Gas wa weke kwenye mitungi wakauze nje ya nchi serikali ipate kodi ya Dollari.
wapinzani ili iweje. Yeye alikuwa na kipaza sauti na sisi tuna masikio. Kwahiyo tulikuwa tunapa dozi moja kwenda nyingineAaah wap..!!I am not taking it,yule ndimi mbili kweli kweli,Mara ooh Maendeleo hayana vyama,na hapo hapo anasema kwamba mkichagua upinzan sitaleta Maendeleo hapa,au ananunua wabunge upinzan na kuwaleta ccm kisha anapeleka Maendeleo huko alikowatoa,Hana maana yule
Ukitaka kujua dunia iko mwisho ni pale ukutapo "wapumbavu wakitoa hoja dhidi ya mweledi na wakashangiliwa..."Leo baadhi ya wabunge wamemshukia Profesa Muhongo na kudai ni heri darasa la saba Msukuma na Kibajaji kuliko PhD holder.
Naye Spika Ndugai akasema ni vema maprofesa wakawa wanajipanga vizuri kabla ya kuongea kuepukuka changamoto za akina Kibajaji kwani uprofesa ni muhimu kwenye kufundisha na utafiti lakini siyo siasani hasa Bungeni.
Imenibidi nifuatilie kujua huyu Muhongo anayeshambuliwa ameongea nini?
Kumbe Muhongo hajasema umeme wa maji mbaya bali inachukua muda mrefu sana kurejesha gharama ndio akahoji labda kama bei nafuu itaanza kutumika day one bila kujali pay back period.
Mantiki yake ni kuwa bei inaweza kuwa kubwa hadi mradi utaporudisha gharama zake, ambayo huwa ni miaka mingi mbele
CCM mko peke yenu bungeni hakuna wa kumsingizia.
Huyu jamaa akili zinamrudia9Nimshukuru Mungu kwa kutenda miujiza ya kukugeuza wewe kutoka kwenye kuunga mkono hadi sasa unaongea kama mwananchi wa kawaida mwenye akili timamu.
Ndugu zangu, kwa kipindi kirefu sana tumekuwa tunawaachia wanasiasa watoe ufafanuzi hata kwa mambo ambayo kitaaluma na kiuzoefu hawana weledi wa kutosha.Leo baadhi ya wabunge wamemshukia Profesa Muhongo na kudai ni heri darasa la saba Msukuma na Kibajaji kuliko PhD holder.
Naye Spika Ndugai akasema ni vema maprofesa wakawa wanajipanga vizuri kabla ya kuongea kuepukuka changamoto za akina Kibajaji kwani uprofesa ni muhimu kwenye kufundisha na utafiti lakini siyo siasani hasa Bungeni.
Imenibidi nifuatilie kujua huyu Muhongo anayeshambuliwa ameongea nini?
Kumbe Muhongo hajasema umeme wa maji mbaya bali inachukua muda mrefu sana kurejesha gharama ndio akahoji labda kama bei nafuu itaanza kutumika day one bila kujali pay back period.
Mantiki yake ni kuwa bei inaweza kuwa kubwa hadi mradi utaporudisha gharama zake, ambayo huwa ni miaka mingi mbele
CCM mko peke yenu bungeni hakuna wa kumsingizia.
Wewe mawazo yako yakoje? Tuambie tukueleweBado tuna safari ndefu kwani watu kama nyinyi bado mpo wengi wenye mawazo ya kutetea huo mradi wa MNHP
Urahisi wake unategemeana ni lini wewe unahitaji huo urais!Kwa jinsi itakavyokuwa hoja ya msingi hapa je umeme wa maji ni rahisi au siyo rahisi?
Ulisikiliza vizuri mchango wa Muhongo?Kuna wanasiasa naona wanatumika kuwa kama mashionari..
Hiyo Phd ya Muhongo Mimi sina lakini nina mashaka nayo kwakweli..
Ipo hivi gharama za mwanzo za ujenzi wa mradi umeme wa maji siku zote Huwa juu kutokana na kuchukua eneo kubwa tofauti na mradi wa umeme wa gesi(Yani kwenye ujenzi)..
Lakini tukija kwenye gharama za uendeshaji zinakuwa ni kama sifuri Yani kwenye hesabu Huwa tunasema (the value can be neglected kutokana na faida kuwa kubwa kuliko gharama za uendeshaji) hapa ndipo tunapo pata faida yake, tukumbuke mvua hailipiwi ni bure kabisa na vilevile umeme wa maji ni moja ya vyanzo umeme ambavyo havichafui mazingira kwa kuongeza gesi ya ukaa(Carbondioxide) vilevile hudumu miaka mingi mfano tuangalie bwawa la mtera..
Sasa tukija kwenye umeme wa gesi.. bila hata kuambiwa wote tunajua gharama ya gesi ilivyo juu ukiona gesi unaungua ujue ni pesa tunaunguza.. na hapo tukumbuke kwenye mradi wa gesi tulishapigwa nchi yetu haita faida pakubwa kwenye uuzwaji wa hiyo gesi kuzalisha umeme..
Sasa hapo tujiulize hao wanaopinga huu mradi wapo kwa maslahi ya nani..??
Mi nadhani wataanzania pamoja na Hayati kuwa na mapungufu yake.. alitufungua akili lakini pia kila maamuzi aliyofanya yalikiwa ni kwaajili ya hii nchi yetu tuwe makini sana.View attachment 1751169
Niliona mahali kuwa trillion almost 3 hivi zingewezesha kupata MW nyingi zaidi ya bwawa la Nyerere. Kurudisha Trilliln 3 ni karibu zaidi kuliko kurudisha trillion 10 za bwawa la Nyerere hivyo kimahesabu wananchi wangepata nafuu ya umeme mapema zaidi kwa chanzo cha gesi kuliko hiko cha bwawa la Nyerere.Hoja dhaifu mno kutoka kwa Prof! Kwani kuna mradi gani ambao ukikamilika hatutowajibika kulipa gharama?
Nilitegemea maprof kama hawa ndio wangekuwa watetezi wa kuwekeza kwaajili ya vizazi vijavyo! Hawa wazee wameshikwa na ma lobbyists walambe 10% zao na vizazi vyao na si Watanzania kwa ujumla.
Duu!Ukitaka kujua dunia iko mwisho ni pale ukutapo "wapumbavu wakitoa hoja dhidi ya mweledi na wakashangiliwa..."
Yaani ni mambo ya ajabu kabisa!Muhongo ana bahati mbaya sana na siasa za CCM na Tanzania kwa Ujumla, anachosahau ni kwamba Waafrika ni Wanafiki, hawapendi kuambiwa ukweli ila wanapenda sifa za kijinga na kipumbavu, hao la saba c sifaham kama wanajua lolote kuhusu umeme ama wamewahi fanya tafiti yoyote lkn ndio Think Tanker wetu yaani wanaonekana na uwezo mpaka wa ku mu outsmart Mtafiti na Mbobezi, haya twende na la saba tutafika tu
Bado ni pumba tu.. kwani umewahi sikia panakauka maji kule?Ulisikiliza vizuri mchango wa Muhongo?
Ukiacha upotoshaji unaofanywa,Muhongo alitoa mchango mzuri sana hususani katika suala la madini,halafu akazungumzia kwa ufupi sana suala la hydropower,wala hakuponda mradi wa JNHP,alichosema hydropower,kutokana na mabadiliko ya tabia nchi,haziaminiki na uwekezaji wake ni mkubwa mno ukilinganisha na gesi.
Hivi hata umeweza kupata 'mantiki' ya swali lake ? Umeelewa msingi wa hoja yake ?kwa hiyo bwawa likianza kutumika, umeme utapanda bei kufidia hiyo investment cost?
Investment inalenga
1.,Umeme wa uhakika
2.Umeme wa kuuza nje
3.Gharama za umeme za sasa ndio basis ya kuweka ukubwa na kujua lini litakuwa limelipa
4.Uhakika wa umeme unapeleka kuwa na same rates kwa miaka mingi sana....
Swali la Prof ni la kijinga kwa umri wake na elimu yake
wewe hapa hauwezi kujibu; kamuulize prof
Mkuu..hiyoo mantik wewe umeipatia wapi? Wakat yeye alisema waz waz kabisaa huo upupu wake..tena akaongezea na hili..kuwa umeme wa maji umepitwa na wakat na haufai..wakat norway ndo wanautumia huo umeme had leo..USA wanajenga mabwawa kila siku..ethiopia wanajenga pia..Leo baadhi ya wabunge wamemshukia Profesa Muhongo na kudai ni heri darasa la saba Msukuma na Kibajaji kuliko PhD holder.
Naye Spika Ndugai akasema ni vema maprofesa wakawa wanajipanga vizuri kabla ya kuongea kuepukuka changamoto za akina Kibajaji kwani uprofesa ni muhimu kwenye kufundisha na utafiti lakini siyo siasani hasa Bungeni.
Imenibidi nifuatilie kujua huyu Muhongo anayeshambuliwa ameongea nini?
Kumbe Muhongo hajasema umeme wa maji mbaya bali inachukua muda mrefu sana kurejesha gharama ndio akahoji labda kama bei nafuu itaanza kutumika day one bila kujali pay back period.
Mantiki yake ni kuwa bei inaweza kuwa kubwa hadi mradi utaporudisha gharama zake, ambayo huwa ni miaka mingi mbele
CCM mko peke yenu bungeni hakuna wa kumsingizia.