Alichofanya 'Try Again' kwa Ki Aziz kinaitwaje kitaalam

Alichofanya 'Try Again' kwa Ki Aziz kinaitwaje kitaalam

Injinia anatafuta kura za Wana Yanga kijanja Sana awe m/kiti ili waiteke timu jumlajumla na bosi wake GSM .
Screenshot_20220613-051920_Chrome.jpg

sijui atawaambia nini mwisho wa siku! afanye kila jinsi amsajili apandilie dau la Simba,sijui atainya wapi US$ 150,000! kinyume chake watamla nyama. kana ujanja wa kishamba ndio maana picha zimeanzia kutolewa na oya oya ili mwisho wa siku kazikane.

Waandishi wa hovyo nao wameingia mkenge 🤣🤣
 
View attachment 2258923
View attachment 2258924Toka lini mashabiki wa Yanga mkapata akili. Mlitapeliwa kwa picha za Morison na Shishimbi hamkushtuka. Leo mnarudia upuuzi ule ule
Atakuwa ni mpumbavu wa kufikiria endapo itakuwa ni uongo, kwsababu itamshusha vibaya mno heshima yake na usomi wake.

Lakini nakumbuka msimu uliopita ilikuwa hivi hivi kwa Aucho na Djuma Shaban watu wakasema ni uongo lakini mwisho wa siku tuliona kimetokea nini

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Atakuwa ni mpumbavu wa kufikiria endapo itakuwa ni uongo, kwsababu itamshusha vibaya mno heshima yake na usomi wake.

Lakini nakumbuka msimu uliopita ilikuwa hivi hivi kwa Aucho na Djuma Shaban watu wakasema ni uongo lakini mwisho wa siku tuliona kimetokea nini

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
unajua kwa nini yeye hasemi badala yake wameachiwa kazi machawa?! wakati unasemea Aucho na Djuma usisahau Shishimbi na Morison au Chama ambao mpaka Jarida lao liliweka picha
 
unajua kwa nini yeye hasemi badala yake wameachiwa kazi machawa?! wakati unasemea Aucho na Djuma usisahau Shishimbi na Morison au Chama ambao mpaka Jarida lao liliweka picha
Mimi sioni sababu ya yeye kuongopa juu ya usajili wa Stephane Aziz K maana hata ugombea urais yuko peke yake. Labda wangekuwa wengi tungesema lengo ni kujifanyia kampeni. Sioni maana ya yeye kudanganyia mashabiki wa Yanga.

Na kingine labda picha ziwe za ku editiwa sio zenyewe

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Mimi sioni sababu ya yeye kuongopa juu ya usajili wa Stephane Aziz K maana hata ugombea urais yuko peke yake. Labda wangekuwa wengi tungesema lengo ni kujifanyia kampeni. Sioni maana ya yeye kudanganyia mashabiki wa Yanga.

Na kingine labda picha ziwe za ku editiwa sio zenyewe

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
kwani kuongopa kumetokea lini na ugombea peke yake umetokea lini?
 
View attachment 2258923
View attachment 2258924Toka lini mashabiki wa Yanga mkapata akili. Mlitapeliwa kwa picha za Morison na Shishimbi hamkushtuka. Leo mnarudia upuuzi ule ule
Nani asiyemjua huyu choko wa kighana? Km source yako ndio hii utakimbia nyuzi zako kila siku humu huyo kula yake anaipata kwa kuipamba simba km una account twitter utanielewa vzr unakumbuka sakata la Djuma Shaban aliwaaminisha simba ishamalizana nae? Aucho je? subiri na hii ndio utakapoacha kumfatilia huyo mpuuzi
 
View attachment 2259036
sijui atawaambia nini mwisho wa siku! afanye kila jinsi amsajili apandilie dau la Simba,sijui atainya wapi US$ 150,000! kinyume chake watamla nyama. kana ujanja wa kishamba ndio maana picha zimeanzia kutolewa na oya oya ili mwisho wa siku kazikane.

Waandishi wa hovyo nao wameingia mkenge [emoji1787][emoji1787]
Huu uzi utaukimbia km kawaida yako ntakukumbusha hapahapa lini uliwahi kupatia?
 
Atakuwa ni mpumbavu wa kufikiria endapo itakuwa ni uongo, kwsababu itamshusha vibaya mno heshima yake na usomi wake.

Lakini nakumbuka msimu uliopita ilikuwa hivi hivi kwa Aucho na Djuma Shaban watu wakasema ni uongo lakini mwisho wa siku tuliona kimetokea nini

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Wewe tuliaaaaaa ntaufufua huu uzi
 
Ukitaka kuwajua mashabiki wa Uto walivyo mapoyoyo Injinia apige picha na mmama yeyote wa Kihaya alafu aziachie,,,utaona Uto wanajiseti wenyewe,,"mama yake Azizi Ki,,,wengine utasikia,"sio mama yake yule ni wakala wake wewe vipi,,,[emoji23][emoji28][emoji28].
 
The fall of Simba has many colours!!

Goli moja tu la Fei Toto Makolo wamepoteana, wanafukuza kocha wanafukuza wachezaji, usajili wa vifaa kama Ki Aziz wanashindwa na GSM, sehemu pekee wasikopata ushindani kusajili ni ndondo kapu !
 
Oyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa....!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums1871897788.jpg
JamiiForums-1270110857.jpg
 
Back
Top Bottom