Alichokifanya Rais Samia dhidi ya Lukuvi na Kabudi kuwaweka kwapani ni kudhibiti kundi la urais 2025 dhidi yake, atafanikiwa?

Alichokifanya Rais Samia dhidi ya Lukuvi na Kabudi kuwaweka kwapani ni kudhibiti kundi la urais 2025 dhidi yake, atafanikiwa?

troiker

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
1,551
Reaction score
2,573
Ukitizama kwa jicho la ndani zaidi, Lukuvi na Palamagamba, kwa watanzania makini, na wazalendo wa kweli, bila ushabiki wa milengo ya kisiasa, watu hawa ni makini na weledi katika utendaji wa kazi ,na hili limedhihirika kwa michango ya watanzania wote kupitia mabadiliko ya baraza la mawaziri, wamesemwa kwa wema zaidi, na wananchi walishangazwa kuachwa kwao kwenye mabadiliko ya baraza la mawaziri.

Hawa viongozi waengeunganisha nguvu na wasiokubaliana na utendaji wa rais Samia +wapinzani wasio na vyama na wa vyama vya upinzani ilikuwa ni kazi ngumu sana kwa yeye 2025.

Pili imedhihirika mabadiliko haya ya baraza la Mawaziri yalilenga kuwaingiza watoto wa vigogo ,na ili waingie ilitakiwa panga pangua kupoteza maboya kwa kugusa mpaka makatibu wakuu na manaibu (kiini macho).

Hivyo ametolewa Waitara na Kitila kama wageni kupisha watoto wa wenye chama chao .ile dhana ya kila mtanzania aweza kuwa kiongozi inaondoka taratibu.

Ifahamike nje ya hii CCM ya sasa hakutakuwa na jipya, zaidi ni kusindikiza watawala na familia zao mpaka messiah atakaporudi.

Ukombozi utapatikana wa kisiasa na kiuchumi kwa watanzania kusema sasa basi imetosha,kama tutaendelea kusema hewala Mungu yupo bila kuchukua hatua tumekwisha Watanzania.

Mwisho bila CCM kupasuka tutateseka daima ile tabia ya kuacha Mbowe anateseka mahakamani na kuvalia njuga mambo ya CCM haifai hata kidogo.
 
Kwa style hii kuna mtu mungine ambae atakalia kiti hiki kweli? RIP Chacha Wangwe uliliona hili mapema, ila ulipotaka kurudisha demokrasia ya kweli iliyoachwa ndan ya chama na kina Bob Makani uliambulia kifo.

images (25).jpeg
 
Mkuu hakuna ulijualo kuhusu urais ,kwa taarifa yako hao ambao unasema wameitwa ikulu na rais ili kuzima vuguvugu la urais la 2025 si kweli,utaratibu wa wa CCM Ni muislamu dheni mkristo,sasa hao wote uliowataja si wa upande ambao ulipaswa kukabidhiwa kijiti.

Hivyo si kweli kwamba mama anaogopa hao watu,njooni na hoja zingine hizi hazina mashiko.

#kazi iendelee
 
Vijana inabidi muamke kulipinga hili kwa vitendo. Hata 2025 kwa katiba hii na tume hii tutarudi hukuhuku.
Chaga Gang imeshindwa kupigania katiba na tume huru ya uchaguzi Hadi muanze tena kuwahimiza vijana wetu kufanya mambo yasiyo na tija kwao.?

Asilimia kubwa ya vijana wanaamini katiba iliyopo inatosha,sasa Kama wewe unaona haitoshi tumia chaga Gang kudai katiba mpya na tume huru
 
Mkuu hakuna ulijualo kuhusu urais ,kwa taarifa yako hao ambao unasema wameitwa ikulu na rais ili kuzima vuguvugu la urais la 2025 si kweli,utaratibu wa wa CCM Ni muislamu dheni mkristo,sasa hao wote uliowataja si wa upande ambao ulipaswa kukabidhiwa kijiti.

Hivyo si kweli kwamba mama anaogopa hao watu,njooni na hoja zingine hizi hazina mashiko.

#kazi iendelee
Wewe ndiye hujui sasa.

Jiwe alikuwa Mkristo, Samia ni Muslim, kifuatacho ni Mkristo ambapo John na Lukuvi ni Wakristo
 
Mkuu hakuna ulijualo kuhusu urais ,kwa taarifa yako hao ambao unasema wameitwa ikulu na rais ili kuzima vuguvugu la urais la 2025 si kweli,utaratibu wa wa CCM Ni muislamu dheni mkristo,sasa hao wote uliowataja si wa upande ambao ulipaswa kukabidhiwa kijiti.

Hivyo si kweli kwamba mama anaogopa hao watu,njooni na hoja zingine hizi hazina mashiko.

#kazi iendelee
Wewe ndiye hujui sasa.

Jiwe alikuwa Mkristo, Samia ni Muslim, kifiatacho ni Mkristo ambapo John na Lukuvi ni
Chaga Gang imeshindwa kupigania katiba na tume huru ya uchaguzi Hadi muanze tena kuwahimiza vijana wetu kufanya mambo yasiyo na tija kwao.?

Asilimia kubwa ya vijana wanaamini katiba iliyopo inatosha,sasa Kama wewe unaona haitoshi tumia chaga Gang kudai katiba mpya na tume huru
Chagga na Katiba toka lini?

Mchagga pesa ndiyo la msingi. Katiba ni stori za Mchagga kijiweni baada ya kazi.
 
Wewe ndiye hujui sasa.

Jiwe alikuwa Mkristo, Samia ni Muslim, kifuatacho ni Mkristo ambapo John na Lukuvi ni Wakristo
Mkuu ikitokea kwamba rais Samia asingombee japo hatuombei iwe,Basi atakayemrithi toka CCM lazima awe muislamu elewa hivyo.
 
Back
Top Bottom