Halafu wakishindwa kwenye uchaguzi wanasingizia wameibiwa kuraNdio mana wanasema hiki chama ni cha wavuta bang
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu wakishindwa kwenye uchaguzi wanasingizia wameibiwa kuraNdio mana wanasema hiki chama ni cha wavuta bang
KabisaWaafrika ni watu wa ajabu sana, wanakomaa kuwa ugali ni chakula cha kiafrika, wakati mahindi yameletwa na wareno kutoka America. Mimi watoto wangu wanakula zaidi vyakula vya ngano.
Ngano ina asilimia kati ya 8-15% ya protein, ambayo ni muhimu sana kwa ubongo ili mtu afikiri vizuri, awe mbunifu nk. Sasa mahindi Ina 6-13% ya protein. Kwa maana hiyo nutrition ni kidogo. Nchi zilizoendelea mahindi ni kwaajili ya wanyama.
Alichokisema Lema hakina tofauti na alichowahi kusema Alfredo Bowman aka Dr Seby (huyu dr alivumbua tiba nyingi za asilia C.I.A wakamfyeka) kuhusu Ugali
Dr Sebi alishawahi kusema kuwa Ugali sio nzuri hata kidogo unadumaza akili na ni chakula.cha kimasikini kabisa
Ndo maana jamii zinazokula Ugali Asubuhi, Mchana na usiku siku 7 za wiki, bila kubadilisha lazima hyo jamii iwe na IQ ndogo tu
Ukitaka kuamini, angalia jamii au familia wanazokula mixture yaani hawali ugali sana wanakula
viazi, ndizi, mihogo, samaki, nyama, dagaa, ngano, mchele, mboga, maziwa wadudu mfano senene na kumbikumbi wana IQ kubwa sana tofauti na jamii wanayotegemea ugali tu muda wote na hakuna chakula cha mbadala
Ugali unadumaza akili na sio chakula cha maana hata cha kujivunia hata kidogo, msisahau kuwa ugali wa mahindi sio chakula cha asili cha Mwafrika msisahau mahindi pia yaliletwa na mreno sisi tukadakia tu
Mimi binafsi huo ugali unaliwa mara chache tu nyumbani kwangu hili nililijua mapema sana sio chakula cha kukipa kipaumbele hata kidogo.
Lema yupo sahihi kabisa, maskini wengi ndo wapenda ugali maana hawana mbadala
=======
Ugali lazima tukubali kuwa ni chakula cha kimasikini tu.Alichokisema Lema hakina tofauti na alichowahi kusema Alfredo Bowman aka Dr Seby (huyu dr alivumbua tiba nyingi za asilia C.I.A wakamfyeka) kuhusu Ugali
Dr Sebi alishawahi kusema kuwa Ugali sio nzuri hata kidogo unadumaza akili na ni chakula.cha kimasikini kabisa
Ndo maana jamii zinazokula Ugali Asubuhi, Mchana na usiku siku 7 za wiki, bila kubadilisha lazima hyo jamii iwe na IQ ndogo tu
Ukitaka kuamini, angalia jamii au familia wanazokula mixture yaani hawali ugali sana wanakula
viazi, ndizi, mihogo, samaki, nyama, dagaa, ngano, mchele, mboga, maziwa wadudu mfano senene na kumbikumbi wana IQ kubwa sana tofauti na jamii wanayotegemea ugali tu muda wote na hakuna chakula cha mbadala
Ugali unadumaza akili na sio chakula cha maana hata cha kujivunia hata kidogo, msisahau kuwa ugali wa mahindi sio chakula cha asili cha Mwafrika msisahau mahindi pia yaliletwa na mreno sisi tukadakia tu
Mimi binafsi huo ugali unaliwa mara chache tu nyumbani kwangu hili nililijua mapema sana sio chakula cha kukipa kipaumbele hata kidogo.
Lema yupo sahihi kabisa, maskini wengi ndo wapenda ugali maana hawana mbadala
=======
Anatimiza unabii wake mara baada ya ndoto yake kutimia mwaka 2021Lema endelea kutufumbua macho!
Bila ccm kusingekuwa na mashamba ya bangi TanzaniaNdio mana wanasema hiki chama ni cha wavuta bang
Wewe ndiye bwege mtizeni kabisaBAVICHA ukweli unaowauma huwa hawazungumzi kabisa, tukiwaambia Tanzania uchumi wetu unakua kuliko wa Marekani watakushambulia mbaya lakini mambo mengine wanapenda ku-compare.
Wewe endelea kulinda kaburiHii ndio sera ya kuwapeleka CHADEMA Ikulu?
Unae matatizo ya akiliAlichokisema Lema hakina tofauti na alichowahi kusema Alfredo Bowman aka Dr Seby (huyu dr alivumbua tiba nyingi za asilia C.I.A wakamfyeka) kuhusu Ugali
Dr Sebi alishawahi kusema kuwa Ugali sio nzuri hata kidogo unadumaza akili na ni chakula.cha kimasikini kabisa
Ndo maana jamii zinazokula Ugali Asubuhi, Mchana na usiku siku 7 za wiki, bila kubadilisha lazima hyo jamii iwe na IQ ndogo tu
Ukitaka kuamini, angalia jamii au familia wanazokula mixture yaani hawali ugali sana wanakula
viazi, ndizi, mihogo, samaki, nyama, dagaa, ngano, mchele, mboga, maziwa wadudu mfano senene na kumbikumbi wana IQ kubwa sana tofauti na jamii wanayotegemea ugali tu muda wote na hakuna chakula cha mbadala
Ugali unadumaza akili na sio chakula cha maana hata cha kujivunia hata kidogo, msisahau kuwa ugali wa mahindi sio chakula cha asili cha Mwafrika msisahau mahindi pia yaliletwa na mreno sisi tukadakia tu
Mimi binafsi huo ugali unaliwa mara chache tu nyumbani kwangu hili nililijua mapema sana sio chakula cha kukipa kipaumbele hata kidogo.
Lema yupo sahihi kabisa, maskini wengi ndo wapenda ugali maana hawana mbadala
=======
CHADEMA imeshikwa pabaya na Wafadhili wake. Wamezeshwa maneno ya kuja kuyatumia na wao kushindwa kutathmini madhara yanayoweza kutokea. Kupuuza na kuukana Utamaduni wako. Vijana wako kwenye wakati mgumu sana.Hakuna kitu kibaya kama chama kukosa sera mara kitaongrlea ugali,mara bodaboda laana ujinga mtupu
Chadema hakina sera ndio maana watu kama Lema wanakosa focus ya waongelee nini kwenye mikutano wanakuja ba chochote kinachoshuka kichwani
[emoji1787][emoji1787]Mnakoelekea mtakuja kua vichaa tu
[emoji1787][emoji1787]Ndio mana wanasema hiki chama ni cha wavuta bang