Alichokisema Lema ni sahihi kabisa, ugali pia unadumaza akili

Alichokisema Lema ni sahihi kabisa, ugali pia unadumaza akili

Alichokisema Lema hakina tofauti na alichowahi kusema Alfredo Bowman aka Dr Seby (huyu dr alivumbua tiba nyingi za asilia c.i.a wakamfyeka) kuhusu Ugali...
Sounds like porojo tupu.

Ugali hutokana na mahindi, mihogo, mtama, uwele, ulezi, ngano, nk.

Angeorodhesha nutritional contents zilizomo ndani ya nafaka zinazoleta huo udumavu.

Na kama kweli hizo nafaka zina tatizo, ingebidi kuacha kutumia vyote vinavyotokana na nafaka, kama mafuta ya kupikia, biscuti, pombe, nk.

Halafu, kwenye jamii za wala ugali mwanzo mwisho, mbona zina watu wanaofahamika waziwazi tu kuwa wana iQ ambazo ni above average!
 
Hili liko wazi wala haliitaji mjadala labda ubishi.ndo maana wengine kwa kuishiwa cha kujadili wanaijadili chadema na uchaguzi wakati mada ni ugali.
 
Ugali ni mboga,
Leo ugali samaki
Kesho ugali nyama
Kesho kutwa ugali dagaa na mboga mboga
Inayofuata ugali kitimoto
Ya tano ugali maziwa mtindi
Ya 6 ugali kuku
Hapo ni mchana jioni kitapikwa kingine, jumapili kitapikwa tofauti
Hao wanyonge ndo wataweza kubadili mboga???
 
Alichokisema Lema hakina tofauti na alichowahi kusema Alfredo Bowman aka Dr Seby (huyu dr alivumbua tiba nyingi za asilia C.I.A wakamfyeka) kuhusu Ugali

Dr Sebi alishawahi kusema kuwa Ugali sio nzuri hata kidogo unadumaza akili na ni chakula.cha kimasikini kabisa



Ndo maana jamii zinazokula Ugali Asubuhi, Mchana na usiku siku 7 za wiki, bila kubadilisha lazima hyo jamii iwe na IQ ndogo tu

Ukitaka kuamini, angalia jamii au familia wanazokula mixture yaani hawali ugali sana wanakula
viazi, ndizi, mihogo, samaki, nyama, dagaa, ngano, mchele, mboga, maziwa wadudu mfano senene na kumbikumbi wana IQ kubwa sana tofauti na jamii wanayotegemea ugali tu muda wote na hakuna chakula cha mbadala

Ugali unadumaza akili na sio chakula cha maana hata cha kujivunia hata kidogo, msisahau kuwa ugali wa mahindi sio chakula cha asili cha Mwafrika msisahau mahindi pia yaliletwa na mreno sisi tukadakia tu

Mimi binafsi huo ugali unaliwa mara chache tu nyumbani kwangu hili nililijua mapema sana sio chakula cha kukipa kipaumbele hata kidogo.

Lema yupo sahihi kabisa, maskini wengi ndo wapenda ugali maana hawana mbadala

=======


Tatizo hujijui kuwa wewe ni taahira kama Lema
 
Ungedumaza akili tungepata watu wa kubeba kibox chote cha pesa ya Tz kama Mtei, Mramba na wengine? Ni kazi inayohitaji utumiaji wa ubongo. Ubongo uliodumaa ungeweza??
Mtei na mramba una uhakika ugali ndo wanaokula?
 
Alichokisema Lema hakina tofauti na alichowahi kusema Alfredo Bowman aka Dr Seby (huyu dr alivumbua tiba nyingi za asilia C.I.A wakamfyeka) kuhusu Ugali

Dr Sebi alishawahi kusema kuwa Ugali sio nzuri hata kidogo unadumaza akili na ni chakula.cha kimasikini kabisa



Ndo maana jamii zinazokula Ugali Asubuhi, Mchana na usiku siku 7 za wiki, bila kubadilisha lazima hyo jamii iwe na IQ ndogo tu

Ukitaka kuamini, angalia jamii au familia wanazokula mixture yaani hawali ugali sana wanakula
viazi, ndizi, mihogo, samaki, nyama, dagaa, ngano, mchele, mboga, maziwa wadudu mfano senene na kumbikumbi wana IQ kubwa sana tofauti na jamii wanayotegemea ugali tu muda wote na hakuna chakula cha mbadala

Ugali unadumaza akili na sio chakula cha maana hata cha kujivunia hata kidogo, msisahau kuwa ugali wa mahindi sio chakula cha asili cha Mwafrika msisahau mahindi pia yaliletwa na mreno sisi tukadakia tu

Mimi binafsi huo ugali unaliwa mara chache tu nyumbani kwangu hili nililijua mapema sana sio chakula cha kukipa kipaumbele hata kidogo.

Lema yupo sahihi kabisa, maskini wengi ndo wapenda ugali maana hawana mbadala

=======


Watu WEUSI HAMNA AKILI.

Acheni kusingizia UGALI mara MWENGE.

Kuna watu weusi JAMAICA, MAREKANI UINGEREZA mpaka USWISI.

Hawajawahi KULA UGALI. Lakini HAWANA AKILI.
 
Waafrika ni watu wa ajabu sana, wanakomaa kuwa ugali ni chakula cha kiafrika, wakati mahindi yameletwa na wareno kutoka America. Mimi watoto wangu wanakula zaidi vyakula vya ngano.
Ngano ina asilimia kati ya 8-15% ya protein, ambayo ni muhimu sana kwa ubongo ili mtu afikiri vizuri, awe mbunifu nk. Sasa mahindi Ina 6-13% ya protein. Kwa maana hiyo nutrition ni kidogo. Nchi zilizoendelea mahindi ni kwaajili ya wanyama.
 
Walikulia katika familia za wakulima kabla ya kupata nyadhifa hizo serikalini, hivyo walichapa sana ugali. Wangedumaa tangu wakiwa watoto.
 
Labda nimuulize Lema kuwa amekulia wapi? Uliukwepa ugali? Wazazi wako walikula ugali ndipo ukazaliwa wewe. Au ugali ulikudumaza ndio maana unaongea vitu visivyoeleweka?
 
Aliona huko Canada kuwa mahindi ni chakula cha wanyama na kwa akili yake akagundua ugali unadumaza akili. Achana na mataifa yaliyoendelea, hapa Afrika mahindi ni chakula Bora, ugali unatufanya tuwe na nguvu za kuchapa kazi.
 
Back
Top Bottom