Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unatia hurumaView attachment 2257244
View attachment 2257246
Mchezaji alitetwe na wengine adakwe na wengine 🤣🤣🤣🤣🤣🦁🦁🦁🦁🦁🦁
Nakutabiria huu uzi utauchukia km ule uliosema Yanga kwa Mayele tulipigwa watu wanakuchapa nao tu siku hz hata cha kujibu hauna unatamani kuufuta aibu tele huu pia watu watakusimanga saaaaana subiri Simba mipango imeisha viongozi wanajaribu kutuliza hali ya hewa tu wangekuwa siriaz wasingebishana eti mugalu aondoke au abaki watu walio siriaz na njaa ya mafanikio hawawezi argue kisa mugaluView attachment 2257244
View attachment 2257246
Mchezaji alitetwe na wengine adakwe na wengine [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881]
Hata kama ni.kweli muda bado wakusajili hadharani. Muda utatupa ukweliSimba wamekanusha View attachment 2257500
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Utatuelewesha niiiniiii weweeeeeutaelewa siku nyingine
Bwege mmoja ujuaji mwingiiiiNamuonaga kama nati zimelegea.
Mwenyewe anajiona yuko smart sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi sijaelewa mkuu, huu mjadala wa Mugalu umefanywa na viongozi au mashabiki?Nakutabiria huu uzi utauchukia km ule uliosema Yanga kwa Mayele tulipigwa watu wanakuchapa nao tu siku hz hata cha kujibu hauna unatamani kuufuta aibu tele huu pia watu watakusimanga saaaaana subiri Simba mipango imeisha viongozi wanajaribu kutuliza hali ya hewa tu wangekuwa siriaz wasingebishana eti mugalu aondoke au abaki watu walio siriaz na njaa ya mafanikio hawawezi argue kisa mugalu
Hii siyo ya kweli, wamekanusha. Yanga wameshamsaini Aziz kwa miaka 2View attachment 2257244
View attachment 2257246
Mchezaji alitetwe na wengine adakwe na wengine [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881]
Viongozi nilisoma kwa mwanasportMimi sijaelewa mkuu, huu mjadala wa Mugalu umefanywa na viongozi au mashabiki?
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Kama Aziz Ki wana kiwango sawa na Kuchuya inashangaza Koloz kumua Kichuya na kumkimbilia Aziz KiKwani aziz ki Na kichuya wana tofauti gani wabongo kwa kutukuza wageni ndio maana wakienda wanarudi tena kwa uzwa zwa wetu.
Asigeuke Chikwende...Deal almost done.
Ki Aziz ni mwekundu na mweupe. Lakini nina mashaka sana na kiwango chake.
Dah!...Uto...wameokota Dodo chini ya mperaAziz Ki To Simba Sc It's A Done Deal, Simba Ni Lidude Likubwa Sana, Simba Nguvu Moyaaaa [emoji1787] View attachment 2257551
Ni Mbumbumbu Fc kwa hilo halishangazi.Umeingia mkenge kijinga hivyo
Wewe ni mmoja wa wale mashabiki ambao Rage aliwaita mbumbumbu! Siku zote ni mtu wa kukurupuka tu!View attachment 2257244
View attachment 2257246
Mchezaji alitetwe na wengine adakwe na wengine 🤣🤣🤣🤣🤣🦁🦁🦁🦁🦁🦁
Kuanzia leo nastaafu kumuita GENTAMYCINE popoma hili jina lina faa kutunukiwa mleta mada kwa upopoma uliotukuka wa kukimbilia mambo bila kufanya analysis ya kutosha na kujiridhisha kama afanyavyo Genta ,na ni fedheha kwa mtu mwenye IQ kama yake kuwa timu Moja na mleta mada.Wewe ni mmoja wa wale mashabiki ambao Rage aliwaita mbumbumbu! Siku zote ni mtu wa kukurupuka tu!
GENTAMYCINE my young brother, huyu shabiki mwenzenu anawadhalilisha sana mjue! Imagine umesoma zako SAUT pale Mwanza, na kuondoka na First Class yako with honours!
Halafu unashabikia timu moja na mtu wa aina hii! Si bora uhamie tu upande wa pili kama ndugu yako Haji Manara ili na wewe usionekane ni mbumbumbu!