Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Wewe bora kwenye siasa tu ila huku kwenye soka ni mbumbumbuHuyu punguani kma aliweza kuwaambia mtaanzia hatua ya kwanza atashindwa hili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe bora kwenye siasa tu ila huku kwenye soka ni mbumbumbuHuyu punguani kma aliweza kuwaambia mtaanzia hatua ya kwanza atashindwa hili?
Mkuu we endelea tu kupiga kura hata mara 100 kwa siku kwenye shindano la zaidi,ndio faraja yenu iliyobaki msimu huu,huku kwenye usajili utajitonesha maumivu mengine kabla maumivu ya ule mchi wa feisal kule kirumba na kukosa ubingwa wa nbc premier league,kajifariji kwenye nani zaidi kuleHuyu punguani kma aliweza kuwaambia mtaanzia hatua ya kwanza atashindwa hili?
Wewe Chawa wa Mwamedi unaona jinsi unavyojizalilisha?Huyu punguani kma aliweza kuwaambia mtaanzia hatua ya kwanza atashindwa hili?
View attachment 2257244
View attachment 2257246
Mchezaji alitetwe na wengine adakwe na wengine 🤣🤣🤣🤣🤣🦁🦁🦁🦁🦁🦁
Niliposema mtoa mada nati imelegea,mkaona namuonea.Kolo hana akili siku zote
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2257432
Anawazuga nyie cos anajua ni mbumbumbuView attachment 2257244
View attachment 2257246
Mchezaji alitetwe na wengine adakwe na wengine 🤣🤣🤣🤣🤣🦁🦁🦁🦁🦁🦁
Asubuhi tu,shida wanakelele nyingi bila vitendo......Yule Adebayor mpaka walimfanyia interview,ila RS Berkane wameshamdaka juu Kwa juu Kwa taarifa zilizopoSimba imeshapakatwa,offer yao imetupwa.aziz ki anaungana na Yacouba Sogne Yanga!!