authentic
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 663
- 241
Hivi hizo ni university au madrasat?
NOTE:
Zanzibar kuna ILIMU na sio ELIMU.
Kuna tofauti gani kati ya "ILMU" na "ELIMU"?!
Ebu niweke sawa mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hizo ni university au madrasat?
NOTE:
Zanzibar kuna ILIMU na sio ELIMU.
Tanganyika was a Member of the United Nations from 14 December 1961 and Zanzibar was a Member from 16 December 1963.
Following the ratification on 26 April 1964 of Articles of Union between Tanganyika and Zanzibar, the United Republic of Tanganyika and Zanzibar continued as a single Member, changing its name to the United Republic of Tanzania on 1 November 1964.
Watatuelewa tu kwa kuwa tulitoka kwao. Jamani huu muungano hata kama wanaung'ang'ania kiukweli ni kwamba hautakuwepo.Huu muungano unapaswa kuwa wa kiulinzi tu. Hayo mambo mengine yote piga chini.
Tanganyika ndio itakuwa kama ndio mwanzo inapata uhuru. Maana itawalazimu kwenda kujitambulisha kimataifa kwamba mnaitwa watanganyika na sio watanzania!
Sasa ukiyatoa hayo kuna muungano tena? semeni hamtaki muungano mtaeleweka!
Barubaru, KVM,
..asanteni kwa marekebisho kwamba wanafunzi wa Tanzania hawakupata kufanya mitihani ya East African Examination Council. nakiri kwamba niliteleza.
..pamoja na ningependa kufanya marekebisho kidogo kwamba NECTA ilianzishwa kisheria mwaka 1973. zaidi, kama mlivyoeleza mitihani ya Cambridge ilisita mwaka 1970. sasa labda tujaribu kuangalia btn 1970 na 1973 mitihani ilitungwa na chombo gani.
cc: Kichuguu, Augustine Moshi, NasDaz, Kitila Mkumbo
Hivi hizo ni university au madrasat?
NOTE:
Zanzibar kuna ILIMU na sio ELIMU.
Hatutaki serikali ya tanzania bara bali serikali ya tanganyika.............. Tume inaficha nini? Kwa nini wazanzibar nao wasitumie serikali ya tanzania visiwani? Wanatuharibia historia
chabuso,
..data zangu nimezipata UN kwenyewe. bofya hapa United Nations member States - Growth in United Nations membership, 1945-present
..kwani wewe data zinazosema Tanzania inatumia kiti cha Zanzibar umezipata wapi?
..hivi una uhakika kama serikali ya Mapinduzi, ilishateua balozi wake kwenda kuiwakilisha UN??
..kuna mambo mengi sana yasiyo ya kweli yanasemwa kuhusu Tanganyika. Jaribu kuyahakiki mambo hayo kabla hujayaamini.
cc: Nguruvi3, GHIBUU, kibungano, Nonda
Ndio watu wanapambana na ufisadi wenyewe.kuna changamoto nyingi mno zaid ya elf zinawakabili (old)watanganyika mi nafikiri nyinyi mkae mjipange na changamoto zenu achaneni na mambo ya zanzibar kudai mamlaka kamili sio dhambi pambaneni na mafisadi wenu wanatafuna nchi kila uchao haya mambo ya zanzibar hebu yaacheni msiburuzwe watanganyika nyieee na hapa inaonyeha zanzibar kuna elimu kubwa sana ya uraia kuliko bara hamjui masikini mnataka nini tukipata mamlaka kamili tutakusaidieni kujua changamoto zenu
Sasa ukiyatoa hayo kuna muungano tena? semeni hamtaki muungano mtaeleweka!