Alichofanya 'Try Again' kwa Ki Aziz kinaitwaje kitaalam

Alichofanya 'Try Again' kwa Ki Aziz kinaitwaje kitaalam

Hahahaha,embu tumkumbushe ule Uzi wake wa Mayele vs Kibudenga.
CC; okwi Boban Sunzu
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20220611-162027~2.jpg
 
Ahamedi ali anahojiwa anasema baada ya kumkosa Azizi Ki na Adebayor sasa wanahamishia nguvu kwa Diara wa Mali,kumbe uongo ni kauli ya kuwapiga watu chenga ya mwili.
Mmepigwaaa na kitu kizito kumkichwa kwenye hili dili la K Aziz. Labda mtamuweza Aziz Ally. Save hii post mkuu.
 
Usajili wa Simba na Yanga japokuwa waga niwa kukomoana Kwa miaka yote ila ni vizuri kusubiri hadi umuone mchezaji lasivyo huwezi kuwa na uhakika na kinachoongelewa

Viongozi wa hizi team washajua mashabiki wao wanapenda kuskia nini, sasa mfano hiyo shot inaonesha ni mfano wa offer na sio signing contract, kitu ambacho ata insta utd inaweza kuprint na kupostia watu

Na mbaya zaidi kuna wakati ata hawa wachezaji wanaoimbwa na viongozi wa hizi team 2 waga hawaji kabisa kutumikia hizi club za kariakoo, so let's wait and see
wanatuchosha akili zetu tu hawa ni marafiki wanajua wanachofanya
 
Wasaa wa waandishi wa habari kufitinisha watu ndio huu, wasaa wa waandishi wa habari kutengeneza propaganda ndio huu,
Wasaa wa waandishi wa habari kutengeneza attention ndio huu, kuna mengi sana yataletwa katika kioindi hiki cha usajili.

Hayi barua iliyoandikwa, inaonsesha wazi kuwa aliyeandika ni mjinga na mpumbavu kiasi kikubwa kiasi kwamba hata kutengeneza kitu kinachofana na ukweli ameshindwa. Yaani nembo ya juu ni nembo ya simba ya sasa halafu muhuli chini kaweka simba wa zamani
IMG_20220611_170745.jpg


Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom