Alichokisema Lema ni sahihi kabisa, ugali pia unadumaza akili

Sera ya Chadema hiyo.....

Chadema na Lema wao wana dharau sana.....

Yaani kisa ametoka ukimbizini Canada anataka kutusimangia ugali wetu?!!![emoji23][emoji23]
 
[emoji7][emoji7]
 
Ya kwamba watanzania wanakula ugali mkavu?!!!!

Hawali kisamvu?!!!

Hawali matembere?!!!

Hawali dagaa?!!!

Hawali maharage,kunde ,choroko ,njegere ?!!!

Hawali viazi vitamu ?!!!

Hawali maboga?!!!

Yaani sisi ni UGALI na kachumbari tu ?!!!! Lema atuombe radhi [emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…