Vyumaa,watu wanaogopa kuishiwa na mb kuliko kuishiwa damuMkuu tuokoe mda andika huyo bibie Kafanya ulimbukeni gani?
AiseeAmewatupia noti za elfu kumi kumi waandishi wa habari waliokua mbele ya meza kuu,vurugu ikatokea,nadhani kuna camera zitakua zimeharibiwa!
Kweli mkuu NakaziaVyumaa,watu wanaogopa kuishiwa na mb kuliko kuishiwa damu
Hahahaha huu wivu mkuuSheria inasemaje kama mtu Ana rusha pesa.......
Ova
Awamu hii kumbe kina papaa msofe bado wapoSheria inasemaje kama mtu Ana rusha pesa.......
Ova
Ukute kaokota elfu 40 kaharibu camera ya milioniAmewatupia noti za elfu kumi kumi waandishi wa habari waliokua mbele ya meza kuu,vurugu ikatokea,nadhani kuna camera zitakua zimeharibiwa!
HahahaVyumaa,watu wanaogopa kuishiwa na mb kuliko kuishiwa damu