Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Na huyu ndiyo moja tu ya mbumbumbu walioko hukow msimbazi wazia wote sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha,embu tumkumbushe ule Uzi wake wa Mayele vs Kibudenga.Na huyu ndiyo moja tu ya mbumbumbu walioko hukow msimbazi wazia wote sasa.
Namuonaga kama nati zimelegea.Hahahaha,embu tumkumbushe ule Uzi wake wa Mayele vs Kibudenga.
CC; okwi Boban Sunzu
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahaha,embu tumkumbushe ule Uzi wake wa Mayele vs Kibudenga.
CC; okwi Boban Sunzu
Mmepigwaaa na kitu kizito kumkichwa kwenye hili dili la K Aziz. Labda mtamuweza Aziz Ally. Save hii post mkuu.Ahamedi ali anahojiwa anasema baada ya kumkosa Azizi Ki na Adebayor sasa wanahamishia nguvu kwa Diara wa Mali,kumbe uongo ni kauli ya kuwapiga watu chenga ya mwili.
Huyu punguani kma aliweza kuwaambia mtaanzia hatua ya kwanza atashindwa hili?Hali Itakuwaje Sasa? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2257443
Sawa Basi Tusubiri Tuone Kama Na Hili Pia Ametudanganya Kama Mlivyomzoea [emoji23][emoji23][emoji23]Huyu punguani kma aliweza kuwaambia mtaanzia hatua ya kwanza atashindwa hili?
Labda mkamsajli Aziz ki wa charambeView attachment 2257244
View attachment 2257246
Mchezaji alitetwe na wengine adakwe na wengine 🤣🤣🤣🤣🤣🦁🦁🦁🦁🦁🦁
wanatuchosha akili zetu tu hawa ni marafiki wanajua wanachofanyaUsajili wa Simba na Yanga japokuwa waga niwa kukomoana Kwa miaka yote ila ni vizuri kusubiri hadi umuone mchezaji lasivyo huwezi kuwa na uhakika na kinachoongelewa
Viongozi wa hizi team washajua mashabiki wao wanapenda kuskia nini, sasa mfano hiyo shot inaonesha ni mfano wa offer na sio signing contract, kitu ambacho ata insta utd inaweza kuprint na kupostia watu
Na mbaya zaidi kuna wakati ata hawa wachezaji wanaoimbwa na viongozi wa hizi team 2 waga hawaji kabisa kutumikia hizi club za kariakoo, so let's wait and see
Basi Tufanye Adebayor Ndo Mchezaji Mkali [emoji41]Mchezaji wa kawaida Sana . Sijui kwanini wabongo tunapenda Sana kuwatukuza wageni
Kolo hana akili siku zoteView attachment 2257244
View attachment 2257246
Mchezaji alitetwe na wengine adakwe na wengine 🤣🤣🤣🤣🤣🦁🦁🦁🦁
Simba wamekanushaView attachment 2257244
View attachment 2257246
Mchezaji alitetwe na wengine adakwe na wengine [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881]
Labda mkamsajli Aziz ki wa charambe