Paskali, professional na siasa haviendani, yaani hata msigwa ni bahati tu kufanya hivyo akiwa hapo America ila akiwa hapa ikulu ni ngumu sana.
Kwa dadaenu zuhura pia ni vigumu kufanya hicho unachotaka, bahati mbaya upo nje ya field ila ukibahatika kuingia and in one week tu ahahahaa, sijui kama utaandika uliyokutana nayo huko.
Kila ofisi ina utaratibu wake ila hatuhufahamu kwa sababu tupo kwa nje.
Nakubalina na wewe, maana nikiwa uwanjani nangalia mpira, mipira ya pasi nzuri za kuelekezwa golini najiona ningekuwa mimi ningepiga bonge la shuti na kufuga goli, huku nikipiga mguu hewani!.
Hata wife aki ni drive, nakosa amani sometimes nakanyaga miguu kama kukanyaga break au natamani kukunja staring, hivyo kuna vitu ni easier said than done ukiwa nje!.
P
Tungekuwa tunatumia hizi bidii kuboresha utalii at ground level na kuitangaza Kilimanjaro, Serengeti na mengineyo kama hii Filamu nadhani tungekuwa na wageni mpaka tungeanza kutafuta mbinu za kuwapunguza...
Yaani ni kama tunakisifia / tangaza kikombe kuliko hata chai iliyomo
Nikashuhudia Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa akirudia kazi yake ya zamani ya utangazaji wa TV Reporting akiripotia TBC live mubashara moja kwa moja kutokea jijini New York, nchini Marekani kutuarifu maandalizi ya uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour, utakaofanyika usiku huu mida ya Saa 1:30 Kwa saa za Marekani ambapo ni saa 8:30 za usiku wa manane kwa saa za Tanzania.
Msigwa ambaye sasa ndiye Msemaji Mkuu wa Serikali, amejikumbusha enzi zake za utangazaji, kwa kumhoji Msemaji Mkuu wa Serikali mstaafu Dr. Hassan Abasi ambaye sasa ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo na Utamaduni na ni Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya filamu ya Royal Tour,
Dr. Hassan Abbas amesema uzinduzi utahudhuriwa na wageni mashuhuri 400 akiwemo Mayor wa Jiji la New York.
Kitendo cha Msemaji Mkuu wa Serikali kumhoji Msemaji Mkuu wa Serikali mstaafu ni mahojiano ya kupendeza Sana.
Kiukweli kipaji cha TV Reporting na composeture yake, hiki ni moja ya vipaji vikubwa sana ambavyo TBC ilivipotezea serikalini. Ndani ya TBC anayemkaribia Msigwa ni Khalid Gangana.
Hongera Sana Gerson Msigwa kurudia kazi yako ya utangazaji!. Hiki ulichokifanya leo jijini New York, nchini Marekani, ndicho ulipaswa ukifanye Ikulu yetu, siku zote ilipokuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu.
Kazi ya Mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu, sio tuu ni kuandika Press Release, bali pia kuiripoti direct from Ikulu kwa piece to camera kama ulivyo fanya leo.
Ulipaswa kuturipotia shughuli muhimu za rais ikitokea Ikulu, na kuiripoti moja kwa moja into the news.
Pia ulipaswa kuitisha Press Conference na kufanya Press Briefing kwetu sisi waandishi kama walivyofanya Balozi Choks, Balozi Nkurlu na Balozi Kalaghe, na kama wafanyavyo ma Press Sec wa wenzetu Duniani.
Naamini Zuhura Yunus hata kuwa Bubu, ikitokea rais ana shughuli muhimu, asiishie kutusambazia just a press release bali sasa sambazeni multi media release yenye press release, photo gallery, audio footage, TV footage, social media footage na Peace to Camera.
All and all, hongereni sana for all that you are doing, Leo sisi huku Bongo ni hakuna kulala mpaka hiyo saa 8:30 usiku wa manane.
Tunawasubiria tushuhudie.
Paskali.
Mabandiko mengine kuhusu Royal Tour
Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huwaletea mfufululizo wa makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Makala ya leo ni bandiko la pongezi na ombi. Pongezi ni kwa Rais Samia, kusafiri kwa kukwea pipa la watu, kwenda nchini Marekani, na kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA. Ombi ni kwa...
Wanabodi, Naendelea na zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa, makala ya Leo ikiwa ni makala ya swali la hypothetical question (swali la kufikirika), Kwa njia ya "thinking aloud", yaani unawaza kwa sauti. Hii ni makala mwendelezo wa makala hii Hongera Rais Samia, Kwenda US, Kuhutubia UN...
Wanabodi Hii ni Makala ya Jumapili ya Jana. Hongera Rais Samia Kuzindua Filamu ya Royal Tour Marekani, Ingenoga Zaidi Kama Mama Angetua Marekani na Dreamliner Full of Wabongo!. Usikose kuangalia uzinduzi huu mubashara kuanzia Saa ,1:30 usiku huu kwa saa za Marekani ambapo tumepishana masaa 7...
Baada ya kuona hatuteuliwi na wale tuliokuwa tukiwadharau na Sisi tunaojifanya Manguli wa Tasnia na wenye Akili Wakiteuliwa na Sisi kuendelea tu kupiga Kazi za Deiwaka katika Media na Maisha yakitupiga sasa tumeamua Kujipendekeza kwa Wateuwaji na Wasaidizi Kiutendaji wa Mteuwaji akina Msigwa na Dkt. Abbas ili basi nao wakiwa karibu na Mteuwaji wa Nafasi za Nyadhifa waweze Kutuombea ( Kutupigia Chapuo ) ili ikiwezekana katika Teuzi zijazo basi nasi Wanafiki tuwezee Kuula ili tupate Unafuu wa haya Maisha yetu Magumu ( ambayo hatukuyategemea ) tunayoyapitia sasa.
nimekipenda kiingereza cha Msigwa cha go -go -go(sic) kizungu cha Iringa go - go -go no worry (msemaji wa Serikali) nakushauri uwekeze kwenye ku-polish kizungu chako
Baada ya kuona hatuteuliwi na wale tuliokuwa tukiwadharau na Sisi tunaojifanya Manguli wa Tasnia na wenye Akili Wakiteuliwa na Sisi kuendelea tu kupiga Kazi za Deiwaka katika Media na Maisha yakitupiga sasa tumeamua Kujipendekeza kwa Wateuwaji na Wasaidizi Kiutendaji wa Mteuwaji akina Msigwa na Dkt. Abbas ili basi nao wakiwa karibu na Mteuwaji wa Nafasi za Nyadhifa waweze Kutuombea ( Kutupigia Chapuo ) ili ikiwezekana katika Teuzi zijazo basi nasi Wanafiki tuwezee Kuula ili tupate Unafuu wa haya Maisha yetu Magumu ( ambayo hatukuyategemea ) tunayoyapitia sasa.
Mimi ni kawaida yangu, kwenye mazuri napongeza, na ikitokea issue ya spana, napiga spana, ila spana zangu sio spana tuu ili mradi kupiga spana, spana zangu ni constructive criticism huku nikitoa ushauri wa the right thing to do.
Kama issue ni kumfagilia na kumpongeza Gerson Msigwa, angalia tarehe ya bandiko hili,
Wanabodi, Nimeangalia kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinacharushwa Live na Star TV kila Jumamosi asubuhi. Namshauri Dialo atafute muda kipindi hiki kirudiwe jioni wakati wa prime time ili wengi waone. Kipindi cha leo kusema ukweli muongozaji Dotto Bulendu na mgeni wake Ansbert Ngurumo...
www.jamiiforums.com
Hivyo please stop this nonsense kuwa kila anayepongeza, anasaka uteuzi!, maana hata Mama mwenyewe kuna wakati tunambananisha
Wanabodi, Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni binadamu kama binaadamu wengine wote na anaweza kukosea kama binaadamu wengine wote, kwa kufanya makosa...
Nikashuhudia Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa akirudia kazi yake ya zamani ya utangazaji wa TV Reporting akiripotia TBC live mubashara moja kwa moja kutokea jijini New York, nchini Marekani kutuarifu maandalizi ya uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour, utakaofanyika usiku huu mida ya Saa 1:30 Kwa saa za Marekani ambapo ni saa 8:30 za usiku wa manane kwa saa za Tanzania.
Msigwa ambaye sasa ndiye Msemaji Mkuu wa Serikali, amejikumbusha enzi zake za utangazaji, kwa kumhoji Msemaji Mkuu wa Serikali mstaafu Dr. Hassan Abasi ambaye sasa ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo na Utamaduni na ni Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya filamu ya Royal Tour,
Dr. Hassan Abbas amesema uzinduzi utahudhuriwa na wageni mashuhuri 400 akiwemo Mayor wa Jiji la New York.
Kitendo cha Msemaji Mkuu wa Serikali kumhoji Msemaji Mkuu wa Serikali mstaafu ni mahojiano ya kupendeza Sana.
Kiukweli kipaji cha TV Reporting na composeture yake, hiki ni moja ya vipaji vikubwa sana ambavyo TBC ilivipotezea serikalini. Ndani ya TBC anayemkaribia Msigwa ni Khalid Gangana.
Hongera Sana Gerson Msigwa kurudia kazi yako ya utangazaji!. Hiki ulichokifanya leo jijini New York, nchini Marekani, ndicho ulipaswa ukifanye Ikulu yetu, siku zote ilipokuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu.
Kazi ya Mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu, sio tuu ni kuandika Press Release, bali pia kuiripoti direct from Ikulu kwa piece to camera kama ulivyo fanya leo.
Ulipaswa kuturipotia shughuli muhimu za rais ikitokea Ikulu, na kuiripoti moja kwa moja into the news.
Pia ulipaswa kuitisha Press Conference na kufanya Press Briefing kwetu sisi waandishi kama walivyofanya Balozi Choks, Balozi Nkurlu na Balozi Kalaghe, na kama wafanyavyo ma Press Sec wa wenzetu Duniani.
Naamini Zuhura Yunus hata kuwa Bubu, ikitokea rais ana shughuli muhimu, asiishie kutusambazia just a press release bali sasa sambazeni multi media release yenye press release, photo gallery, audio footage, TV footage, social media footage na Peace to Camera.
All and all, hongereni sana for all that you are doing, Leo sisi huku Bongo ni hakuna kulala mpaka hiyo saa 8:30 usiku wa manane.
Tunawasubiria tushuhudie.
Paskali.
Mabandiko mengine kuhusu Royal Tour
Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huwaletea mfufululizo wa makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Makala ya leo ni bandiko la pongezi na ombi. Pongezi ni kwa Rais Samia, kusafiri kwa kukwea pipa la watu, kwenda nchini Marekani, na kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA. Ombi ni kwa...
Wanabodi, Naendelea na zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa, makala ya Leo ikiwa ni makala ya swali la hypothetical question (swali la kufikirika), Kwa njia ya "thinking aloud", yaani unawaza kwa sauti. Hii ni makala mwendelezo wa makala hii Hongera Rais Samia, Kwenda US, Kuhutubia UN...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.