Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #121
Sijui kina Wanu wanajiskiaje?Eti mama angu Samia Suluhu, yaani unaweza kudhania Samia ni mama ake mzazi aliyemzaa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kina Wanu wanajiskiaje?Eti mama angu Samia Suluhu, yaani unaweza kudhania Samia ni mama ake mzazi aliyemzaa...
Watu wenye mandevu wenye akili timamu ni Hashim Rungwe, Muamar Gaddafi pamoja na Osama nyie wengine hayo madevu yafaa tuyakate tuyasage sage tutengeneze toilet paperkwa pamoja, waTanzania wote kwa umoja wetu, tunasonga mbele bila mihemko wala gubu 🐒
🤣 na mtengenezee still waya right?Watu wenye mandevu wenye akili timamu ni Hashim Rungwe, Muamar Gaddafi pamoja na Osama nyie wengine hayo madevu yafaa tuyakate tuyasage sage tutengeneze toilet paper
Unampenda ni mama ako?🤣 na mtengenezee still waya right?
lakin hata na hivyo kazi nzur sana Tanzania, ya kusukuma maendeleo ya wanainchi inafanyika, chini ya kiongozi wetu Dr.Samia Suluhu Hassan ambae sote tunampenda sana 🐒
Anafanya alichotumwa kufanya, ts not a coincidence!Ukienda China kuna mfumo wa mikoa kama kwetu. Wao wanaita Provinces, na tofauti yao na sie ni kuwa wao mikoa yao ni mikoa ya kiuchumi ( Economic provinces) wakati sie mikoa yetu ni mikoa ya kisiasa (political provinces)
Wanapotushinda China ni watu wanaoteuliwa kuongoza hizo provinces. Kwao wanateua watu wenye uwezo na mawazo makubwa ya kiuchumi unaweza sema watu creative na innovative ambao wamesoma, wana exposure na wana uelewa mkubwa wa masuala ya kiuchumi na kidunia.
Provinces za China zinashindana kiuchumi, hawa wanaanzisha viwanda wa mafriji hawa wanaanzisha viwanda vya washing machines. Ili mradi siku ya mwisho provinces moja iwe zaidi ya nyingine kiuchumi na kimaendeleo.
Leo Mkuu wa Mkoa wa Arusha kapewa mic aongee kwenye tukio la Kumbukumbu cha kifo cha Sokoine. Pamoja na kumuelezea Sokoine , kwa watu wenye akili walitegemea ni kitu gani ambacho atakiongea katika kuelezea namna ambavyo ataweka mipango kabambe ili Jiji lile liwe namba moja kiuchumi Tanzania.
Tofauti na hayo Makonda ameelezea kuweka baiskeli za polisi, camera za usalama barabarani mambo ambayo unaweza sema kuwa ni just petty issues!
Mbaya zaidi kama kawaida yake, ametoa vitisho kwa watu eti wanaomsema Rais Samia.
Napenda kuwaambia wana JF huyu ndo makonda sasa na alilofanya leo ndo mambo anayoweza. Ufitini, uchonganishi, kujipendekeza na kujifanya yeye ndo anayempenda zaidi kiongozi wake kuliko mtu yeyote yule ili angalau aendelee kupata vyeo na kuishi kupitia hivyo vyeo.
Alivyo Makonda ndo walivyo watu na vijana wengi kuanzia Chama cha Mapinduzi hadi sehemu nyingine. Hawana muda wa kuonesha uwezo wao kwenye mambo ya msingi bali kujipendekeza kwa watu wenye nafasi ili waendelee kula.
Naionea huruma Tanzania. Kesho yetu inasikitisha hakika.
Kauli ya Makonda kuwataja wanaomchafua Rais Samia, soma Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
ni mama yangu mlezi, na kiongozi shupavu wa waTanzania wote. kwa hakika tunajivunia uskivu wake, huruma yake na nia yake njema kwa wanainchi wa Tanzania 🐒Unampenda ni mama ako?
Basi nina mashaka sana na huyo anayemtuma! Is it necessary? Inasaidiaje kwenye uchumi wa nchi na maendeleo ya wananchi?Anafanya alichotumwa kufanya, ts not a coincidence!
Ahahahahaha!Ni jambo la kawaida. Kwa aibu aliyoifanya jana
Zaidi ya uchawa kuna mishe zozote unafanya? Uchawa ni umamani mama yangu mlezi, na kiongozi shupavu wa waTanzania wote. kwa hakika tunajivunia uskivu wake, huruma yake na nia yake njema kwa wanainchi wa Tanzania 🐒
Dr Samia Suluhu Hassan, Tanzanians loves you very much 🌹
kazi ya kutumika wanaichi na kuwaletea maendeleo, itaendelea kufanywa na CCM na Serikali yake kwa bidii zaidi, bila kuzingatia mbambamba yoyote, mihemko wala gubu 🐒Zaidi ya uchawa kuna mishe zozote unafanya? Uchawa ni umama
How old are you?sio suala la kujuana hapa au kusubiri mpaka afe ndio tuanze unafiki kwamba ooh Fulani alikua nini nini n.k....
sokoine aliogopwa sana na wavivu, viongozi wasio wabunifu, wala rushwa, wavunja sheria na waliozoea kufanya kazi kimazoea the same way Makonda alivyo 🐒
so,
ukimchukia Makonda na utendaji wake huna tofauti na anaemchukia hayati sokoine 🐒
sokoine hakuwa anakusudia kumchekesha au kumuudhi mtu, ispokua alitamani watu wote kufanya kazi kwa bidii na hatimae wote wafurahie matunda ya bidii katika kazi zao.........
And that,
hayati Moringe Sokoine is now, Paul Christian Makonda,The RC, Arusha Region 🐒
Mimi siwezi, lakini akitokea mtu hapa akakujibu kuwa wewe ni mpuuzi sitashangaa maana umeonyesha hivyo ingawa mimi siwezi kukuita hivyo hata kama ndivyo ulivyo.sio suala la kujuana hapa au kusubiri mpaka afe ndio tuanze unafiki kwamba ooh Fulani alikua nini nini n.k....
sokoine aliogopwa sana na wavivu, viongozi wasio wabunifu, wala rushwa, wavunja sheria na waliozoea kufanya kazi kimazoea the same way Makonda alivyo 🐒
so,
ukimchukia Makonda na utendaji wake huna tofauti na anaemchukia hayati sokoine 🐒
sokoine hakuwa anakusudia kumchekesha au kumuudhi mtu, ispokua alitamani watu wote kufanya kazi kwa bidii na hatimae wote wafurahie matunda ya bidii katika kazi zao.........
And that,
hayati Moringe Sokoine is now, Paul Christian Makonda,The RC, Arusha Region 🐒
sina haja ya kubabaika na mihemko wala gubu ya mtu awaye yeyote dhidi ya Ukweli jadidi kama huo 🐒Mimi siwezi, lakini akitokea mtu hapa akakujibu kuwa wewe ni mpuuzi sitashangaa maana umeonyesha hivyo ingawa mimi siwezi kukuita hivyo hata kama ndivyo ulivyo.
always,How old are you?
Makamba jr katika kujitetea. Umekwama safari hiiUkienda China kuna mfumo wa mikoa kama kwetu. Wao wanaita Provinces, na tofauti yao na sie ni kuwa wao mikoa yao ni mikoa ya kiuchumi ( Economic provinces) wakati sie mikoa yetu ni mikoa ya kisiasa (political provinces)
Wanapotushinda China ni watu wanaoteuliwa kuongoza hizo provinces. Kwao wanateua watu wenye uwezo na mawazo makubwa ya kiuchumi unaweza sema watu creative na innovative ambao wamesoma, wana exposure na wana uelewa mkubwa wa masuala ya kiuchumi na kidunia.
Provinces za China zinashindana kiuchumi, hawa wanaanzisha viwanda wa mafriji hawa wanaanzisha viwanda vya washing machines. Ili mradi siku ya mwisho provinces moja iwe zaidi ya nyingine kiuchumi na kimaendeleo.
Leo Mkuu wa Mkoa wa Arusha kapewa mic aongee kwenye tukio la Kumbukumbu cha kifo cha Sokoine. Pamoja na kumuelezea Sokoine , kwa watu wenye akili walitegemea ni kitu gani ambacho atakiongea katika kuelezea namna ambavyo ataweka mipango kabambe ili Jiji lile liwe namba moja kiuchumi Tanzania.
Tofauti na hayo Makonda ameelezea kuweka baiskeli za polisi, camera za usalama barabarani mambo ambayo unaweza sema kuwa ni just petty issues!
Mbaya zaidi kama kawaida yake, ametoa vitisho kwa watu eti wanaomsema Rais Samia.
Napenda kuwaambia wana JF huyu ndo makonda sasa na alilofanya leo ndo mambo anayoweza. Ufitini, uchonganishi, kujipendekeza na kujifanya yeye ndo anayempenda zaidi kiongozi wake kuliko mtu yeyote yule ili angalau aendelee kupata vyeo na kuishi kupitia hivyo vyeo.
Alivyo Makonda ndo walivyo watu na vijana wengi kuanzia Chama cha Mapinduzi hadi sehemu nyingine. Hawana muda wa kuonesha uwezo wao kwenye mambo ya msingi bali kujipendekeza kwa watu wenye nafasi ili waendelee kula.
Naionea huruma Tanzania. Kesho yetu inasikitisha hakika.
Kauli ya Makonda kuwataja wanaomchafua Rais Samia, soma Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Leo hii mimi Makamba?Makamba jr katika kujitetea. Umekwama safari hii
vipi kule buguruni hafuatiliwi?Ila Makonda anafuatiliwa sana toka ufipa hadi lumumba
wishes and riding horses isn't itactually,
Mwanasiasa makini hawezi kupuuza chochote. whether ni hicho unachoita porojo na umbea au vinginevyo 🐒
kupuuza ni among political mistakes ambazo zinaweza kukupelekea ukafanya blunders ambayo itaweza kukufanya politically irrelevant in political sphere 🐒
so,
in professional politics we don't underrate political issues, allegations or statements. we work on it in a very serious way 🐒
and for your information, what RC is doing is going to swip some political giants as soon as possible 🐒