The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Rais hawezi ogopa kima yeyote Tzanzania hiiKila kitu hapa duniani kina hesabu au kinahitaji hesabu. Mama amepiga hesabu za heri nusu shari kuliko shari kamili . We mwenyewe pata picha bwana kabudi...
Mawazo potofu kabisa, dini haijawatatizo wala uhalali wa kuitawala hii nchi. Na haitakaa itokee, afterall Muslims have done a better job as presidents than Christians see the previous ERA. I am Christian by the way.Ingekuata ni kenya ukute wanafikiria kumpa urais musislamu haijawai kutokeaa wala hawatambui waislmu ..rais Ni wakristo tu
Baada ya samia ni JanuaryMkuu hakuna ulijualo kuhusu urais ,kwa taarifa yako hao ambao unasema wameitwa ikulu na rais ili kuzima vuguvugu la urais la 2025 si kweli,utaratibu wa wa CCM Ni muislamu dheni mkristo,sasa hao wote uliowataja si wa upande ambao ulipaswa kukabidhiwa kijiti.
Hivyo si kweli kwamba mama anaogopa hao watu,njooni na hoja zingine hizi hazina mashiko.
#kazi iendelee
Rais muda wake una kikomo lazma kuna watu anawaogopa maana ukomowake ukifika huwez kujua naniatakuwa nani. Na unaweza kufika ukomo kabla ya ukomoRais hawezi ogopa kima yeyote Tanzania hii
Kwani wote waliopata urais walikuwa wanasema kabla? Lukuvi ana njaa sana ya kutaka kuihujumu nchi lakini mpango wake kutaka kuifanya Zanzibar mkoa tunamjua sana alikuwa anasema mara kadhaa makanisani huko kwamba hatutaacha kuikalia zanzibar kijeshi.Kwani ni lini Lukuvi aliwahi kusema kuwa ana mpango wa kugombea urais?
Uzee unaanzia miaka mingapi?
Kwani wazee hawaruhusiwi kugombea urais?
Yaani ukishakuwa smart&focus tu kwenye baraza la mawaziri tayari Rais anakuogopa kuwa utakuja kuwa rais!
Rais ana kingaRais muda wake una kikomo lazma kuna watu anawaogopa maana ukomowake ukifika huwez kujua naniatakuwa nani. Na unaweza kufika ukomo kabla ya ukomo