Alichofanyiwa Mrisho Ngassa ni uhuni, TFF, TPLB mnawajibika

Alichofanyiwa Mrisho Ngassa ni uhuni, TFF, TPLB mnawajibika

Nikikumbuka kalivyochezaga picha la x,kakabusu jezi ya timu nyingine wakati kanachezea timu ingine,kakakataa hela nyingi bila akili halafu kakauacha mpira kwa kuuruka mechi ya pyramid ukazaa goli.INGEBIDI WAKATOE ANGALAU NUNDU MOJA USONI.WACHA KAFUNZWE.
 
Hilo lapaswa kuwa somo kwa wachezaji woote wapuuuzi, wanaocheza mpira huku wakiendekeza ushabiki kwa timu zao, badala wacheze mpira kama ajira watengeneze kipato wao wanacheza kiushabiki, matokeo wastaaf tuu kipato hawana na club walizokuwa wakizichezea kiushabiki haziwathamini tena
Mfano makubwa ni huyu Ngasa,
Kwa herufi kubwa ALIPE KIINGILIO AKILI IMKAE SAWA NA LIWE FUNDISHO KWA WACHEZAJI WA SASAAA
Aliyekwambia ngasa hana hela ni nani?
 
Kwani ngasa anakosa elfu kumi kuingia uwanjani afuate sheria haya mambo ya kuleana ndo yanaturudisha nyuma mtu hafuati sheria eti kisa star ronaldinho mwenyewe licha ya ustar wote ila sheria ilipita naye who's ngasa.
 
Alipaswa kujiandalia Maisha ya baadae wkt akiwa mchezaji nguli asilaumu mtu
 
Back
Top Bottom