Alichokifanya Gerson Msigwa, New York alipaswa akifanye Siku Zote Ikulu. Zuhura Yunus Asiwe Bubu!

Nakubalina na wewe, maana nikiwa uwanjani nangalia mpira, mipira ya pasi nzuri za kuelekezwa golini najiona ningekuwa mimi ningepiga bonge la shuti na kufuga goli, huku nikipiga mguu hewani!.

Hata wife aki ni drive, nakosa amani sometimes nakanyaga miguu kama kukanyaga break au natamani kukunja staring, hivyo kuna vitu ni easier said than done ukiwa nje!.
P
 
Tungekuwa tunatumia hizi bidii kuboresha utalii at ground level na kuitangaza Kilimanjaro, Serengeti na mengineyo kama hii Filamu nadhani tungekuwa na wageni mpaka tungeanza kutafuta mbinu za kuwapunguza...

Yaani ni kama tunakisifia / tangaza kikombe kuliko hata chai iliyomo
 
Kipengele namba 4 kimenifikirisha sana 😂

4. Kitendo cha Msemaji Mkuu wa Serikali kumhoji Msemaji Mkuu wa Serikali mstaafu ni mahojiano ya kupendeza Sana
 
Ushauri mzuri sio rahisi kuupata,,, pia ni vigumu kuufuata... hasa kwa Mswahili.

Acha tuone kama wamesikia
 
Baada ya kuona hatuteuliwi na wale tuliokuwa tukiwadharau na Sisi tunaojifanya Manguli wa Tasnia na wenye Akili Wakiteuliwa na Sisi kuendelea tu kupiga Kazi za Deiwaka katika Media na Maisha yakitupiga sasa tumeamua Kujipendekeza kwa Wateuwaji na Wasaidizi Kiutendaji wa Mteuwaji akina Msigwa na Dkt. Abbas ili basi nao wakiwa karibu na Mteuwaji wa Nafasi za Nyadhifa waweze Kutuombea ( Kutupigia Chapuo ) ili ikiwezekana katika Teuzi zijazo basi nasi Wanafiki tuwezee Kuula ili tupate Unafuu wa haya Maisha yetu Magumu ( ambayo hatukuyategemea ) tunayoyapitia sasa.
 
nimekipenda kiingereza cha Msigwa cha go -go -go(sic) kizungu cha Iringa go - go -go no worry (msemaji wa Serikali) nakushauri uwekeze kwenye ku-polish kizungu chako
 
Mimi ni kawaida yangu, kwenye mazuri napongeza, na ikitokea issue ya spana, napiga spana, ila spana zangu sio spana tuu ili mradi kupiga spana, spana zangu ni constructive criticism huku nikitoa ushauri wa the right thing to do.

Kama issue ni kumfagilia na kumpongeza Gerson Msigwa, angalia tarehe ya bandiko hili,
ujiulize wakati nikiandika hayo, Gerson alikuwa nani na alikuwa wapi?.

Na kama unadhani kazi yangu ni kumfagilia tuu, kanisome hapa uangalie nimesema nini kumhusu Gerson na Dr. Abbas Tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu lawamani. Inahitaji kusaidiwa kumsaidia Rais - Jicho Letu Ndani ya Habari

Hata hapa

Hivyo please stop this nonsense kuwa kila anayepongeza, anasaka uteuzi!, maana hata Mama mwenyewe kuna wakati tunambananisha

P
 
Link ya Royal Tour imekuwa ngumu kupatikana aisee niesearch mpaka kidole kimeota sugu
 
Acha uongo, Dr.Abasi hakusitaafu, Ungesema msemaji wa Serikali wa zamani.
 
Sio hivyo bali mlengwa ni mtalii wa nje na hivyo kule ndio kunaibeba kwanza kabla ya kuletwa huku na kufanyiwa Swahili subtitles!
Ulichojibu ndo hicho ninachosisitiza.
Anyway: Kabla ya #RoyalTourTanzania; Peter Greenberg alitengeneza #RoyalTourTanzania miaka 8 iliyopita. Sasa ushajua idea ni ya nani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…