Alichofanya 'Try Again' kwa Ki Aziz kinaitwaje kitaalam

Injinia Hersi Saidi akiwa na mama mzazi wa Aziz Ki ambaye ni meneja wa mchezaji huyo kwa ajili kukamilisha usajili wa nyota huyo kujiunga na Yanga SC.
Hivi hawa nzala sc hawawezi kutafuta wachezaji mpaka wavizie tunasajili Yanga? Huyo dogo wa Miyomboni Singida hana anachokifa hapo anawatapeli haya wewe dogo usiejielewa try again kajaribu tena kwa Pacome bata mzinga wahedi
 
Kutumia neno muhasibu ninmakosa ya kisheria ,adhabu Kali itatolewa kwa yeyote atakaye tumia tena baada ya leo.

Tumekubaliana wote pamoja na mods mwamba ndugu yeti ni "Mwasibu" naomba ieleweke hivyo.
😂😂🤣🤣
 
Shida ni nganda
 
Utopolo mnachoshangilia kitu gani hapa?

Okrah ni zaidi ya huyo mtoto wenu, amemzidi kila kitu.

Magoli ya kufunga.

Assist.

Timu alizochezea.

Wacheni kujitoa akili!.
Mnajitoa akili ninyi kudandia gali ambalo hamna uwezo nalo vipesa mlivyovipata kwenye ligi ya viti maalum vyote amechukua dogo wa Miyomboni Singida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…