Mkitoka kwenye ugali,hamieni kwa sisi watembea kwa miguu
mkitoka huko,njooni tena kwa sisi tuiopanga mkimaliza huko
rudini kwa sisi tunaofanya biashara zamitaji ya 5000 kisha malizieni
na sisi tunaokunywa maji ya kandoro,nadhani bado mna mengi endeleeni.
ila Kaeni mkifahamu jambo 1 Watanzania wa sasa unaweza waona kama majinga
ila huwa hawakoseagi kwenye kupiga kura yani utacheka naooo,mwisho anajua yupi Fala yupi Zimo.