sasa!
hahahahaha,uto wame win,turudi ktkt siasa,kule kutetea wamasaiunamaanisha Aziz Ally wa Mtoni ? halafu nyie yanga muwe na adabu bhana
Kwakweli inasikitisha.Hiki kipindi cha usajil ndipo naonaga wazi watanzania wengi tulivyo mambumbumbu.
Ukifuatilia mitandaoni ukiona watu wanavyofanywa toilet paper na wanajaa kweli kweli unabaki unashangaa tu.
Alafu why swala la kumsajil mtu lionekane Jambo fulani kubwaa kias hicho?
Shida ya sisi wabongo tunapenda Sana attention ndio maana waandishi na viongozi wa tmu hizi mbili hutumia kipindi km hiki kujizolea umarufu na sifa ambazo hawana so hujificha kupitia ujinga wetu.
Alafu watz tuna shobo Sana na wachezaji wa kigeni ,huu ushamba sijui utaisha lini ,kupitia ushamba wetu tunawapandisha gharama hao wachezaji bila kujua ,mtu wa kumnunua 100m inafikia wakat ananunuliwa kwa 300m kisa ushamba wetu.
Hata adebayor Simba wangempata vzr tu km wangeenda kimya kimya, shida ni kutaka sifa kwa mashabiki na kuleta sintofaham kila Kona ya mitandao na ikapelekea wa upande wa berkane kuamka na kuhitaji sain yake .
Kwan mkisajil kimya kimya bila kelele na mbwembwe shida iko wapi?
Matikiti maji ya MO buana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2257244
View attachment 2257246
Mchezaji alitetwe na wengine adakwe na wengine [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881]
Labda Aziz AllyKi Aziz ni mnyama pure.
Endeleeni kuaminishwa tupicha picha twa injinia na yule mbibi wa kihaya.Labda Aziz Ally
Shabiki yeyote wa Yanga huwa anapenda kudanganywa kama anavyowafanyia Manara a.k.a Domokunuka.Tofauti na hapo hawakuelewi.Endeleeni kuaminishwa tupicha picha twa injinia na yule mbibi wa kihaya.
Shabiki yeyote wa Yanga huwa anapenda kudanganywa kama anavyowafanyia Manara a.k.a Domokunuka.Tofauti na hapo hawakuelewi.
Haaaaaahaaaaaa tatzo ujuaji huyu jamaa mm nilimtahadharisha mapemaaaa hakutaka nisikia uzi anauona mchungu sasa!OKW BOBAN SUNZU nakuita uje nimejitolea nakulipa buku kwa kila reply utakayotoa kuanzia sasa Ktk uzi huu, mimi kama KoloWizard mwenzako naona fedheha jinsi ulivyotelekeza uzi wako kama wa Kibu D Vs Mayele
HaaaaaaahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaKi Aziz ni mnyama pure.
Namuona OKW BOBAN SUNZU anavyorandaranda kwenye jukwaa la Siasa naishia kucheka nikukumbuka jinsi alivyotelekeza nyuzi zake kwenye jukwaa la michezo na kuchagua kuishi Jf kama mkimbizi .Haaaaaahaaaaaa tatzo ujuaji huyu jamaa mm nilimtahadharisha mapemaaaa hakutaka nisikia uzi anauona mchungu sasa!
Namuona OKW BOBAN SUNZU anavyorandaranda kwenye jukwaa la Siasa naishia kucheka nikukumbuka jinsi alivyotelekeza nyuzi zake kwenye jukwaa la michezo na kuchagua kuishi Jf kama mkimbizi .
Injinia anatafuta kura za Wana Yanga kijanja Sana awe m/kiti ili waiteke timu jumlajumla na bosi wake GSM .View attachment 2258923
View attachment 2258924Toka lini mashabiki wa Yanga mkapata akili. Mlitapeliwa kwa picha za Morison na Shishimbi hamkushtuka. Leo mnarudia upuuzi ule ule