kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Alichokisema Lema hakina tofauti na alichowahi kusema Alfredo Bowman aka Dr Seby (huyu dr alivumbua tiba nyingi za asilia C.I.A wakamfyeka) kuhusu Ugali
Dr Sebi alishawahi kusema kuwa Ugali sio nzuri hata kidogo unadumaza akili na ni chakula.cha kimasikini kabisa kutwa kucha ugali wa dona akili utazitoa wapi?
Ndo maana jamii zinazokula Ugali Asubuhi, Mchana na usiku siku 7 za wiki, bila kubadilisha lazima hyo jamii iwe na IQ ndogo tu
Ukitaka kuamini, angalia jamii au familia wanazokula mixture yaani hawali ugali sana wanakula
viazi, ndizi, mihogo, samaki, nyama, dagaa, ngano, mchele, mboga, maziwa wadudu mfano senene na kumbikumbi wana IQ kubwa sana tofauti na jamii wanayotegemea ugali tu muda wote na hakuna chakula cha mbadala
Ugali unadumaza akili na sio chakula cha maana hata cha kujivunia hata kidogo, msisahau kuwa ugali wa mahindi sio chakula cha asili cha Mwafrika msisahau mahindi pia yaliletwa na mreno sisi tukadakia tu
Mimi binafsi huo ugali unaliwa mara chache tu nyumbani kwangu hili nililijua mapema sana sio chakula cha kukipa kipaumbele hata kidogo.
Lema yupo sahihi kabisa, maskini wengi ndo wapenda ugali maana hawana mbadala
=======
Dr Sebi alishawahi kusema kuwa Ugali sio nzuri hata kidogo unadumaza akili na ni chakula.cha kimasikini kabisa kutwa kucha ugali wa dona akili utazitoa wapi?
Ndo maana jamii zinazokula Ugali Asubuhi, Mchana na usiku siku 7 za wiki, bila kubadilisha lazima hyo jamii iwe na IQ ndogo tu
Ukitaka kuamini, angalia jamii au familia wanazokula mixture yaani hawali ugali sana wanakula
viazi, ndizi, mihogo, samaki, nyama, dagaa, ngano, mchele, mboga, maziwa wadudu mfano senene na kumbikumbi wana IQ kubwa sana tofauti na jamii wanayotegemea ugali tu muda wote na hakuna chakula cha mbadala
Ugali unadumaza akili na sio chakula cha maana hata cha kujivunia hata kidogo, msisahau kuwa ugali wa mahindi sio chakula cha asili cha Mwafrika msisahau mahindi pia yaliletwa na mreno sisi tukadakia tu
Mimi binafsi huo ugali unaliwa mara chache tu nyumbani kwangu hili nililijua mapema sana sio chakula cha kukipa kipaumbele hata kidogo.
Lema yupo sahihi kabisa, maskini wengi ndo wapenda ugali maana hawana mbadala
=======