Alichohoji Profesa Muhongo ni kama bei ya umeme itakuwa nafuu kuanzia siku ya kwanza au baada ya kurudisha gharama za uwekezaji?

Labda wajinga ndio unaweza kuwaambia hili, kama bei ya mafuta ya kula na sukari tu imewashinda kushusha, ndio itakuwa hiyo ya umeme wa 10t ya mkopo?

Kwa hiyo serikali ndiyo inazalisha mafuta ya uto na sukari!!!?
 

Wee nenda kifiningile, maana huna hoja.
 
Kibajaji nae anajilinganisha na Muhongo,
Kweli hii ni hatari sana. Sijawahi ona, ukiangalia hata anachoongea ni porojo tu. Hakina hata research yoyote, hakina data, yaani ni vitu vya kufikirika tu.
Wasomi na marisechi yenu halafu bado wapuuzi tu

Hamna akili ila mlikuwa na uwezo mkubwa kukariri darasani
 
Duh, je investment ya umeme wa nchi aina gani hiyo inayorudishwa kwa siku moja?
 
Likitajwa jina muongo najisikia vibaya,hiyo hela ni kodi zetu yeye kinamuuma nini sisi wa hali ya chini kupata umeme wa bei ndogo,wasomi wa tz ni hasara,shida ya mhongo anatumika na mabeberu,Kuna mbunge anashauri tukakope nani atazilipa?ukisikia huyo ni msomi. Tafasiri yake ni jizi, wasomi ndoo wametufikisha hapa leo,
 
Sidhani kama lengo la serikali ni kusubiri pay back ndiyo ipunguze bei.

Unapozungumzia Umeme unagusa sekta nyingi ambazo zote zinachangia ukuaji Wa uchumi. Tunapolalamika kwamba bidhaa zetu haziwezi kushindana na bidhaa za nje, mojawapo ya sababu ni bei kubwa ya Umeme.

Nilidhani Profesa wetu angewaza matumizi ya Umeme nafuu kwa upana wake.
 
Wako wenyewe bungeni lakini wanatiana vidole machoni
 
Ila sugu kujilinganishaa na Prof kabudi ni sawa?
Huyo aliipuuza elimu na kuidharau Kushangilia na kugonga meza kwa nguvu huku wakitoa vicheko vya kejeli na tambo zinazojuza wao ni kina nani NDIO SIFA YA UZALENDO NA KUSAIDIA TAIFA!!! Midhali posho zaenda mifukoni wana hasara gani kwa faida yao ya leo...
 
Nimegundua kwanini wagogo wengi ni ombaomba kwa ukichukuwa case study ya kibajaji Lusinde na Ndugai ka sample.Kwa akili hizi lazima washindwe kujimudu kimaisha
 
Ishakuwa na msaada kitambo kwenye fani yake, pia suala la miradi hatuangalii matokeo yenyewe, ila na visababishi vya hayo matokeo na sustainability yake
 
Wewe humjui.Muhongo, Muhongo alidha wahi kusema umeme wa maji umepitwa na wakati.

Muhongo huwa namwona kama wakala wa mabeberu kama symbion na wale walioshikiria gas yetu kule mtwara.


Msukuma yupo sahihi kabisa kusema wasomi hawafilirii vizuri, wanadhani mavyeti yao ndio yanafikiria na kutoa maamuzi.

Muhongo anapotosha taifa.
 
Kwenye psychology kuna element fulani inayosema kuwa watu wenye mapungufu dhidi ya wenzao hupanda sana kuwadharau hao wanaowazidi na wakifanikiwa na kitu chochot kidogo cha kuonyesha kuwa "hata kama amenizidi kule nimezidi huku," basi hupiga kele sana. Psychology hiyo huwa imekuwa inawaandama sana wasomi, kwani kwa vile usomi siyo utajiri, utasikia mtu anasema yule kasoma ana Ph.D lakini mimi nina hela sana ninaweza kumwajiri na wala hanitishi. Bajaji na Musukuma wanasumbuliwa sana na psychology hiyo. Yaani kwao wao kutokukubaliana na hoja za Muhongo wanachukulia kuwa ni makosa ya Muhodno bila kuhodi depth ya ufahamu wao wenyewe. Kinachomata kwao ni Ph.D. na uprofesa wake tu.
 
Kwa hiyo serikali ndiyo inazalisha mafuta ya uto na sukari!!!?

Wao ndio hupanga bei elekezi, kama serekali haihusiki na upandaji na ushukaji wa bei, nunua gari lako la abiria leo uweke nauli utakayo kisha ulete mrejesho.
 
Wengine hatujui hata cha kuchangia
Muhongo tapeli
Kibajaji a clown..
 
Hawa maprof wamejitakia haya madhila kwa kuacha taaluma zao na kukimbilia siasa acha wachezee vitasa kwanza vya mangumbaru adi akili ziwakae sawasawa
 
Ila Ndugai ni Mnafiki sana wakati Hayati Magufuli anawateua Maprof.kuwa Wabunge na Makatibu Wakuu mbona nakushauri wabaki Kufundisha?
 
Wao ndio hupanga bei elekezi, kama serekali haihusiki na upandaji na ushukaji wa bei, nunua gari lako la abiria leo uweke nauli utakayo kisha ulete mrejesho.

Ni kweli kuna bei elekezi, lkn siyo kwa kila kitu. Kuna vitu vingne inaachiwa nguvu ya soko iamue.
 
Hatutaki tena kusikiliza maneno ya wajinga walitutia hasara nchi hii. Muhongo ni Ntu wa dili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…