Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
dah ila kijana nae,Watoto wana bahati ya kuwa na mdingi baharia
Ova
ana dingi msela kinoma dah

Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah ila kijana nae,Watoto wana bahati ya kuwa na mdingi baharia
Ova

Sana mm msela,mhuni wa zamani,exposure ya kutosha iko hapa,nishapigana vita vingi ohoodah ila kijana nae,
ana dingi msela kinoma dah![]()
Huu usomi wenu husiishie kwenye makaratasi tu, iwe mpaka kwenye matendo yenu muonyeshe ubora wenu zaidi yao.Anayetakiwa kulaumiwa ni yule aloyemteua mhalifu kuwa mkuu wa mkoa!! Maadam ni mkuu wa mkoa, hata kama kila mmoja anajua ni jambazi, huwezi kumnyima mic.
Ni wazi wenye shida zaidi ya wote ni sisi wananchi wa Jamuhuri ya JF.Nchi yetu tunashida kiasi, haiwezekani RC mbele ya viongozi wakuu wa nchi anaongea serious allegations vile,na anarudi kwake kulala huku akifurahi......wakati maBoss wa TISS,IGP,CDF na wengine wote wapo na wakakaa kimya bila kumchukua mtu huyo anayewajua wahaini kwaajili ya mahojiano....... inasikitisha sana mfumo wetu wa utawala kuwa hivi 😔
Changia hoja!Sasa si ndo kasema? Na wewe sema la kwako
Elimu ya darasani???ni kitu gani kwenye maisha halisi tunayoyajua watu wote waliosoma na ambao hawajasoma,wanaojiita wasomi ndiyo hao tunao walalamikia kila siku hawawasaidii wananchi na mipango yao inaonekana ni mibovu,we unauliza elimu?!Una elimu gani?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Watu wenye mandevu wenye akili timamu ni Hashim Rungwe, Muamar Gaddafi pamoja na Osama nyie wengine hayo madevu yafaa tuyakate tuyasage sage tutengeneze toilet paper